Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tamwa yalaani mtoto wa miaka minne kubakwa

Kitendo cha kikatili ambacho inadaiwa kilifanywa na mkazi mmoja wa Mbezi kwa Msuguri mjini hapa cha kumlawiti mtoto wa miaka minne, kimeendelea kulaaniwa na taasisi tofauti.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

NJEMBA YAMBAKA MTOTO WA MIAKA MINNE

Stori: Haruni Sanchawa, Nyemo Chilongani NI AIBU!Jamaa mmoja anayejulikana kwa jina la Iddi Mgosi anashikiliwa na Polisi wa Kituo cha Wazo jijini Dar es Salaam kwa tuhuma za kumbaka mtoto mwenye umri wa miaka minne (jina linahifadhiwa) huko Mivumoni, Madale Machi 18, mwaka huu. Mtoto wa miaka minne aliyefanyiwa unyama huo. Mgosi, ambaye umri wake haukuweza kupatikana mara moja, anadaiwa kumrubuni mtoto huyo kutoka nyumbani kwao...

 

10 years ago

BBCSwahili

Mtoto wa miaka minne atekwa Mwanza

Mkoani Mwanza,Tanzania watu wasiofahamika wamevunja nyumba na kumteka mtoto mwenye ulemavu wa ngozi maarufu kama albino na kutoweka naye.

 

11 years ago

Habarileo

Mwanafunzi adaiwa kunajisi mtoto wa miaka minne

Mwanafunzi wa darasa la kumi Shule ya Sekondari ya Mwera Wilaya ya Kati Unguja Rashid Suleiman Ame anashikiliwa na Jeshi la Polisi kwa tuhuma za kunajisi mtoto mwenye umri wa miaka 4 (jina linahifadhiwa).

 

11 years ago

Mwananchi

Mtoto afichwa kwenye boksi miaka minne

 Mwanamke aliyetambuliwa kuwa ni Mariamu Said mkazi wa Kiwanja cha Ndege, Morogoro juzi alishushiwa kipigo na wananchi kutokana na kumficha mtoto wa marehemu mdogo wake kwenye boksi kwa miaka minne.

 

9 years ago

Dewji Blog

NEWS ALERT: Mtoto wa miaka 5 apoteza maisha baada ya kubakwa na watu wasiojulikana Mkoani Kigoma!

Kamanda wa Polisi mkoani Kigoma SACP Ferdinand Mtui akizungumzia tukio la mtoto kubakwa.2

Kamanda wa Polisi Mkoani Kigoma SACP Ferdinand Mtui akizungumza na waandishi wa Habari (hawapo pichani) juu ya tukio la kubakwa kwa mtoto wa miaka 5, lililotokea jana mkoani humo. (Picha na mwanahabari wetu)

Na Mwandishi Wetu

[KIGOMA] Mtoto mmoja alitambulika kwa  majina, Asifiwe Amos mwenye miaka mitano (5) na mkazi wa kijiji cha Katuguru Wilaya ya Kibondo mkoani Kigoma amefariki dunia baada ya kubakwa na watu wasiojulikana na kupelekea kifo chake hicho.

Akizungumza na Waandishi wa...

 

11 years ago

Michuzi

MTOTO WA MIAKA MINNE (4) ASHEREHEKEA BESDEI YAKE YA KUZALIWA MLIMA KILIMANJARO

Mtoto Aldof Isack (4)akikata keki wakati wa sherehe ya kumbukumbu yasiku yake ya kuzaliwa iliyofanyika katika kilele cha Shira Mlima Kilimanjaro ,Kilele chenye urefu wa mita 3,850 ambazo ni sawa na futi 12,630.aliyepiga magoti ni mama wa mtoto huyo Jackline Mchila na nyuma ya mtoto ni dada yake,Feith Isack huku baba yao kushoto akiwa ameshikachupa ya Champagne
Baba wa mtoto Adolf Isack,Bw Isack Kalage akifungua Champagne wakati wa shrehe ya kumbukumbu ya kuzaliwa kwa mtoto wake huyo...

 

11 years ago

Dewji Blog

MTOTO Nasra aliyekuwa akiishi kwenye box kwa miaka minne afariki Dunia

10325360_761911693831786_7288579013049174718_n

MTOTO Nasra aliyekuwa akiishi kwenye box kwa miaka minne akidaiwa kuteswa na mama yake mkubwa baada ya mama yake kufariki, huku akikosa uangalizi wa karibu, chakula, tiba na huduma nyingine muhimu AFARIKI DUNIA katika Hospitali ya Taifa MUHIMBILI usiku wa kuamkia leo majira ya saa saba, tatizo ni Nimonia na homa ilipanda sana.

R.I.P NASRA wewe mbele sisi nyuma tutakufuata, Tulikupenda lakini Mungu amekupenda zaidi.

 

 

11 years ago

Habarileo

Tamwa yalaani udhalilishaji wanawake hotelini

CHAMA cha Waandishi wa Habarim Wanawake (TAMWA) kimesikitishwa na kasi ya matukio ya udhalilishaji wa kijinsia ikiwemo wanawake kubakwa katika hoteli za kitalii pamoja na wafanyakazi wa ndani majumbani.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani