Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tamwa yalaani udhalilishaji wanawake hotelini

CHAMA cha Waandishi wa Habarim Wanawake (TAMWA) kimesikitishwa na kasi ya matukio ya udhalilishaji wa kijinsia ikiwemo wanawake kubakwa katika hoteli za kitalii pamoja na wafanyakazi wa ndani majumbani.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Tamwa yalaani mtoto wa miaka minne kubakwa

Kitendo cha kikatili ambacho inadaiwa kilifanywa na mkazi mmoja wa Mbezi kwa Msuguri mjini hapa cha kumlawiti mtoto wa miaka minne, kimeendelea kulaaniwa na taasisi tofauti.

 

10 years ago

BBCSwahili

Ripoti yafichua udhalilishaji wanawake

Shirika la Human Rights Watch limeripoti udhalilishwaji kijinsia wanaofanyiwa wanawake nchini Somalia na askari wa kulinda amani

 

11 years ago

Habarileo

Mbunge mkongwe akerwa na udhalilishaji wanawake

MWANASIASA mkongwe nchini ambaye pia ni Mbunge wa Viti Maalum, Anna Abdallah amesema ataendelea kukemea vitendo vya kudhalilisha wanawake wanaotafuta uongozi.

 

11 years ago

Michuzi

Ukeketaji Wanawake ni Udhalilishaji — Waziri Sophia Simba

eketaji.Waziri wa Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto, Sophia Simba akizungumza kabla ya kufungua rasmi mkutano wa Kitaifa wa Kujadili Utokomezaji wa Ukeketaji Nchini Tanzania.  Waziri wa Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto, Sophia Simba akizungumza kabla ya kufungua rasmi mkutano wa Kitaifa wa Kujadili Utokomezaji wa Ukeketaji Nchini Tanzania.Baadhi ya washiriki wa Mkutano wa Kitaifa wa Kujadili Utokomezaji wa Ukeketaji Nchini unaofanyika Kunduchi Beach Hotel and Resort jijini Dar es Salaam. Baadhi ya washiriki wa Mkutano wa Kitaifa wa Kujadili Utokomezaji wa Ukeketaji Nchini unaofanyika Kunduchi Beach Hotel and Resort jijini Dar es Salaam. Washiriki Mkutano wa Kitaifa wa Kujadili Utokomezaji wa Ukeketaji Nchini wakiwa katika picha ya pamoja na Waziri wa Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto, Sophia Simba Kunduchi Beach Hotel and Resort jijini Dar es Salaam. Washiriki Mkutano wa Kitaifa wa Kujadili Utokomezaji wa Ukeketaji Nchini wakiwa katika picha ya pamoja na Waziri wa Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto, Sophia...

 

10 years ago

Mwananchi

Udhalilishaji, unyanyasaji na kulemaza wanawake unaondelea vijijini mara

Anaweza kuwa nyanya, mpwa, mama, dada, shangazi, shemeji, binti; ili mradi uhusiano haukwepeki.

 

5 years ago

Michuzi

BARUA ZAWASILISHWA KUTAKA KUFUTWA KESI ZA UDHALILISHAJI WANAWAKE NA WATOTO ZANZIBAR

Zaidi ya barua 100  zimewasilishwa katika ofisi ya Mkurugenzi wa Mashataka (DPP) zenye lengo la kutaka kufutwa kwa kesi za udhalilishaji wanawake na watoto visiwani hapa katika siku za hivi karibuni.Hayo yamesemwa na Wakili wa Seikali kutoka ofisi ya Mkurugenzi wa mashtaka (DPP) Mkoa wa Mjini Magharib Unguja Omar Makungu Omar wakati alipoka akieleza jinsi wanavyokabiliana na chanagamoto dhidi ya kesi hizo katika mkutano maalumu uliofanyika ofisi za TAMWA-ZNZ huko Tunguu Wilaya ya kati...

 

11 years ago

GPL

ENDELEENI KUFICHUA UNYANYASAJI KWA WANAWAKE, WATOTO – TAMWA

Mkurugenzi Mtendaji wa Tamwa, Dk. Valery Msoka. Na Walusanga Ndaki
VYOMBO vya habari vimetakiwa kuandika zaidi habari zinazohusu unyanyasaji wa kijinsia hususan dhidi ya wanawake na watoto ili kuiamsha zaidi jamii inayowafanyiwa vitendo hivyo na mamlaka husika ziweze kuchukua hatua za kisheria dhidi ya vitendo hivyo. Msisitizo huo ulitolewa mwishoni mwa wiki na chama cha Waandishi wa Habari Wanawake Tanzania (Tamwa) kwa...

 

9 years ago

Michuzi

SEMINA YA TAMWA KWA WANAHABARI KANDA YA ZIWA YABAINI WAGOMBEA WANAWAKE KUSAHAULIKA.

Waandishi wa Habari wa Vyombo mbalimbali vya Habari katika Mikoa ya Kanda ya Ziwa wakiwa Jijini Mwanza katika Semina ya siku tatu iliyoanza jana Octoba 19 na inatarajia kufika tamati kesho octoba 22 ikiangazia juu ya VYOMBO VYA HABARI NA UCHAGUZI iliyoandaliwa na Chama cha cha Wanahabari Wanawake nchini Tanzania (TAMWA-Tanzania Media Women Association).


Katika Semina hiyo, imebainika kuwa katika Uchaguzi Mkuu wa Mwaka huu, Vyombo vya Habari na Waandishi wa Habari hawajaweka kipaumbele katika...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani