TAMWA yawabadilisha fikra wanahabari Kanda ya Ziwa
Mshindi wa Tuzo ya Mama Shujaa mwaka 2011 inayotolewa na Ubalozi wa Marekani nchini Tanzania kwa Mwanamke anaepambana na Ukatili wa Kijinsia Bi.Joyce Maimuna Amina Kanyamala ambae pia ni Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Mikonoyetu la Jijini Mwanza akiwasilisha Mada katika Semina kwa Wanahabari kutoka Mikoa ya Kanda ya Ziwa juu Vyombo vya Habari na Uchaguzi iliyoandaliwa na Chama cha cha Wanahabari Wanawake nchini Tanzania
(TAMWA-Tanzania Media Women Association).
Semina hiyo ilianza juzi...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
9 years ago
MichuziTAMWA YAWABADILISHA FIKRA WANAHABARI KANDA YA ZIWA.
9 years ago
MichuziSEMINA YA TAMWA KWA WANAHABARI KANDA YA ZIWA YABAINI WAGOMBEA WANAWAKE KUSAHAULIKA.
Katika Semina hiyo, imebainika kuwa katika Uchaguzi Mkuu wa Mwaka huu, Vyombo vya Habari na Waandishi wa Habari hawajaweka kipaumbele katika...
9 years ago
MichuziKUELEKEA UCHAGUZI MKUU, TAMWA YAWAPIGA MSASA WAANDISHI WA HABARI KANDA YA ZIWA
Wanahabari watapata fursa ya Kujadili yale yanayoendelea katika kuelekea kwenye Uchaguzi Mkuu unaotarajia kufanyika Octoba 25 mwaka huu na nanma Vyombo vya Habari/ Waandishi wa Habari wanavyoripoti habari za Uchaguzi Mkuu kwa kuzingatia...
11 years ago
Michuzi15 Feb
11 years ago
GPL![](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2014/02/IMG_5808.jpg)
TAMWA YAWAPONGEZA WANAHABARI UANDISHI HABARI ZA UKATILI WA KIJINSIA
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/vJSFiOyZSXVQ5DuD1Qace9dDRPZtINoNG22-WYX83HqDgiupkHqnpoqNecrgirS0f8wnmXHo29ODi1eqyT1URYlkPvXSjDCk/3.jpg?width=650)
MAGUFULI GUMZO KANDA YA ZIWA!
10 years ago
BBCSwahili31 Mar
Mashabiki kanda ya Ziwa wastaarabu.
10 years ago
Vijimambo"IMETOSHA" YAJITAMBULISHA KANDA YA ZIWA