Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mbunge akerwa makandarasi wababaishaji

Mbunge wa Korogwe Mjini, Mary Chatanda ameishauri Halmashauri ya Wilaya ya Korogwe mkoani Tanga kuachana na makandarasi wababaishaji wanaokwamisha miradi kwa kukosa fedha za kujiendesha wenyewe.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Mbunge akerwa mjadala wa posho

MJUMBE wa Bunge Maalumu la Katiba, Josephine Chagula, ameelezwa kukerwa na malumbano ya wanasiasa ambayo yanalenga kutetea sera za vyama vyao badala ya kutetea maslahi ya nchi. Akizungumza na Tanzania...

 

11 years ago

Habarileo

Mbunge mkongwe akerwa na udhalilishaji wanawake

MWANASIASA mkongwe nchini ambaye pia ni Mbunge wa Viti Maalum, Anna Abdallah amesema ataendelea kukemea vitendo vya kudhalilisha wanawake wanaotafuta uongozi.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Tanesco kuwabana wawekezaji wababaishaji

WIZARA ya Nishati na Madini imesema itahakikisha haitoi mwanya kwa wawezezaji wababaishaji wanaotaka kuwekeza kwenye nishati ya umeme na kuwaingiza Watanzania kwenye mgawo wa umeme bila sababu. Katibu Mkuu wa...

 

11 years ago

Mwananchi

Viongozi wababaishaji watakiwa kujipima

Viongozi wanaojiona wameshindwa kuleta maendeleo katika maeneo yao wametakiwa kujipima kama wanafaa kuendelea kuongoza na wakijiona hawafanyi lolote waachie ngazi mapema ama wasgombee tena uongozi kwa kuwa wanarudisha nyuma maendeleo ya wananchi.

 

10 years ago

Habarileo

Agizo la JK mwiba kwa watendaji wababaishaji

MEYA wa Manispaa ya Ilala, Jerry Silaa amesema manispaa hiyo ipo tayari kuwapoteza watendaji wababaishaji kuliko kupatwa aibu kwa kushindwa kukamilisha agizo la ujenzi wa maabara lililotolewa na Rais Jakaya Kikwete.

 

9 years ago

Bongo5

Sitopiga kura, wagombea ni wababaishaji — Witness

Rapper Witness amesema hatopiga kura katika uchaguzi mkuu mwaka huu kutokana na wagombea mbalimbali kushindwa kuzungumzia vitu vya msingi kwenye kampeni zao. Witness aliiambia Bongo5 kuwa haoni thamani ya kura yake tena. “Ni haki ya kila mtanzania lakini kama sioni mabadiliko yoyote nipige kura ya nini? Kwa sababu toka nimezaliwa kuna maisha nayoishi ambayo sipendi […]

 

5 years ago

Michuzi

SITAKI WAKANDARASI WABABAISHAJI MIRADI YA UMWAGILIAJI -KM KUSAYA

Picha Katibu Mkuu Wizara ya Kilimo Bw.Gerald Kusaya akionesha kusikitishwa kwake na hali ya ujenzi ghala la kuhifadhia mpunga kijiji cha Mbogo Komtonga kutokamilika ndani ya muda wa mkataba.Wa kwanza kushoto ni Katibu Mkuu Wizara ya Viwanda na Biashara Prof.Riziki Shemdoe kulia wa kwanza ni Mratibu wa ERPP Eng.January Kayumbe. Katibu Mkuu Wizara ya Kilimo Bw.Gerald Kusaya (aliyeshika kofia) akiwa na Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais-Mazingira Balozi Joseph Sokoine wakikagua...

 

11 years ago

Mwananchi

Chikawe: Sitavumilia polisi wababaishaji wasiojua lengo lao

Waziri ya Mambo ya Ndani, Mathias Chikawe amesema hatamvumilia askari yeyote anayefanya kazi kinyume na taaluma yake, badala ya kuwalinda wananchi na mali zao.

 

5 years ago

Michuzi

WAZIRI JAFO AAGIZA WATENDAJI WOTE WABABAISHAJI TARURA WACHUKULIWE HATUA

Charles James, Michuzi TV

WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Rais-Tamisemi, Selemani Jafo amemtaka Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Barabara Mjini na Vijijini (Tarura), Victor Seff kuwachukulia hatua watendaji wote wababaishaji kwenye ngazi ya Mikoa na Halmashauri.

Jafo amesema kuna watumishi katika ngazi za Mikoa ambao wamekua wakikwamisha spidi ya wakala huo katika kuwaletea maendeleo watanzania.

Waziri Jafo ametoa agizo hilo leo jijini Dodoma wakati wakati akiizindua rasmi Bodi  ya Ushauri ya Tarura ambayo...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani