Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MAHAFALI YA DARASA LA SABA ST. FLORENCE ACADEMY






                                                                           Denzel akiwa amebeba keki yake
                                                                              Wakati wa kuonyesha vipaji vyao
KWA PICHA ZAIDI BOFYA HAPA.                                          ...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Dewji Blog

Denzel Deogratius Rweyunga alamba Nondoz ya darasa saba St. Florence Academy

Mwanafunzi Denzel Deogratius Rweyunga akipokea cheti chake kutoka kwa mgeni rasmi, Dr Selina Mathias wakati wa mahafali ya kumaliza darasa la saba yaliyofanyika jana St. Florence Academy Mikocheni jijini Dar es Salaam.

Denzel Deogratius Rweyunga akiondoka jukwaa kuu kwa furaha baada ya kutunukiwa cheti cha kuhitimu darasa la saba na mgeni rasmi, Dr Selina Mathias (katikati). Kulia mwenye miwani ni mmiliki wa shule hiyo, mama Asey na mwenye suti ni mwalimu mkuu, Wilson Kakanga.

Picha ya...

 

10 years ago

Dewji Blog

Mahafali darasa la saba shule ya St. Mary’s Mbeya

Wanafunzi wa shule ya Kimataifa ya St.Mary’s Forest jijini Mbeya wakitoa burudani katika mahafali ya Darasa la saba katika shule hiyo yaliyofanyika mwishoni mwa wiki jijini Mbeya. (Picha Jamiimojablog). Wahitimu wa Elimu ya Msingi katika shule ya Kimataifa ya St.Marys Forest Jijini Mbeya.’ Wazazi na walezi. Uongozi wa shule ukitoa zawadi kwa wanafunzi walifanya vizuri katika masomo yao kwa upande wa wanafunzi wote kwa ujumla waliobaki shuleni hapo. Wahitimu waliofanya vizuri...

 

10 years ago

Vijimambo

HABARI PICHA MAHAFALI DARASA LA SABA SHULE YA ST.MARYS MBEYA

Wanafunzi wa shule ya Kimataifa ya St.Marrys Forest jijini Mbeya wakitoa burudani katika mahafali ya Darasa la saba katika shule hiyo yaliyofanyika mwishoni mwa wiki jijini Mbeya .Picha Jamiimojablog Wahitimu wa Elimu ya Msingi katika shule ya Kimataifa ya St.Marrys Forest Jijini Mbeya Wazazi na walezi Uongozi wa shule ukitoa zawadi kwa wanafunzi walifanya vizuri katika masomo yao kwa upande wa wanafunzi wote kwa ujumla waliobaki shuleni hapo. Wahitimu waliofanya vizuri katika masomo yao...

 

10 years ago

Michuzi

MAHAFALI YA DARASA LA SABA SHULE YA MSINGI GENIUS KING’S JIJINI DAR

Wahitimu wa darasa la saba Fredrick Robert (kulia) na Rania Hante kutoka shule ya Msingi Genius King’s iliyopo jijini Dar es salaam wakisoma risala yao kwa Mgeni Rasmi Mhandisi Michael Mrema aliyemwakilisha Mkuu wa Mkoa wa Pwani Mhandisi Evarist Ndikilo wakati wa mahafali ya nne ya kuwaaga wanafunzi hao iliyofanyika hivi karibuni shuleni hapo. Mgeni Rasmi Mhandisi Michael Mrema akitoa hotuba kwa niaba ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani Mhandisi Evarist Ndikilo wakati wa mahafali ya nne ya kuwaaga...

 

10 years ago

Michuzi

MAHAFALI DARASA LA SABA SHULE YA MSINGI YA ST.MARY'S INTERNATIONAL SCHOOL JIJINI MBEYA

Wanafunzi wa shule ya Kimataifa ya St.Mary's iliyoko eneo la Forest jijini Mbeya wakitoa burudani katika mahafali ya Darasa la saba katika shule hiyo yaliyofanyika mwishoni mwa wiki jijini humo.Wahitimu wa Elimu ya Msingi katika shule ya Kimataifa ya St.Mary's Forest Jijini MbeyaWazazi na waleziUongozi wa shule ukitoa zawadi kwa wanafunzi walifanya vizuri katika masomo yao kwa upande wa wanafunzi wote kwa ujumla waliobaki shuleni hapo.
Kwa picha zaidi na Jamiimoja blog BOFYA HAPA

 

11 years ago

Michuzi

MAHAFALI YA KIDATO CHA NNE NA DARASA LA SABA SHULE YA SEKONDARI MWILAMVYA KASULU KIGOMA

Na Editha Karlo wa Blog ya jamiiWIZARA ya Elimu na mafunzo ya ufundi imepigilia msumari wa kuendelea kuwazuia wanafunzi wa shule za sekondari na shule za msingi za bweni na kutwa kumiliki simu za mkononi wakiwa shuleni na yeyote atakayekamatwa hatua za kinidhamu zitachukuliwa dhidi yake.
Hayo yamesemwa na Naibu Waziri wa Elimu na mafunzo ya ufundi Jenista Muhaga wakati wa mahafali ya kidato cha nne na darasa la saba wa shule ya sekondari ya Mwilayamvya medium iliyopo Wilayani Kasulu Mkoani...

 

11 years ago

Mwananchi

Nusu ya wanafunzi darasa la saba hawawezi Kiingereza cha darasa la pili

>Asilimia 24 ya wanafunzi wa darasa la saba nchini hawawezi kusoma hadithi rahisi iliyoandikwa kwa lugha ya Kiswahili kwa ajili ya wanafunzi wa darasa la pili ambapo asilimia 50 ya wanafunzi hao, hawawezi kusoma hadithi ya Kiingereza ya darasa la pili.

 

10 years ago

Mwananchi

Nusu wafaulu darasa la saba

Baraza la Mitihani la Taifa (Necta), limetangaza matokeo ya mtihani wa darasa la saba mwaka 2014 yakionyesha kuwa zaidi ya nusu ya wanafunzi waliofanya mtihani huo Septemba mwaka huu, wamefaulu.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani