Nusu wafaulu darasa la saba
Baraza la Mitihani la Taifa (Necta), limetangaza matokeo ya mtihani wa darasa la saba mwaka 2014 yakionyesha kuwa zaidi ya nusu ya wanafunzi waliofanya mtihani huo Septemba mwaka huu, wamefaulu.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi18 Dec
Nusu ya wanafunzi darasa la saba hawawezi Kiingereza cha darasa la pili
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/iC8gEB0kF6mBd7r6*8rSsXekJ*wCwi-bk9AUNlcLhatBnZpnFwCzLv2fq73rgAc5qaguKf20Ho7tClSIM8vg93ZfQThCBOFE/13.gif)
11 years ago
GPL96% DARASA LA SABA KUJIUNGA SEKONDARI
10 years ago
TZToday12 Nov
11 years ago
Tanzania Daima02 Jan
Dar yaongeza ufaulu darasa la saba
MKOA wa Dar es Salaam umekuwa wa kwanza kitaifa katika matokeo ya darasa la saba huku wanafunzi wote 10 bora kwa upande wa wavulana na 10 bora kwa upande wa...
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/-M4AZQ7Xoc-NgsyevB-d3LPwl8pAJIs3CISAYeLEbrG3CcrKhvs1ga76cgjM2gXtAEYzgGhXNc3NUkcKosUtTbcKEnsp24e1/nectalogo.png)
ANGALIA MATOKEO YA DARASA LA SABA HAPA
9 years ago
Mtanzania09 Sep
Mitihani darasa la saba yaanza leo
NA JONAS MUSHI, DAR ES SALAAM
BARAZA la Taifa la Mitihani (NECTA) limesema watahiniwa 775,729 wakiwamo wasichana 414,227 na wavulana 361,502, wanatarajiwa kufanya mitihani ya taifa ya kuhitimu darasa la saba leo katika shule 16,096 za Tanzania bara.
Katibu Mtendaji wa NECTA, Dk. Charles Msonde alisema jana kuwa mitihani hiyo itafanyika kwa siku mbili (leo na kesho) na itahusisha masomo matano ya Kiswahili, Kiingereza, Hisabati, Sayansi na Maarifa ya Jamii.
“Maandalizi yote ya mitihani...
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-vHzKCuNTLQM/Ve1Cf7WvH7I/AAAAAAABHBQ/grpu2EQFbOk/s72-c/IMG-20150907-WA0005.jpg)
MAHAFALI YA DARASA LA SABA ST. FLORENCE ACADEMY
![](http://3.bp.blogspot.com/-vHzKCuNTLQM/Ve1Cf7WvH7I/AAAAAAABHBQ/grpu2EQFbOk/s640/IMG-20150907-WA0005.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-U3bACld__jM/Ve1Cl7VnpuI/AAAAAAABHCM/rgQa8gZgOUk/s640/IMG-20150907-WA0015.jpg)
KWA PICHA ZAIDI BOFYA HAPA. ...
10 years ago
Habarileo25 Dec
Pwani yaongeza ufaulu darasa la saba
MKOA wa Pwani umeongeza ufaulu kwa wanafunzi waliofanya mtihani wa darasa la saba ambapo jumla wanafunzi 13,242 wamechaguliwa kujiunga na kidato cha kwanza kwenye shule mbalimbali za sekondari.