Tamwa yalaani udhalilishaji wanawake hotelini
CHAMA cha Waandishi wa Habarim Wanawake (TAMWA) kimesikitishwa na kasi ya matukio ya udhalilishaji wa kijinsia ikiwemo wanawake kubakwa katika hoteli za kitalii pamoja na wafanyakazi wa ndani majumbani.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi30 Sep
Tamwa yalaani mtoto wa miaka minne kubakwa
Kitendo cha kikatili ambacho inadaiwa kilifanywa na mkazi mmoja wa Mbezi kwa Msuguri mjini hapa cha kumlawiti mtoto wa miaka minne, kimeendelea kulaaniwa na taasisi tofauti.
10 years ago
BBCSwahili08 Sep
Ripoti yafichua udhalilishaji wanawake
Shirika la Human Rights Watch limeripoti udhalilishwaji kijinsia wanaofanyiwa wanawake nchini Somalia na askari wa kulinda amani
11 years ago
Habarileo11 Mar
Mbunge mkongwe akerwa na udhalilishaji wanawake
MWANASIASA mkongwe nchini ambaye pia ni Mbunge wa Viti Maalum, Anna Abdallah amesema ataendelea kukemea vitendo vya kudhalilisha wanawake wanaotafuta uongozi.
11 years ago
Michuzi27 Jun
Ukeketaji Wanawake ni Udhalilishaji — Waziri Sophia Simba
eketaji.
Waziri wa Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto, Sophia Simba akizungumza kabla ya kufungua rasmi mkutano wa Kitaifa wa Kujadili Utokomezaji wa Ukeketaji Nchini Tanzania.
Baadhi ya washiriki wa Mkutano wa Kitaifa wa Kujadili Utokomezaji wa Ukeketaji Nchini unaofanyika Kunduchi Beach Hotel and Resort jijini Dar es Salaam.
Washiriki Mkutano wa Kitaifa wa Kujadili Utokomezaji wa Ukeketaji Nchini wakiwa katika picha ya pamoja na Waziri wa Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto, Sophia...
![Waziri wa Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto, Sophia Simba akizungumza kabla ya kufungua rasmi mkutano wa Kitaifa wa Kujadili Utokomezaji wa Ukeketaji Nchini Tanzania.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2014/06/IMG_0064.jpg)
![Baadhi ya washiriki wa Mkutano wa Kitaifa wa Kujadili Utokomezaji wa Ukeketaji Nchini unaofanyika Kunduchi Beach Hotel and Resort jijini Dar es Salaam.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2014/06/IMG_00541.jpg)
![Washiriki Mkutano wa Kitaifa wa Kujadili Utokomezaji wa Ukeketaji Nchini wakiwa katika picha ya pamoja na Waziri wa Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto, Sophia Simba Kunduchi Beach Hotel and Resort jijini Dar es Salaam.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2014/06/IMG_0081.jpg)
10 years ago
Mwananchi05 Oct
Udhalilishaji, unyanyasaji na kulemaza wanawake unaondelea vijijini mara
Anaweza kuwa nyanya, mpwa, mama, dada, shangazi, shemeji, binti; ili mradi uhusiano haukwepeki.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-kqvjFhP5Y0k/XuNoxwOSCnI/AAAAAAALtiE/RR884UVQAXIO-SP_6NACekhiRj11bO7RwCLcBGAsYHQ/s72-c/01..jpeg)
BARUA ZAWASILISHWA KUTAKA KUFUTWA KESI ZA UDHALILISHAJI WANAWAKE NA WATOTO ZANZIBAR
Zaidi ya barua 100 zimewasilishwa katika ofisi ya Mkurugenzi wa Mashataka (DPP) zenye lengo la kutaka kufutwa kwa kesi za udhalilishaji wanawake na watoto visiwani hapa katika siku za hivi karibuni.Hayo yamesemwa na Wakili wa Seikali kutoka ofisi ya Mkurugenzi wa mashtaka (DPP) Mkoa wa Mjini Magharib Unguja Omar Makungu Omar wakati alipoka akieleza jinsi wanavyokabiliana na chanagamoto dhidi ya kesi hizo katika mkutano maalumu uliofanyika ofisi za TAMWA-ZNZ huko Tunguu Wilaya ya kati...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/8XZ9tNduvb24yYI2W8ODHPTJ8zBh-bdkDY14VImemkZYJpqkRCDhj6N4tfKDOsVn*-WrTSMwMOr7p85CTwxixqYY1TenYQ0P/msoka2.jpg?width=650)
ENDELEENI KUFICHUA UNYANYASAJI KWA WANAWAKE, WATOTO – TAMWA
Mkurugenzi Mtendaji wa Tamwa, Dk. Valery Msoka. Na Walusanga Ndaki
VYOMBO vya habari vimetakiwa kuandika zaidi habari zinazohusu unyanyasaji wa kijinsia hususan dhidi ya wanawake na watoto ili kuiamsha zaidi jamii inayowafanyiwa vitendo hivyo na mamlaka husika ziweze kuchukua hatua za kisheria dhidi ya vitendo hivyo. Msisitizo huo ulitolewa mwishoni mwa wiki na chama cha Waandishi wa Habari Wanawake Tanzania (Tamwa) kwa...
9 years ago
MichuziSEMINA YA TAMWA KWA WANAHABARI KANDA YA ZIWA YABAINI WAGOMBEA WANAWAKE KUSAHAULIKA.
Katika Semina hiyo, imebainika kuwa katika Uchaguzi Mkuu wa Mwaka huu, Vyombo vya Habari na Waandishi wa Habari hawajaweka kipaumbele katika...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania