MBUNGE HONGOLI AWATOA HOFU WAKULIMA WA CHAI LUPEMBE KUHUSU MALIPO YAO YA CHAI
Mbunge wa Jimbo la Lupembe, Joramu Hongoli akihutubia mkutano wa hadhara katika Kata ya Lupembe, mkoani Njombe, ambapo pamoja na mambo mengine alisisitiza kuimarisha umoja na mshikamano kati ya wananchi na viongozi mbalimbali ili kurahisisisha kutatua kero na kuleta maendeleo katika Kata hiyo. Pia alizungumzia suluhisho la malipo ya wakulima wa chai wanaovidai viwanda . Aliwatoa hofu kwamba wasiwe na wasiwasi serikali iko pamoja nao na kwamba fedha zao watalipwa hivi punde. Kutoka kulia ni ...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
CCM BlogMBUNGE HONGOLI AWATOA HOFU WAKULIMA WA CHAI LUPEMBE KUHUSU MALIPO YAO YA CHAI
11 years ago
Mwananchi06 Feb
Wakulima wa chai Kagera wataka mwekezaji afukuzwe
11 years ago
Tanzania Daima01 Apr
Wakulima wa chai Tanga walilia kiwanda cha Mponde
KUTOKANA na wakulima wa chai wilayani Lushoto kukosa sehemu ya kuuza zao lao hilo kwa kipindi cha mwaka mmoja sasa wameamua kutafuta njia za kisheria zaidi. Kiwanda walichokuwa wanakitegemea kuuza...
9 years ago
Mwananchi20 Oct
Wakulima wa chai hupoteza Sh3 bilioni kwa mwaka - SUA
10 years ago
Mwananchi12 Mar
Wakulima wa chai wanajiandaa kuimarika kiuchumi baada ya kusota miaka miwili
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Tc0kjcbI048/VJGPLKC80oI/AAAAAAAG36g/rW2uJJ0N6gM/s72-c/images.jpg)
NEWS ALERT: MBUNGE WA ARUMERU MASHARIKI MHE JOSHUA NASSARI AACHIWA KWA DHAMANA NA MAHAKAMA YA MWANZO YA MAJI YA CHAI
![](http://3.bp.blogspot.com/-Tc0kjcbI048/VJGPLKC80oI/AAAAAAAG36g/rW2uJJ0N6gM/s1600/images.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-SD7xtH-EFeI/XkatQ6VdKGI/AAAAAAALdZI/fBDiQKcQPYAhWp5LIiyZJxPkHL6Yu26eACLcBGAsYHQ/s72-c/03.jpg)
Waziri awatoa hofu wananchi kuhusu Mloganzila
![](https://1.bp.blogspot.com/-SD7xtH-EFeI/XkatQ6VdKGI/AAAAAAALdZI/fBDiQKcQPYAhWp5LIiyZJxPkHL6Yu26eACLcBGAsYHQ/s640/03.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-bgL39I8-ygw/XkatRGBtHcI/AAAAAAALdZM/OkRGAc6a36ogx8zdDENrXnyoJHFgWYoNACLcBGAsYHQ/s640/04.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-2F4gh58xqkU/XkatPUFHa6I/AAAAAAALdZE/fHo99WWCykwlkAaKN5dLvf9tSH8qmysEwCLcBGAsYHQ/s640/05.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-RHbWNfnVjH0/Xr4lAu1dJnI/AAAAAAALqTA/AwnUqTBoAGA6bXciIopdk1tFIs-9iWv5gCLcBGAsYHQ/s72-c/675b6db5-2b5f-471e-9bf1-711f454db6fe.jpg)
WAZIRI BASHUNGWA AWATOA HOFU WATANZANIA KUHUSU UHABA WA SUKARI NCHINI,AWATAKA WAFANYA BIASHARA KUZINGATIA BEI ELEKEZI
Waziri wa viwanda na Biashara Mhe.Innocent Bashungwa (Mb) amewahakikishia watanzania kuwa hakutakuwa na uhaba wa sukari tena na kuwataka wananchi wasiwe na hofu juu ya sukari na kuwahasa wauzaji kuzingazia bei elekezi.
Mhe.Bashungwa ameyasema hayo jana Mei 14, 2020 alipofika katika bandari ya Mwanza kusini na kushuhudia Shehena ya Sukari tani 20,000 ikishushwa na meli kutoka Nchini Uganda iliyoagizwa na kiwanda cha kagera sugar kwa ni...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/4t8Bu5s6lgTM2-1*tam6HXYbVXiPbplNz-eGA6929V7YJ2CvlsFyiRRQqUGYhaI45C18mETFyfrIng8lgd4qmgZYzZTOFVTi/viroba.jpg)
VIROBA SI CHAI!