MTOTO WA MIAKA MINNE (4) ASHEREHEKEA BESDEI YAKE YA KUZALIWA MLIMA KILIMANJARO
Mtoto Aldof Isack (4)akikata keki wakati wa sherehe ya kumbukumbu yasiku yake ya kuzaliwa iliyofanyika katika kilele cha Shira Mlima Kilimanjaro ,Kilele chenye urefu wa mita 3,850 ambazo ni sawa na futi 12,630.aliyepiga magoti ni mama wa mtoto huyo Jackline Mchila na nyuma ya mtoto ni dada yake,Feith Isack huku baba yao kushoto akiwa ameshikachupa ya Champagne
Baba wa mtoto Adolf Isack,Bw Isack Kalage akifungua Champagne wakati wa shrehe ya kumbukumbu ya kuzaliwa kwa mtoto wake huyo...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi20 Jan
MTOTO ZAINABU 'IKOTA' MHAMILA ASHEREHEKEA SIKU YAKE YA KUZALIWA
11 years ago
Michuzi
MTOTO ZALEX JOSEPH KUSAGA ASHEREHEKEA SIKU YAKE YA KUZALIWA




11 years ago
GPL
MTOTO WA MIAKA 9 AVUNJA RECORD YA KUFIKA KILELE CHA MLIMA KILIMANJARO
11 years ago
Michuzi
MTOTO WA MIAKA TISA, IDDA BAITWA AELEKEA KILELE CHA MLIMA KILIMANJARO.



Kwa picha zaidi BOFYA HAPA
11 years ago
MichuziMTOTO WA MIAKA 9 ATAKA KUWEKA REKODI YA KUPANDA MLIMA KILIMANJARO KWA KUTUMIA NJIA NGUMU
kupanda Mlima Kilimanjaro.
kupanda Mlima Kilimanjaro.
11 years ago
Michuzi.jpg)
HEPI BESDEI YA YA KUZALIWA MTOTO AARON
.jpg)
9 years ago
Michuzi
HEPI BESDEI YA KUZALIWA MTOTO BRAYDEN MOSES


10 years ago
Michuzi
hepi besdei ya kuzaliwa mtoto Sameer Kikwappe

10 years ago
Michuzi.jpg)
hepi besdei ya miaka 80 ya kuzaliwa yanga leo
.jpg)
.jpg)