MTOTO ZAINABU 'IKOTA' MHAMILA ASHEREHEKEA SIKU YAKE YA KUZALIWA
Mtoto Zainabu 'IKOTA' Mhamila (kulia) akimlisha keki mama yake mzazi Bi. Asha Kamnyanga wakati wa kusherekea siku yake ya kuzaliwa iliyofanyika juzi nyumbani kwao Buguruni Rozana.
Zainabu 'Ikota' Mhamila 'Super D' akiwa katika pozi huku akiwa na keki yake.
Zainabu 'Ikota' Mhamila 'Super D' akiwa katika picha ya pamoja na rafiki zake siku ya kusherekea siku yake ya kuzaliwa.
Michuzi
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania