MTOTO WA MIAKA 9 ATAKA KUWEKA REKODI YA KUPANDA MLIMA KILIMANJARO KWA KUTUMIA NJIA NGUMU
Mzazi wa mtoto Idda Baitwa,Bw Respcius Baitwa akifanya maandalizi na mwanae ya kuanza safari ya kuweka rekodi ya
kupanda Mlima Kilimanjaro.
Mtoto Idda Baitwa akiwa na baba yake mzazi Bw Respcius Baitwa pamoja na ndugu zake wakiwa katika picha ya pamoja muda mfupi kabla ya kuanza safari ya kuweka rekodi ya
kupanda Mlima Kilimanjaro.
Mtoto Idda Baitwa akijiandikisha katika lango la Umbwe la kupanda mlima Kilimanjaro kabla ya kuanza safari ya kupanda mlima huo.nyuma yake ni Bw...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mtanzania18 Sep
Mtanzania apania rekodi ya dunia kupanda Mlima Kilimanjaro
NA FESTO POLEA
MTANZANIA mzaliwa wa Mkoa wa Iringa, Julio Ludago, anatarajia kuvunja rekodi ya dunia ya kupanda na kushuka Mlima Kilimanjaro kwa kutumia muda mfupi zaidi bila kuwa na usaidizi wowote.
Mtanzania huyo anayefanya kazi katika kampuni ya kutembeza watalii ya Ahsante Tours, anataka kuvunja rekodi mbili kubwa zaidi zilizowekwa na Mswisi na Mtanzania, siku ya Septemba 27 mwaka huu, atakapopanda mlima huo.
Ecuadorian Karl Egloff kutoka Uswisi ndiye anayeshikilia rekodi ya kupanda na...
9 years ago
MichuziUmoja wa Mataifa waanza maadhimisho ya miaka 70 kwa kupanda miti Hifadhi ya Mlima Kilimanjaro
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-PQLi7CFm3_0/VVQxeL0FhGI/AAAAAAAAPgk/ESbXHxt6Jnc/s72-c/E86A7406%2B(800x533).jpg)
HIFADHI YA MLIMA KILIMANJARO YATANGAZA OFA YA KUPANDA MLIMA HUO KWA WATALII WA NDANI WA AFRIKA MASHARIKI.
![](http://1.bp.blogspot.com/-PQLi7CFm3_0/VVQxeL0FhGI/AAAAAAAAPgk/ESbXHxt6Jnc/s640/E86A7406%2B(800x533).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-nk0KZCcGQN4/VVQxgn_gTwI/AAAAAAAAPg8/7xN5938A0zA/s640/E86A7410%2B(800x533).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-GlZpcsbrQw0/VVQxh9G8W4I/AAAAAAAAPhE/UPUw9RgUWu8/s640/E86A7429%2B(800x533).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-enM6rRU2dM8/VVQxizBL0aI/AAAAAAAAPhM/p5osEa44hGU/s640/E86A7444%2B(800x533).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-4aKvL6XrIiI/VVQxjbG9bzI/AAAAAAAAPhQ/ugq5vjzVRTI/s640/E86A7450%2B(800x533).jpg)
10 years ago
Dewji Blog05 Sep
Mtoto wa Baba wa Taifa na Vitalis Maembe kupanda Mlima Kilimanjaro kuchangia jukwaa la sanaa
Afisa Habari wa shirika lisilo la kiserikali la Culture and Development East Africa (CDEA), Mandolin Kahindi akitambulisha viongozi wa CDEA kwa waandishi wa habari (hawapo pichani) pamoja na dhumuni la kuitisha mkutano huo.
Na Mwandishi wetu
Madaraka Nyerere, Mtoto wa Hayati Baba wa Taifa Julius Nyerere, pamoja na Mwanamuziki Mzalendo Vitali Maembe wameteuliwa na shirika lisilo la kiserikali Culture and Development East Africa (CDEA) kuwa mabalozi wa kushiriki kampeni ya kupanda Mlima...
10 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/09/DSC_0009.jpg)
MTOTO WA BABA WA TAIFA NA VITALIS MAEMBE KUPANDA MLIMA KILIMANJARO KUCHANGIA JUKWAA LA SANAA
10 years ago
MichuziMAGEREZA WAJIFUA TAYARI KWA KUPANDA MLIMA KILIMANJARO
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/TiGlW1XckRaFFiSWSbXoCRfn0r*8D7ITDR6*xvoq*FaHb6sfC8XTxLwmu79zZFeDsf7AuC41QnD3GEnb7KrpMTs3sGU8*kUv/IddaBaita.jpg)
MTOTO WA MIAKA 9 AVUNJA RECORD YA KUFIKA KILELE CHA MLIMA KILIMANJARO
11 years ago
MichuziMTOTO WA MIAKA MINNE (4) ASHEREHEKEA BESDEI YAKE YA KUZALIWA MLIMA KILIMANJARO
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-GlZpcsbrQw0/VVQxh9G8W4I/AAAAAAAAPhE/UPUw9RgUWu8/s72-c/E86A7429%2B(800x533).jpg)
KINAPA YATANGAZA OFA YA KUPANDA MLIMA KILIMANJARO KWA WATALII WA NDANI WA AFRIKA MASHARIKI
IDADI ya watalii wanaotembelea hifadhi ya taifa ya Mlima Kilimanjaro (KINAPA) imeongezeka kutoka 37,000 hadi kufikia 51,287 ndani ya kipindi cha miaka 10 huku asilimia 4 na sita kati yao wakiwa ni wazawa.
Asilimia hiyo inatajwa ni ya watanzania ambao wamekuwa wakipanda Mlima huo kwa muda wa siku moja hali inayoilazimu uongozi wa hifadhi hiyo kuendelea kuhamsisha wananchi kutembelea hifadhi zetu ili kujionea urithi tuliopewa na...