SEMINA YA TAMWA KWA WANAHABARI KANDA YA ZIWA YABAINI WAGOMBEA WANAWAKE KUSAHAULIKA.
Waandishi wa Habari wa Vyombo mbalimbali vya Habari katika Mikoa ya Kanda ya Ziwa wakiwa Jijini Mwanza katika Semina ya siku tatu iliyoanza jana Octoba 19 na inatarajia kufika tamati kesho octoba 22 ikiangazia juu ya VYOMBO VYA HABARI NA UCHAGUZI iliyoandaliwa na Chama cha cha Wanahabari Wanawake nchini Tanzania (TAMWA-Tanzania Media Women Association).
Katika Semina hiyo, imebainika kuwa katika Uchaguzi Mkuu wa Mwaka huu, Vyombo vya Habari na Waandishi wa Habari hawajaweka kipaumbele katika...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog22 Oct
TAMWA yawabadilisha fikra wanahabari Kanda ya Ziwa
(TAMWA-Tanzania Media Women Association). Semina hiyo ilianza juzi...
9 years ago
MichuziTAMWA YAWABADILISHA FIKRA WANAHABARI KANDA YA ZIWA.
9 years ago
MichuziKUELEKEA UCHAGUZI MKUU, TAMWA YAWAPIGA MSASA WAANDISHI WA HABARI KANDA YA ZIWA
Wanahabari watapata fursa ya Kujadili yale yanayoendelea katika kuelekea kwenye Uchaguzi Mkuu unaotarajia kufanyika Octoba 25 mwaka huu na nanma Vyombo vya Habari/ Waandishi wa Habari wanavyoripoti habari za Uchaguzi Mkuu kwa kuzingatia...
10 years ago
MichuziSEMINA YA BENKI YA CRDB YA VIONGOZI NA WATUMISHI WA HALMASHAURI ZA KANDA YA ZIWA
BOFYA HAPA KUONA PICHA ZAIDI
11 years ago
Michuzi15 Feb
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/-3i3rVffQH3gP4XP4M4HVc9-Nzx*kWVLakvIMVW0Bk*kIncX-CNc7EG6eFTdlho0rHr9aa8NiDlxeCgi*OivTiGYsI37*ZWI/1.MmojawawaamasishajiakifunguaseminahiyoambayenimhaririwaTheCitzenbwanaRichardMgamba.jpg)
CNN YATOA SEMINA KWA WANAHABARI
 Richard Mwigamba ambaye ni Mhariri wa Gazeti la The Citzen akifungua semina hiyo.…
10 years ago
GPLDHEHEBU LA SHIA LATOA SEMINA KWA WANAHABARI
Imam wa msikiti wa Ghadir uliopo Kigogo Post, Hemed Jalala akiongea na wanahabari (hawapo pichani). VIONGOZI wa dhehebu la Shia wa Msikiti wa Ghadir uliopo Kigogo Post jijini Dar, leo wametoa semina kwa wanahabari kuhusu umuhimu na wajibu wao katika kuielimisha jamii. Akizungumza na wanahabari pamoja na baadhi ya wadau waliohudhuria katika semina hiyo, Imam wa msikiti huo, Hemed Jalala, amewataka wanahabari nchini kutotumika...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/8XZ9tNduvb24yYI2W8ODHPTJ8zBh-bdkDY14VImemkZYJpqkRCDhj6N4tfKDOsVn*-WrTSMwMOr7p85CTwxixqYY1TenYQ0P/msoka2.jpg?width=650)
ENDELEENI KUFICHUA UNYANYASAJI KWA WANAWAKE, WATOTO – TAMWA
Mkurugenzi Mtendaji wa Tamwa, Dk. Valery Msoka. Na Walusanga Ndaki
VYOMBO vya habari vimetakiwa kuandika zaidi habari zinazohusu unyanyasaji wa kijinsia hususan dhidi ya wanawake na watoto ili kuiamsha zaidi jamii inayowafanyiwa vitendo hivyo na mamlaka husika ziweze kuchukua hatua za kisheria dhidi ya vitendo hivyo. Msisitizo huo ulitolewa mwishoni mwa wiki na chama cha Waandishi wa Habari Wanawake Tanzania (Tamwa) kwa...
10 years ago
Michuzi24 Feb
TAMWA YATOA MAFUNZO KWA WANAHABARI WA MIKOA YA NYANDA ZA JUU KUSINI JUU YA KUPAMBANA NA UNYANYASAJI WA KIJINSIA
Na Fredy Mgunda, Iringa
Waandishi wa habari wametakiwa kuandika zaidi habari zinazohusu unyanyasaji wa kijinsia hususan dhidi ya wanawake na watoto ili kuiamsha zaidi jamii inayowafanyiwa vitendo hivyo na mamlaka husika ziweze kuchukua hatua za kisheria dhidi ya vitendo hivyo.Msisitizo huo...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania