Mwanachuo afa maji
MWANAFUNZI wa Chuo cha Utumishi jijini Dar es Salaam, Deus Josephat (21), mkazi wa Mjimwema, amefariki dunia alipokuwa akiogelea na wenzake ufukweni mwa Bahari ya Hindi eneo la Maweni Beach...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima02 May
Mtoto afa maji
MTOTO Yunus Abijan (4) mkazi wa Keko Mwanga, Dar es Salaam, amefariki dunia baada ya kutumbukia kwenye kisima cha maji. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Temeke, Englibert Kiondo, alisema juzi...
11 years ago
Tanzania Daima03 Jun
Mwanaume afa maji
WATU wawili wameripotiwa kufariki dunia jijini Dar es Salaam juzi katika matukio tofauti likiwemo la kufa maji. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Temeke, Englibert Kiondo, alisema juzi saa 10 jioni,...
11 years ago
Tanzania Daima04 Mar
Mtoto afa maji Mto Kizinga
MTOTO Khamis Sungura (11) mkazi wa Mbagala Kiburugwa jijini Dar es Salam amefariki dunia juzi baada ya kuzolewa na maji yaliyokuwa yakitiririka kuelekea Mto Kizinga kutokana na mvua zilizokuwa zikinyesha....
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/nc61tuPNc3Paa8dgNGDwrojvMnLLowspsNedNIi1099FUpy6-kiuqBP6b8PE-3W-SY4XOe59Em7RtHhIna5nVsEp9hFV6ZbC/MMMM.jpg)
MTOTO AFA MAJI AKIENDA KANISANI
10 years ago
Mwananchi28 Dec
Afa maji Sikukuu ya Krismasi Tanga
9 years ago
MillardAyo24 Dec
Baada ya Danny Mrwanda kusajiliwa na Maji Maji FC na kutowasili, uongozi wa Maji Maji umeamua hivi (+Audio)
Headlines za soka la bongo mtu wangu wa nguvu zimenifikia, safari hii sio kuhusu Simba na Yanga bali ni kuhusu staa wa soka aliyewahi kuvitumikia vilabu hivyo kwa nyakati mbili tofauti Danny Mrwanda, staa huyo ameingia kwenye headlines baada ya kuingia mkataba wa kuitumikia klabu ya Maji Maji FC ya Songea na kupewa malipo yake […]
The post Baada ya Danny Mrwanda kusajiliwa na Maji Maji FC na kutowasili, uongozi wa Maji Maji umeamua hivi (+Audio) appeared first on TZA_MillardAyo.
10 years ago
Mwananchi26 Sep
Mwanachuo Udom jela miaka sita
10 years ago
Vijimambo22 Feb
MWANACHUO ABAKWA, AUWAWA NCHINI KENYA
![](http://api.ning.com/files/QxYZWE5p2quvCX5p2TO75thhhDG0pUk-rRKKLalta5vNHiOGK5a-lxDvS2wEZnIOcEAgs8fZE3jGNCQt6DLn924UEASmXrp2/Moiuniinside.jpg?width=650)
Mwanafunzi mmoja wa kike kutoka Chuo cha Moi huko Eldoret, Kenya amekutwa amefariki dunia karibu na moja ya hosteli za chuo hicho baada ya kubakwa na kuuwawa kikatili.
Mwanafunzi huyo inasemekana kuwa ni wa mwaka wa tatu chuoni hapo akichukulia masomo ya Sanaa na Sayansi ya Jamii.
Tukio hilo la kinyama, limetokea usiku wa kuamkia leo na bado polisi haijawatia hatiani washtakiwa ama wahusika wa tukio hilo. Habari za mkasa huo zinazidi kuenea kila kona ya chuo, huku...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/QxYZWE5p2quvCX5p2TO75thhhDG0pUk-rRKKLalta5vNHiOGK5a-lxDvS2wEZnIOcEAgs8fZE3jGNCQt6DLn924UEASmXrp2/Moiuniinside.jpg?width=650)
UNYAMA WA KUTISHA, MWANACHUO ABAKWA, AUWAWA