Chikawe: Sitavumilia polisi wababaishaji wasiojua lengo lao
Waziri ya Mambo ya Ndani, Mathias Chikawe amesema hatamvumilia askari yeyote anayefanya kazi kinyume na taaluma yake, badala ya kuwalinda wananchi na mali zao.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-gG0IU87vSnI/U9V1Y_cJkMI/AAAAAAAF7Ik/JjZdrBSNhR4/s72-c/unnamed+(7).jpg)
WAZIRI CHIKAWE KUFUTA USAJILI WA MAKANISA YENYE MIGOGORO KWA LENGO LA KUEPUSHA UVUNJIFU WA AMANI NCHINI
![](http://4.bp.blogspot.com/-gG0IU87vSnI/U9V1Y_cJkMI/AAAAAAAF7Ik/JjZdrBSNhR4/s1600/unnamed+(7).jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-vBhI3bi6Cgw/XkYq6oVJ2BI/AAAAAAALdVI/9rkR9juH-wIJZWwl7udnkn4BdhXbsbQhgCLcBGAsYHQ/s72-c/PICHA-NA-2-3-1024x683.jpg)
Maduhuli ya Madini Chunya Yazidi kupaa, Yafikia Bilioni 24.1 sawa na lengo la asilimia 128 ya lengo la mwaka
![](https://1.bp.blogspot.com/-vBhI3bi6Cgw/XkYq6oVJ2BI/AAAAAAALdVI/9rkR9juH-wIJZWwl7udnkn4BdhXbsbQhgCLcBGAsYHQ/s640/PICHA-NA-2-3-1024x683.jpg)
Kutoka kulia waliosimama Mwenyekiti wa Tume ya Madini, Profesa Idris Kikula na Mkuu wa Wilaya ya Chunya, Mhandisi Maryprisca Mahundi wakiangalia namna uchenjuaji wa dhahabu unavyofanyika katika Kiwanda cha Uchenjuaji Dhahabu cha PM kilichopo katika eneo la Makongolosi Wilayani Chunya Mkoani Mbeya. Imeelezwa kuwa kuanzia kipindi cha mwaka wa fedha 2019/2020 kilichoanza Julai, 2019 hadi Januari 31, 2020, ofisi yake imefanikiwa kukusanya jumla ya kiasi cha shilingi bilioni 24.173 ikiwa ni...
11 years ago
Habarileo23 Jan
Chikawe kuanza na kero ya rushwa polisi
WAZIRI wa Mambo ya Ndani ya nchi, Mathias Chikawe amesema atashughulikia tatizo la polisi kulalamikiwa kula rushwa kwa kuwaandalia mazingira mazuri, ambayo hata akiulizwa kwa nini anakula rushwa hatakuwa na jibu.
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-s6xDl1BGNKI/VM91gL5AM1I/AAAAAAAHBAc/w0bWkqTCCEQ/s72-c/unnamed%2B(1).jpg)
NMB Yalishukuru Jeshi la Polisi kwa kuifanya benki hiyo kuwa chaguo lao la kwanza
10 years ago
Habarileo16 May
Chikawe ataka polisi kuungwa na mkongo bila malipo
WAZIRI wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mathias Chikawe ameiomba Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) kuviunganisha vituo vyote vya polisi na mkongo wa taifa bila malipo ili kurahisisha mawasiliano kwa Jeshi la Polisi.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/V7mcip*tK2QnLnUaleHc-UTw6ZycZFTtOvszks4AgEUd2rT7IiHY0k5xvbx9*q0yfHWMy8zq-hZ0Q2KpLgg9wORPOI30uxVI/unnamed13.jpg?width=650)
WAZIRI CHIKAWE AWAAPISHA WAJUMBE WA SEKRETARIETI YA TUME YA JESHI LA POLISI NA MAGEREZA JIJINI DAR
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-KqLYwVPTRIk/VMC2bKKZDfI/AAAAAAAG-38/rOWt6qY212g/s72-c/unnamed%2B(13).jpg)
WAZIRI CHIKAWE AWAAPISHA WAJUMBE WA SEKRETARIETI YA TUME YA JESHI LA POLISI NA MAGEREZA JIJINI DAR LEO
![](http://3.bp.blogspot.com/-KqLYwVPTRIk/VMC2bKKZDfI/AAAAAAAG-38/rOWt6qY212g/s1600/unnamed%2B(13).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-vC8I2fwtn2o/VMC2bR1F2sI/AAAAAAAG-4A/MiGR_wwI02g/s1600/unnamed%2B(14).jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-q7akGC6klaU/U9-MkxRdYPI/AAAAAAAF9Aw/3e0KN08Stw4/s72-c/PIX+1.jpg)
CHIKAWE AWAAPISHA WAJUMBE WA SEKRETARIETI YA TUME YA JESHI LA POLISI NA MAGEREZA JIJINI DAR ES SALAAM LEO
![](http://4.bp.blogspot.com/-q7akGC6klaU/U9-MkxRdYPI/AAAAAAAF9Aw/3e0KN08Stw4/s1600/PIX+1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-JpQU8Q3dyD8/U9-MlQiAIqI/AAAAAAAF9A0/ed-YXkWjVZE/s1600/PIX+2.jpg)