Sitopiga kura, wagombea ni wababaishaji — Witness
Rapper Witness amesema hatopiga kura katika uchaguzi mkuu mwaka huu kutokana na wagombea mbalimbali kushindwa kuzungumzia vitu vya msingi kwenye kampeni zao. Witness aliiambia Bongo5 kuwa haoni thamani ya kura yake tena. “Ni haki ya kila mtanzania lakini kama sioni mabadiliko yoyote nipige kura ya nini? Kwa sababu toka nimezaliwa kuna maisha nayoishi ambayo sipendi […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://2.bp.blogspot.com/-a8GewX63DL0/U0Eb8bCu1lI/AAAAAAAAM8M/83iYJIMCB3s/s1600/8.jpg)
WAGOMBEA UBUNGE JIMBO LA CHALINZE WAPIGA KURA ZAO
10 years ago
Vijimambo12 Dec
MWIGULU NCHEMBA ALIPOPITA HII LEO ITILIMA MKOANI SIMIYU KUWAOMBEA KURA WAGOMBEA WA CCM
![](https://scontent-a-lhr.xx.fbcdn.net/hphotos-xpa1/v/t1.0-9/10850227_321022941433274_7970980859033695117_n.jpg?oh=09d0de89db8cdb6b93f34e19f6ff8995&oe=5544BCC3)
![](https://fbcdn-sphotos-c-a.akamaihd.net/hphotos-ak-xpa1/v/t1.0-9/10480206_321023091433259_2518175471332457252_n.jpg?oh=22993d9aa71910bb3018b7c1637ee30d&oe=55076FC4&__gda__=1425919868_9b7f6337b62515c4fbdb0f69ea4f2ec0)
![](https://fbcdn-sphotos-d-a.akamaihd.net/hphotos-ak-xap1/v/t1.0-9/10425357_321022664766635_5327236329509579478_n.jpg?oh=48d38c36c88e3d4b704d8696bb854113&oe=5501F080&__gda__=1427159132_bde8c607a24de03284adc6bf76c84647)
![](https://fbcdn-sphotos-b-a.akamaihd.net/hphotos-ak-xap1/v/t1.0-9/63770_321022771433291_4906610585820409914_n.jpg?oh=67f75daef4c9d452d48b63017bddbeb0&oe=54FD79ED&__gda__=1430591872_6b7ece7c1c197eff51f5a36fa4b131fa)
9 years ago
GPLMKE WA RAIS WA ZANZIBAR AENDELEA NA ZIARA YAKE KUWAOMBEA KURA WAGOMBEA WA CCM ZANZIBAR
11 years ago
Mwananchi17 Jun
Viongozi wababaishaji watakiwa kujipima
9 years ago
Mwananchi01 Jan
Mbunge akerwa makandarasi wababaishaji
11 years ago
Tanzania Daima19 Jul
Tanesco kuwabana wawekezaji wababaishaji
WIZARA ya Nishati na Madini imesema itahakikisha haitoi mwanya kwa wawezezaji wababaishaji wanaotaka kuwekeza kwenye nishati ya umeme na kuwaingiza Watanzania kwenye mgawo wa umeme bila sababu. Katibu Mkuu wa...
10 years ago
Habarileo09 Sep
Agizo la JK mwiba kwa watendaji wababaishaji
MEYA wa Manispaa ya Ilala, Jerry Silaa amesema manispaa hiyo ipo tayari kuwapoteza watendaji wababaishaji kuliko kupatwa aibu kwa kushindwa kukamilisha agizo la ujenzi wa maabara lililotolewa na Rais Jakaya Kikwete.
9 years ago
VijimamboMKE WA RAIS WA ZANZIBAR MAMA MWANAMWEMA SHEIN, AENDELEA NA ZIARA YAKE KUWAOMBEA KURA WAGOMBEA WA CCM ZANZIBAR.
10 years ago
Dewji Blog27 Jul
Mchakato wa kuomba kura za maoni katika jimbo la Singida mjini likiendelea katika kata mbalimbali kwa wagombea kujinadi
Mmoja wa wagombea ubunge jimbo la Singida Mjini, Hasan Mazala akiomba kura kata ya kajengo jana.
Mazala akiomba kura.
Amani Rai mmoja wa wagombea Jimbo la Singida mjini akimwaga serra zake kata ya majengo.
Mpiga picha na mwandishi wa habari Leah Samike nae amejitosa kuwania Ubunge Singida mjini.
Mmoja wa wananchi wa Majengo, Hamson Mrecha akiuliza swali mgombea.
Yage Kiaratu mmoja wa wagombea nafasi ya Udiwani Kata ya Majengo akiomba kura.
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10