Wajigamba kuvuka lengo darasa la saba
Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe, Mkoa wa Mwanza imeweka mipango kabambe kuwezesha wanafunzi wa darasa la saba watakaohitimu mwaka huu kufanya vizuri zaidi.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
StarTV07 Jan
TRA yafanikiwa kuvuka lengo tangu kuanzishwa kwake
Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) kwa mara ya kwanza imefanikiwa kuvuka lengo la makusanyo ya kodi tangu kuanzishwa mamlaka hiyo mwaka 1996.
TRA imevuka lengo kwa kukusanya Shilingi trilioni moja, milioni 400, laki mbili na elfu 20 kwa Desemba 2015, ikiwa ni zaidi ya ongezeko la wastani wa Shilingi bilioni 490 kwa mwezi.
Ongezeko hilo la makusanyo ya kodi ni zaidi ya Shilingi milioni 900 zilizokusanywa kwa kipindi cha miezi mitano, kati ya Julai na Novemba mwaka jana.
Kaimu Kamishna Mkuu wa...
11 years ago
Mwananchi18 Dec
Nusu ya wanafunzi darasa la saba hawawezi Kiingereza cha darasa la pili
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/iC8gEB0kF6mBd7r6*8rSsXekJ*wCwi-bk9AUNlcLhatBnZpnFwCzLv2fq73rgAc5qaguKf20Ho7tClSIM8vg93ZfQThCBOFE/13.gif)
10 years ago
Mwananchi06 Nov
Nusu wafaulu darasa la saba
11 years ago
GPL96% DARASA LA SABA KUJIUNGA SEKONDARI
10 years ago
TZToday12 Nov
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-vHzKCuNTLQM/Ve1Cf7WvH7I/AAAAAAABHBQ/grpu2EQFbOk/s72-c/IMG-20150907-WA0005.jpg)
MAHAFALI YA DARASA LA SABA ST. FLORENCE ACADEMY
![](http://3.bp.blogspot.com/-vHzKCuNTLQM/Ve1Cf7WvH7I/AAAAAAABHBQ/grpu2EQFbOk/s640/IMG-20150907-WA0005.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-U3bACld__jM/Ve1Cl7VnpuI/AAAAAAABHCM/rgQa8gZgOUk/s640/IMG-20150907-WA0015.jpg)
KWA PICHA ZAIDI BOFYA HAPA. ...
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/-M4AZQ7Xoc-NgsyevB-d3LPwl8pAJIs3CISAYeLEbrG3CcrKhvs1ga76cgjM2gXtAEYzgGhXNc3NUkcKosUtTbcKEnsp24e1/nectalogo.png)
ANGALIA MATOKEO YA DARASA LA SABA HAPA
9 years ago
Mtanzania09 Sep
Mitihani darasa la saba yaanza leo
NA JONAS MUSHI, DAR ES SALAAM
BARAZA la Taifa la Mitihani (NECTA) limesema watahiniwa 775,729 wakiwamo wasichana 414,227 na wavulana 361,502, wanatarajiwa kufanya mitihani ya taifa ya kuhitimu darasa la saba leo katika shule 16,096 za Tanzania bara.
Katibu Mtendaji wa NECTA, Dk. Charles Msonde alisema jana kuwa mitihani hiyo itafanyika kwa siku mbili (leo na kesho) na itahusisha masomo matano ya Kiswahili, Kiingereza, Hisabati, Sayansi na Maarifa ya Jamii.
“Maandalizi yote ya mitihani...