Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Denzel Deogratius Rweyunga alamba Nondoz ya darasa saba St. Florence Academy

Mwanafunzi Denzel Deogratius Rweyunga akipokea cheti chake kutoka kwa mgeni rasmi, Dr Selina Mathias wakati wa mahafali ya kumaliza darasa la saba yaliyofanyika jana St. Florence Academy Mikocheni jijini Dar es Salaam.

Denzel Deogratius Rweyunga akiondoka jukwaa kuu kwa furaha baada ya kutunukiwa cheti cha kuhitimu darasa la saba na mgeni rasmi, Dr Selina Mathias (katikati). Kulia mwenye miwani ni mmiliki wa shule hiyo, mama Asey na mwenye suti ni mwalimu mkuu, Wilson Kakanga.

Picha ya...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Michuzi

MAHAFALI YA DARASA LA SABA ST. FLORENCE ACADEMY






                                                                           Denzel akiwa amebeba keki yake
                                                                              Wakati wa kuonyesha vipaji vyao
KWA PICHA ZAIDI BOFYA HAPA.                                          ...

 

10 years ago

Vijimambo

DATIUS JOVIT ALAMBA NONDOZ YA ELIMU YA CHUO KIKUU KISHIRIKI CHA DUCE

 Kijana Datius akiwa katika Picha ya Pamoja na Baba yake Mzazi (nyuma ya babu yake aliyevaa miwani) Babu zake na dada zake wakati alipotunukiwa nondo yake ya elimu kutoka Chuo Kikuu Kishiriki cha DUCE hapo jana Datius Akiwa katika picha ya pamoja na Baba yake Mzazi (Kushoto) pamoja na Babu yake mdogo (kulia) Akivishwa taji na Dada yake aitwaye NeemaAkiwa na Dada mara baada ya kulamba nondoz.Picha Zote na Josephat Lukaza wa http://www.josephatlukaza.com

 

10 years ago

Michuzi

MDAU DATIUS JOVIT ALAMBA NONDOZ YA ELIMU YA CHUO KIKUU KISHIRIKI CHA DUCE

 Kijana Datius akiwa katika Picha ya Pamoja na Baba yake Mzazi (nyuma ya babu yake aliyevaa miwani) Babu zake na dada zake wakati alipotunukiwa nondo yake ya elimu kutoka Chuo Kikuu Kishiriki cha DUCE hapo jana Datius Akiwa katika picha ya pamoja na Baba yake Mzazi (Kushoto) pamoja na Babu yake mdogo (kulia) Akivishwa taji na Dada yake aitwaye NeemaAkiwa na Dada mara baada ya kulamba nondoz.Picha Zote na Josephat Lukaza wa http://www.josephatlukaza.com

 

11 years ago

Mwananchi

Nusu ya wanafunzi darasa la saba hawawezi Kiingereza cha darasa la pili

>Asilimia 24 ya wanafunzi wa darasa la saba nchini hawawezi kusoma hadithi rahisi iliyoandikwa kwa lugha ya Kiswahili kwa ajili ya wanafunzi wa darasa la pili ambapo asilimia 50 ya wanafunzi hao, hawawezi kusoma hadithi ya Kiingereza ya darasa la pili.

 

9 years ago

Michuzi

BALOZI WA TANZANIA NCHINI OMAN MAALIM DR ALI AHMED SALEH ALAMBA NONDOZ YA SHAHADA YA UZAMIFU YA FALSAFA YA UDAKTARI (Phd) YA CHUO KIKUU HURIA CHA TANZANIA(OUT)KATIKA MAHAFALI YA 29 HAPO TAREHE 16/12/15

BALOZI, MAALIM DR. ALI AHMED SALEH AKISIDINDIKIZWA NA MSIMAMIZI WAKE WA MASOMO(SUPERVISOR) PROF. HOSSEA RWEGOSHORA KUPOKEA SHAHADA YAKE YA PhD.

 

10 years ago

Mwananchi

Nusu wafaulu darasa la saba

Baraza la Mitihani la Taifa (Necta), limetangaza matokeo ya mtihani wa darasa la saba mwaka 2014 yakionyesha kuwa zaidi ya nusu ya wanafunzi waliofanya mtihani huo Septemba mwaka huu, wamefaulu.

 

11 years ago

GPL

96% DARASA LA SABA KUJIUNGA SEKONDARI

Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Jumanne Sagini akitangaza wanafunzi waliochaguliwa kujiunga kidato cha kwanza 2014 ofisini kwake Dar es Salaam jana. Kushoto ni Naibu Katibu Mkuu Tamisemi anayeshughulikia Elimu. ASILIMIA 96.15 ya wanafunzi wa darasa la saba waliofanya mtihani wa kumaliza elimu ya msingi mwaka huu na kufaulu, ndio waliochaguliwa kujiunga na sekondari za serikali....

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani