HABARI PICHA MAHAFALI DARASA LA SABA SHULE YA ST.MARYS MBEYA
Wanafunzi wa shule ya Kimataifa ya St.Marrys Forest jijini Mbeya wakitoa burudani katika mahafali ya Darasa la saba katika shule hiyo yaliyofanyika mwishoni mwa wiki jijini Mbeya .Picha Jamiimojablog
Wahitimu wa Elimu ya Msingi katika shule ya Kimataifa ya St.Marrys Forest Jijini Mbeya
Wazazi na walezi
Uongozi wa shule ukitoa zawadi kwa wanafunzi walifanya vizuri katika masomo yao kwa upande wa wanafunzi wote kwa ujumla waliobaki shuleni hapo.
Wahitimu waliofanya vizuri katika masomo yao...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog18 Aug
Mahafali darasa la saba shule ya St. Mary’s Mbeya
9 years ago
MichuziMAHAFALI DARASA LA SABA SHULE YA MSINGI YA ST.MARY'S INTERNATIONAL SCHOOL JIJINI MBEYA
Kwa picha zaidi na Jamiimoja blog BOFYA HAPA
9 years ago
MichuziMAHAFALI YA DARASA LA SABA SHULE YA MSINGI GENIUS KING’S JIJINI DAR
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-0tCD7jWaICQ/VEt2EVZBZuI/AAAAAAAGtRc/elPxLu9DFIA/s72-c/mgeni%2Brasmi2.jpg)
MAHAFALI YA KIDATO CHA NNE NA DARASA LA SABA SHULE YA SEKONDARI MWILAMVYA KASULU KIGOMA
Hayo yamesemwa na Naibu Waziri wa Elimu na mafunzo ya ufundi Jenista Muhaga wakati wa mahafali ya kidato cha nne na darasa la saba wa shule ya sekondari ya Mwilayamvya medium iliyopo Wilayani Kasulu Mkoani...
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-vHzKCuNTLQM/Ve1Cf7WvH7I/AAAAAAABHBQ/grpu2EQFbOk/s72-c/IMG-20150907-WA0005.jpg)
MAHAFALI YA DARASA LA SABA ST. FLORENCE ACADEMY
![](http://3.bp.blogspot.com/-vHzKCuNTLQM/Ve1Cf7WvH7I/AAAAAAABHBQ/grpu2EQFbOk/s640/IMG-20150907-WA0005.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-U3bACld__jM/Ve1Cl7VnpuI/AAAAAAABHCM/rgQa8gZgOUk/s640/IMG-20150907-WA0015.jpg)
KWA PICHA ZAIDI BOFYA HAPA. ...
9 years ago
Dewji Blog02 Nov
Shule ya msingi Green Hill ya jijini Dar yafanya vizuri katika mtihani wa darasa la saba
![](http://3.bp.blogspot.com/-Y2RDaDVFLGw/VjZDdmWRWDI/AAAAAAAAHfQ/w9W2x3lRif0/s640/GREEN%2BHILL%2BPIC%2B1.jpg)
Shule ya Msingi Green Hill iliyopo Ilala Mkoani Dar es salaam imekuwa miongoni mwa shule bora zilizofanya vizuri katika mtihani wa darasa la saba, uliofanyika mwezi Septemba mwaka huu kote nchini.
Katika Matokeo yaliyotangazwa juzi na Katibu Mtendaji wa Baraza la Mitihani nchini NECTA Dk.Charles Msonde, ufaulu wa Kitaifa mwaka huu umepanda kwa asilimia 10.85 kutoka asilimia 56.99 za mwaka jana, ambapo wanafunzi waliofaulu ni 518,034 kati ya 775,273 waliosahiliwa...
10 years ago
VijimamboWANAFUNZI DARASA LA SABA SHULE YA ADOLPH KOPING BUKOBA WATEMBELEA KIWANDA CHA SUKARI KAGERA.
11 years ago
Mwananchi18 Dec
Nusu ya wanafunzi darasa la saba hawawezi Kiingereza cha darasa la pili
11 years ago
GPLGLOBAL NA PICHA KEDEKEDE ZA MAONYESHO YA SABA SABA DAR