Maduhuli ya Madini Chunya Yazidi kupaa, Yafikia Bilioni 24.1 sawa na lengo la asilimia 128 ya lengo la mwaka
![](https://1.bp.blogspot.com/-vBhI3bi6Cgw/XkYq6oVJ2BI/AAAAAAALdVI/9rkR9juH-wIJZWwl7udnkn4BdhXbsbQhgCLcBGAsYHQ/s72-c/PICHA-NA-2-3-1024x683.jpg)
Kutoka kulia waliosimama Mwenyekiti wa Tume ya Madini, Profesa Idris Kikula na Mkuu wa Wilaya ya Chunya, Mhandisi Maryprisca Mahundi wakiangalia namna uchenjuaji wa dhahabu unavyofanyika katika Kiwanda cha Uchenjuaji Dhahabu cha PM kilichopo katika eneo la Makongolosi Wilayani Chunya Mkoani Mbeya. Imeelezwa kuwa kuanzia kipindi cha mwaka wa fedha 2019/2020 kilichoanza Julai, 2019 hadi Januari 31, 2020, ofisi yake imefanikiwa kukusanya jumla ya kiasi cha shilingi bilioni 24.173 ikiwa ni...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/--oXQMCxjXTc/Xt22O_e_GZI/AAAAAAAEHiY/8_OgU7VjozEvXxYMV-QfN0q7VpJC8aCZwCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_4943.jpg)
BENKI YA NMB KULIPA GAWIO LA SH. BILIONI 48 MWAKA 2019: ONGEZEKO LA ASILIMIA 45% KULINGANISHA NA GAWIO LA MWAKA 2018
![](https://1.bp.blogspot.com/--oXQMCxjXTc/Xt22O_e_GZI/AAAAAAAEHiY/8_OgU7VjozEvXxYMV-QfN0q7VpJC8aCZwCLcBGAsYHQ/s640/IMG_4943.jpg)
11 years ago
Michuzi06 Jul
11 years ago
BBCSwahili09 May
Je TZ itatimiza lengo la 5 la milenia?
10 years ago
BBCSwahili14 Jul
UN imetimiza lengo la kupunguza Ukimwi
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-K2whWUoniLg/VcNxy9V5JdI/AAAAAAAHurE/mRJalnpi_HU/s72-c/unnamed%2B%252854%2529.jpg)
Madini kanda ya Kusini yashika kasi ukusanyaji maduhuli
![](http://4.bp.blogspot.com/-K2whWUoniLg/VcNxy9V5JdI/AAAAAAAHurE/mRJalnpi_HU/s640/unnamed%2B%252854%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-jLMa6-szgCY/VcNxy21461I/AAAAAAAHurI/aiRcMMiUPFE/s640/unnamed%2B%252852%2529.jpg)
11 years ago
Habarileo20 Jul
Serikali yavuka lengo usambazaji umeme
SERIKALI imekiomba Chama Cha Mapinduzi (CCM) kuipangia upya malengo ya kusambaza umeme kwa wananchi kwa sababu malengo yaliyopangwa katika Ilani ya Uchaguzi Mkuu wa 2010 yamefikiwa na kupitwa hata kabla ya kumalizika kipindi cha miaka mitano.
10 years ago
Habarileo18 Jul
Arusha wavuka lengo uandikishaji BVR
TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imeongeza siku mbili za uandikishwaji katika Halmashauri ya Jiji la Arusha na kulazimika kazi hiyo kumalizika jana badala ya kuisha Julai 16 mwaka huu.
10 years ago
Mwananchi03 Mar
Tume yavuka lengo la uandikishaji Makambako
10 years ago
Mwananchi02 Sep
Wajigamba kuvuka lengo darasa la saba