Tanesco kuwabana wawekezaji wababaishaji
WIZARA ya Nishati na Madini imesema itahakikisha haitoi mwanya kwa wawezezaji wababaishaji wanaotaka kuwekeza kwenye nishati ya umeme na kuwaingiza Watanzania kwenye mgawo wa umeme bila sababu. Katibu Mkuu wa...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-3owbaPz4dmE/U8NS-DWTYTI/AAAAAAAF19c/aYZEJyaCAJU/s72-c/picha+mbili.jpg)
Tanzania yashauriwa kuwabana wawekezaji
![](http://2.bp.blogspot.com/-3owbaPz4dmE/U8NS-DWTYTI/AAAAAAAF19c/aYZEJyaCAJU/s1600/picha+mbili.jpg)
9 years ago
Mwananchi01 Jan
Mbunge akerwa makandarasi wababaishaji
Mbunge wa Korogwe Mjini, Mary Chatanda ameishauri Halmashauri ya Wilaya ya Korogwe mkoani Tanga kuachana na makandarasi wababaishaji wanaokwamisha miradi kwa kukosa fedha za kujiendesha wenyewe.
11 years ago
Mwananchi17 Jun
Viongozi wababaishaji watakiwa kujipima
Viongozi wanaojiona wameshindwa kuleta maendeleo katika maeneo yao wametakiwa kujipima kama wanafaa kuendelea kuongoza na wakijiona hawafanyi lolote waachie ngazi mapema ama wasgombee tena uongozi kwa kuwa wanarudisha nyuma maendeleo ya wananchi.
10 years ago
Habarileo09 Sep
Agizo la JK mwiba kwa watendaji wababaishaji
MEYA wa Manispaa ya Ilala, Jerry Silaa amesema manispaa hiyo ipo tayari kuwapoteza watendaji wababaishaji kuliko kupatwa aibu kwa kushindwa kukamilisha agizo la ujenzi wa maabara lililotolewa na Rais Jakaya Kikwete.
9 years ago
Bongo505 Oct
Sitopiga kura, wagombea ni wababaishaji — Witness
Rapper Witness amesema hatopiga kura katika uchaguzi mkuu mwaka huu kutokana na wagombea mbalimbali kushindwa kuzungumzia vitu vya msingi kwenye kampeni zao. Witness aliiambia Bongo5 kuwa haoni thamani ya kura yake tena. “Ni haki ya kila mtanzania lakini kama sioni mabadiliko yoyote nipige kura ya nini? Kwa sababu toka nimezaliwa kuna maisha nayoishi ambayo sipendi […]
5 years ago
MichuziSITAKI WAKANDARASI WABABAISHAJI MIRADI YA UMWAGILIAJI -KM KUSAYA
11 years ago
Mwananchi16 Jul
Chikawe: Sitavumilia polisi wababaishaji wasiojua lengo lao
Waziri ya Mambo ya Ndani, Mathias Chikawe amesema hatamvumilia askari yeyote anayefanya kazi kinyume na taaluma yake, badala ya kuwalinda wananchi na mali zao.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-E8mJUK_JVI0/Xs-p9zqN_WI/AAAAAAALr2Q/ydZ0QXZ3mnQvI_fMPRTyGjfxxaCrC3U1wCLcBGAsYHQ/s72-c/f07db979-98b6-4e24-afc3-1b9e975a0ec1.jpg)
WAZIRI JAFO AAGIZA WATENDAJI WOTE WABABAISHAJI TARURA WACHUKULIWE HATUA
Charles James, Michuzi TV
WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Rais-Tamisemi, Selemani Jafo amemtaka Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Barabara Mjini na Vijijini (Tarura), Victor Seff kuwachukulia hatua watendaji wote wababaishaji kwenye ngazi ya Mikoa na Halmashauri.
Jafo amesema kuna watumishi katika ngazi za Mikoa ambao wamekua wakikwamisha spidi ya wakala huo katika kuwaletea maendeleo watanzania.
Waziri Jafo ametoa agizo hilo leo jijini Dodoma wakati wakati akiizindua rasmi Bodi ya Ushauri ya Tarura ambayo...
WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Rais-Tamisemi, Selemani Jafo amemtaka Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Barabara Mjini na Vijijini (Tarura), Victor Seff kuwachukulia hatua watendaji wote wababaishaji kwenye ngazi ya Mikoa na Halmashauri.
Jafo amesema kuna watumishi katika ngazi za Mikoa ambao wamekua wakikwamisha spidi ya wakala huo katika kuwaletea maendeleo watanzania.
Waziri Jafo ametoa agizo hilo leo jijini Dodoma wakati wakati akiizindua rasmi Bodi ya Ushauri ya Tarura ambayo...
11 years ago
Mwananchi27 Jul
RC Ruvuma kuwabana wabadhirifu
Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Said Mwambungu ameahidi kuwachukulia hatua watumishi na madiwani wa Halmashauri ya Mbinga ambao watabainika wamefanya ubadhirifu kwenye ununuzi na miradi ya maendeleo pindi atakapopewa ushahidi.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania