Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mtanzania apania rekodi ya dunia kupanda Mlima Kilimanjaro

IMG_2171NA FESTO POLEA

MTANZANIA mzaliwa wa Mkoa wa Iringa, Julio Ludago, anatarajia kuvunja rekodi ya dunia ya kupanda na kushuka Mlima Kilimanjaro kwa kutumia muda mfupi zaidi bila kuwa na usaidizi wowote.

Mtanzania huyo anayefanya kazi katika kampuni ya kutembeza watalii ya Ahsante Tours, anataka kuvunja rekodi mbili kubwa zaidi zilizowekwa na Mswisi na Mtanzania, siku ya Septemba 27 mwaka huu, atakapopanda mlima huo.

Ecuadorian Karl Egloff kutoka Uswisi ndiye anayeshikilia rekodi ya kupanda na...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

MTOTO WA MIAKA 9 ATAKA KUWEKA REKODI YA KUPANDA MLIMA KILIMANJARO KWA KUTUMIA NJIA NGUMU

Mzazi wa mtoto Idda Baitwa,Bw Respcius Baitwa akifanya maandalizi na mwanae ya kuanza safari  ya kuweka rekodi ya
kupanda Mlima Kilimanjaro. Mtoto Idda Baitwa akiwa na baba yake mzazi Bw Respcius Baitwa pamoja na ndugu zake wakiwa katika picha ya pamoja muda mfupi kabla ya kuanza safari  ya kuweka rekodi ya
kupanda Mlima Kilimanjaro. Mtoto Idda Baitwa akijiandikisha katika lango la Umbwe la kupanda mlima Kilimanjaro kabla ya kuanza safari ya kupanda mlima huo.nyuma yake ni Bw...

 

9 years ago

Habarileo

Mtanzania apania kuvunja rekodi

MTANZANIA Julio Ludago amesema anatarajia kupanda mlima Kilimanjaro Septemba 27, mwaka huu na kuvunja rekodi ya dunia iliyowekwa na raia wa Uswisi, Karl Egloff mwaka jana kwa kupanda kwa haraka.

 

10 years ago

Vijimambo

HIFADHI YA MLIMA KILIMANJARO YATANGAZA OFA YA KUPANDA MLIMA HUO KWA WATALII WA NDANI WA AFRIKA MASHARIKI.

Mhifadhi utalii katka hifadhi ya Mlima Kilimanjaro (KINAPA),Eva Mallya akizungumza juu ya ofa iliyotangazwa na hifadhi hiyo ya kupanda mlima huo kwa siku moja na kurudi hadi kilele cha Shira.
Afisa masoko wa KINAPA ,Antypas Mgungusi akisistiza jambo wakati akizungumzia juu ya ofa ya safafri ya kupanda Mlima Kilimanjaro huku akishauri wenye sherehe zao kutumia nafasi hiyo kupanda Mlima huo kwa ajili ya kufanya sherehe zao,alitaja sherehe ambazo zinaweza fanyika katika hifadhi hiyo ni pamoja na...

 

11 years ago

Michuzi

KINAPA YATANGAZA OFA KUPANDA MLIMA KILIMANJARO.


Mkuu wa idara ya utalii katika hifadhi ya taifa ya mlima Kilimanjaro Eva Mallya akitoa ufafanuzi juu ya utaratibu mpya wa kuhamasisha utalii wa ndani.kushoto kwake ni afisa Masoko wa hifadhi hiyo Antipas Juu na chini ni baadhi ya waandishi wa habari wakimsikiliza kwa umakini mkuu wa idara ya utalii katika hifadhi ya mlima Kilimanjaro Eva Mallya  Na Dixon Busagaga wa Globu  ya Jamii Kanda ya Kaskazini.
HIFADHI ya Taifa ya Mlima Kilimanjaro ,imetoa fursa kwa wananchi wa...

 

10 years ago

Mwananchi

Aahidi kuwa balozi wa kupanda Mlima Kilimanjaro

>Baba mzazi wa Miss World, Rolene Strauss, Dk Hennie Strauss ameahidi kuwa balozi wa kimataifa wa kutangaza vivutio vya utalii vya Mlima Kilimanjaro.

 

10 years ago

Michuzi

MAGEREZA WAJIFUA TAYARI KWA KUPANDA MLIMA KILIMANJARO

Sehemu ya Maafisa na Askari wa Jeshi la Magereza wakiwa katika mazoezi makali katika mitaa ya mji wa Moshi ikiwa ni maandalizi ya kupanda mlima Kilimanjaro ifikapo Machi 6,2015. Katikati (mwenye vazi jeupe) ni Kamishna Msaidizi wa Magereza Alexander Mmasy kutoka Makao Makuu ya Magereza, wa kwanza kulia ni Mrakibu Msaidizi wa Magereza Mbezi Ramadhani kutoka Ofisi ya Mkuu wa Magereza Mkoa wa Tanga na wa kwanza kushoto ni Mkaguzi wa Magereza Jamhuri Yassin kutoka Makao Makuu ya Magereza, Dar es...

 

10 years ago

Michuzi

SAFARI YA MABALOZI KUPANDA MLIMA KILIMANJARO KATIKA SIKU YA KWANZA

Desemba 16 mwaka huu Waziri wa Mambo ya nje ya Nchi ,Mh Benard Membe alikabidhi bendera kwa Balozi Adadi Rajabu kwa niaba ya Mabalozi ,ikiwa ni ishara ya kuanzisha safari ya kupanda Mlima Kilimanjaro na safari hiyo ilianza kwa muda wa siku sita.
Baada ya kupumzika katika eneo la Kisambioni na kupata chakula ,safari iliendelea ya kwenda kituo cha Mandara.Kila mmoja alikuwa na Morali ya juu wakati wote wa kupanda Mlima Kilimanjaro.Baada ya kuongoza msafara wa Mabalozi kama ishara ya kuanzisha...

 

10 years ago

Vijimambo

MAANDALIZI YA KUPANDA MLIMA KILIMANJARO-MAAFISA NA ASKARI WA JESHI LA MAGEREZA

Baadhi ya Maafisa na Askari wa Jeshi la Magereza wakiwa katika mazoezi ya kukimbia katika viunga vya manispaa ya Moshi ikiwa ni maandalizi ya kupanda mlima Kilimanjaro March 6, 2015. Maafisa hao wameweka kambi katika eneo la Gereza Karanga-Moshi. Baadhi ya Maafisa na Askari wa Jeshi la Magereza wakiwa katika mazoezi ya kutembea  katika viunga vya Manispaa ya Moshi ikiwa ni maandalizi ya kupanda mlima Kilimanjaro mnamo Machi 6, 2015. Kutoka kushoto ni Mkaguzi wa Magereza Vicent Magessa kutoka...

 

10 years ago

Mwananchi

‘Rajesh’ wa Isidingo aweka rekodi Mlima Kilimanjaro

Mwigizaji maarufu wa tamthilia ya Isidingo The Need, Jack Devnarain maarufu kwa jina la uigizaji la Rajesh Kumar, amefanikiwa kufika kilele cha Uhuru cha Mlima Kilimanjaro.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani