Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MBUNGE HONGOLI AWATOA HOFU WAKULIMA WA CHAI LUPEMBE KUHUSU MALIPO YAO YA CHAI


Mbunge wa Jimbo la Lupembe, Joramu Hongoli akihutubia mkutano wa hadhara katika Kata ya Lupembe, mkoani Njombe, ambapo pamoja na mambo mengine alisisitiza kuimarisha umoja na mshikamano kati ya wananchi na viongozi mbalimbali ili kurahisisisha kutatua kero na kuleta maendeleo katika Kata hiyo. Pia alizungumzia suluhisho la malipo ya wakulima wa chai wanaovidai viwanda . Aliwatoa hofu kwamba wasiwe na wasiwasi serikali iko pamoja nao na kwamba fedha zao watalipwa hivi punde. Kutoka kulia ni ...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

CCM Blog

MBUNGE HONGOLI AWATOA HOFU WAKULIMA WA CHAI LUPEMBE KUHUSU MALIPO YAO YA CHAI

Mbunge wa Jimbo la Lupembe, Joramu Hongoli akihutubia mkutano wa hadhara katika Kata ya Lupembe, mkoani Njombe, ambapo pamoja na mambo mengine alisisitiza kuimarisha umoja na mshikamano kati ya wananchi na viongozi mbalimbali ili kurahisisisha kutatua kero na kuleta maendeleo katika Kata hiyo. Pia alizungumzia suluhisho la malipo ya wakulima wa chai wanaovidai viwanda . Aliwatoa hofu kwamba wasiwe na wasiwasi serikali iko pamoja nao na kwamba fedha zao watalipwa hivi punde. Kutoka kulia ni ...

 

11 years ago

Mwananchi

Wakulima wa chai Kagera wataka mwekezaji afukuzwe

Wakulima wa chai mkoani Kagera, wameomba mwekezaji wa Kampuni ya Kagera Coffee Ltd, afukuzwe kwa kile wanachodai hana uhusiano mzuri na wakulima.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wakulima wa chai Tanga walilia kiwanda cha Mponde

KUTOKANA na wakulima wa chai wilayani Lushoto kukosa sehemu ya kuuza zao lao hilo kwa kipindi cha mwaka mmoja sasa wameamua kutafuta njia za kisheria zaidi. Kiwanda walichokuwa wanakitegemea kuuza...

 

9 years ago

Mwananchi

Wakulima wa chai hupoteza Sh3 bilioni kwa mwaka - SUA

Utafiti uliofanywa na Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo (SUA), umebaini kuwa zaidi ya Sh3 bilioni hupotea kwa mwaka kutokana na viwanda vingi kufungwa kutokana na migogoro ya wakulima wa chai sehemu za uzalishaji.

 

10 years ago

Mwananchi

Wakulima wa chai wanajiandaa kuimarika kiuchumi baada ya kusota miaka miwili

Mkutano wa wanachama wa Chama cha Wakulima wa Chai (Utega), uliofanyika Mei, 2013 na kwa kauli moja walichukua uamuzi wa kukifunga kiwanda walichokuwa wanamiliki kwa ubia na mwekezaji.

 

10 years ago

Michuzi

NEWS ALERT: MBUNGE WA ARUMERU MASHARIKI MHE JOSHUA NASSARI AACHIWA KWA DHAMANA NA MAHAKAMA YA MWANZO YA MAJI YA CHAI

Na Woinde shizza, Arusha  Hakimu David Mwita wa Mahakama ya mwanzo ya Maji ya Chai mkoani Arusha ameahirisha hadi  Desemba 24, 2014  kesi inayomkabili Mbunge wa Jimbo la Arumeru  Mashariki Mh. Joshua Nassari (pichani), kwa tuhuma za kuharibu mali ya umma  yenye dhamani ya shilingi laki mbili, pamoja na kumteka mtu na kumtishia kwa bunduki tukio ambalo anatuhumiwa kufanya Desemba 15, mwaka huu Mahakama hiyo imemuachia Mbunge huyo baada ya kutimiza masharti ya dhamana,  ikiwa ni wadhamini...

 

5 years ago

Michuzi

Waziri awatoa hofu wananchi kuhusu Mloganzila

 Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu, Ummy Mwalimu na Prof. Lawrence Museru wakimsikiliza Bi. Anna Msaki akielezea namna anavyopatiwa matibabu hospitalini hapo. Kaimu Mkurugenzi wa Huduma za Tiba katika Hospitali ya MNH-Mloganzila, Dkt. Mohamed Mohamed akifafanua namna wataalam wa afya wanashirikiana katika kutoa huduma hospitalini hapa.Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu akitoa mapendekezo ya namna eneo maalum...

 

5 years ago

Michuzi

WAZIRI BASHUNGWA AWATOA HOFU WATANZANIA KUHUSU UHABA WA SUKARI NCHINI,AWATAKA WAFANYA BIASHARA KUZINGATIA BEI ELEKEZI

Na. Eliud Rwechungura – Wizara ya Viwanda na Biashara.

Waziri wa viwanda na Biashara Mhe.Innocent Bashungwa (Mb) amewahakikishia watanzania kuwa hakutakuwa na uhaba wa sukari tena na kuwataka wananchi wasiwe na hofu juu ya sukari na kuwahasa wauzaji kuzingazia bei elekezi.

Mhe.Bashungwa ameyasema hayo jana Mei 14, 2020 alipofika katika bandari ya Mwanza kusini na kushuhudia Shehena ya Sukari tani 20,000 ikishushwa na meli kutoka Nchini Uganda iliyoagizwa na kiwanda cha kagera sugar kwa ni...

 

10 years ago

GPL

VIROBA SI CHAI!

NI AIBU! Ndivyo unavyoweza kushangaa baada ya mtu mmoja anayedhaniwa kuwa ni askari wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) kunywa pombe kiasi cha kupoteza fahamu akiwa na sare za taasisi hiyo inayoheshimika nchini na kujikuta akilala karibu na mtaro, katika stendi kuu ya mabasi mjini Iringa. Anayedhaniwa kuwa mwananjeshi akiwa amelala kwenye mtaro. Habari kutoka eneo la tukio zinasema mtu huyo alipanda basi liitwalo Mgumba...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani