Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mbunge mkongwe akerwa na udhalilishaji wanawake

MWANASIASA mkongwe nchini ambaye pia ni Mbunge wa Viti Maalum, Anna Abdallah amesema ataendelea kukemea vitendo vya kudhalilisha wanawake wanaotafuta uongozi.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Ripoti yafichua udhalilishaji wanawake

Shirika la Human Rights Watch limeripoti udhalilishwaji kijinsia wanaofanyiwa wanawake nchini Somalia na askari wa kulinda amani

 

11 years ago

Habarileo

Tamwa yalaani udhalilishaji wanawake hotelini

CHAMA cha Waandishi wa Habarim Wanawake (TAMWA) kimesikitishwa na kasi ya matukio ya udhalilishaji wa kijinsia ikiwemo wanawake kubakwa katika hoteli za kitalii pamoja na wafanyakazi wa ndani majumbani.

 

11 years ago

Michuzi

Ukeketaji Wanawake ni Udhalilishaji — Waziri Sophia Simba

eketaji.Waziri wa Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto, Sophia Simba akizungumza kabla ya kufungua rasmi mkutano wa Kitaifa wa Kujadili Utokomezaji wa Ukeketaji Nchini Tanzania.  Waziri wa Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto, Sophia Simba akizungumza kabla ya kufungua rasmi mkutano wa Kitaifa wa Kujadili Utokomezaji wa Ukeketaji Nchini Tanzania.Baadhi ya washiriki wa Mkutano wa Kitaifa wa Kujadili Utokomezaji wa Ukeketaji Nchini unaofanyika Kunduchi Beach Hotel and Resort jijini Dar es Salaam. Baadhi ya washiriki wa Mkutano wa Kitaifa wa Kujadili Utokomezaji wa Ukeketaji Nchini unaofanyika Kunduchi Beach Hotel and Resort jijini Dar es Salaam. Washiriki Mkutano wa Kitaifa wa Kujadili Utokomezaji wa Ukeketaji Nchini wakiwa katika picha ya pamoja na Waziri wa Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto, Sophia Simba Kunduchi Beach Hotel and Resort jijini Dar es Salaam. Washiriki Mkutano wa Kitaifa wa Kujadili Utokomezaji wa Ukeketaji Nchini wakiwa katika picha ya pamoja na Waziri wa Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto, Sophia...

 

10 years ago

Mwananchi

Udhalilishaji, unyanyasaji na kulemaza wanawake unaondelea vijijini mara

Anaweza kuwa nyanya, mpwa, mama, dada, shangazi, shemeji, binti; ili mradi uhusiano haukwepeki.

 

9 years ago

Mwananchi

Mbunge akerwa makandarasi wababaishaji

Mbunge wa Korogwe Mjini, Mary Chatanda ameishauri Halmashauri ya Wilaya ya Korogwe mkoani Tanga kuachana na makandarasi wababaishaji wanaokwamisha miradi kwa kukosa fedha za kujiendesha wenyewe.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mbunge akerwa mjadala wa posho

MJUMBE wa Bunge Maalumu la Katiba, Josephine Chagula, ameelezwa kukerwa na malumbano ya wanasiasa ambayo yanalenga kutetea sera za vyama vyao badala ya kutetea maslahi ya nchi. Akizungumza na Tanzania...

 

5 years ago

Michuzi

BARUA ZAWASILISHWA KUTAKA KUFUTWA KESI ZA UDHALILISHAJI WANAWAKE NA WATOTO ZANZIBAR

Zaidi ya barua 100  zimewasilishwa katika ofisi ya Mkurugenzi wa Mashataka (DPP) zenye lengo la kutaka kufutwa kwa kesi za udhalilishaji wanawake na watoto visiwani hapa katika siku za hivi karibuni.Hayo yamesemwa na Wakili wa Seikali kutoka ofisi ya Mkurugenzi wa mashtaka (DPP) Mkoa wa Mjini Magharib Unguja Omar Makungu Omar wakati alipoka akieleza jinsi wanavyokabiliana na chanagamoto dhidi ya kesi hizo katika mkutano maalumu uliofanyika ofisi za TAMWA-ZNZ huko Tunguu Wilaya ya kati...

 

11 years ago

Habarileo

Mbunge: Wanawake mnamkosea Mungu

MBUNGE wa Konde, Khatibu Said Haji (CUF) amesema wanawake wameadhibiwa na Mungu katika maandiko matakatifu na kuhoji hawaoni kuwa harakati zao za kudai haki sawa, ikiwemo uwakilishi wa asilimia 50 kwa 50 katika nafasi za uamuzi kuwa ni kuingilia adhabu hiyo halali.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani