Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


UN imetimiza lengo la kupunguza Ukimwi

Lengo la kupunguza maambukizi ya ukimwi kufikia 2015 limefikiwa kwa mujibu wa shirika la umoja wa mataifa UN Aids

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Dewji Blog

Kupunguza umasikini kuendelea kuwa lengo kuu la milenia- UN

IMG_01291

 

Ofisa Habari wa kituo cha habari cha Umoja wa Mataifa (UNIC), Bi. Usia Nkhoma Ledama akizungumza na washiriki wa Uzinduzi wa Kampeni ya Chukua Hatua Dhidi ya Umasikini 2015, iliyofanyika jijini Dar es Salaam.

Ofisa Habari Umoja wa Mataifa (UN), Bi. Usia Nkhoma Ledama akizungumza na washiriki wa Uzinduzi wa Kampeni ya Chukua Hatua Dhidi ya Umasikini 2015, iliyofanyika jijini Dar es Salaam.

Ofisa Habari Umoja wa Mataifa (UNIC), Bi. Usia Nkhoma Ledama akizungumza na washiriki wa Uzinduzi wa Kampeni ya Chukua Hatua Dhidi ya Umasikini 2015, iliyofanyika jijini Dar es Salaam.

Ofisa Habari Umoja wa Mataifa (UN), Bi. Usia Nkhoma Ledama akizungumza na washiriki wa Uzinduzi wa Kampeni ya Chukua Hatua Dhidi ya Umasikini 2015, iliyofanyika jijini Dar es Salaam.

Ofisa Habari wa kituo cha habari cha Umoja wa Mataifa (UNIC), Bi. Usia Nkhoma Ledama akizungumza...

 

11 years ago

Michuzi

Tanzania yafanikiwa kufanikisha lengo la kupunguza vifo vya watoto - JK

Rais Dkt Mrisho Kikwete akitoa hotuba ya ufunguzi wa Mkutano kuhusu afya ya Mama na Mtoto unaofanyika mjini Toronto, Canada. Waziri Mkuu wa Canada Mhe. Stephen Harper akimpongeza Rais Kikwete baada ya hotuba yake

 

11 years ago

Habarileo

Mmea wadaiwa kupunguza Ukimwi

MMEA wa asili unaostawi kwa wingi ndani ya Hifadhi ya Taifa ya Kitulo, maarufu kwa jina la Chikanda, upo hatarini kutoweka kutokana na kuvunwa kiharamu na watu wanaoamini unasaidia kupunguza makali ya Ukimwi.

 

11 years ago

Michuzi

TACAIDS yathibitisha upatikanaji wa dawa za kupunguza makali ya Ukimwi (RAVs) nchini

 Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Huduma za Jamii Margreth Sitta, akizungumza na wahabahari baada ya ufunguzi wa mkutano.

 Mwenyekiti Mtendaji wa Tume ya Kudhibiti Ukimwi Tanzania (TACAIDS) Dk. Fatma Mrisho (kulia) akiwa na washiriki wenzake wa mkutano huo wakifuatilia uwasilishwaji wa mada. Mjumbe wa Chama cha Ukimwi Ulimwenguni na Mbunge wa Kigamboni Dk. Faustine Ndugulile (kushoto) akifuatilia mkutano wa wadau wa Ukimwi kujadili matumizi sahihi ya rasilimali katika kupambana na Ukimwi...

 

10 years ago

GPL

RAIS ZUMA KUPITISHA SHERIA YA WATU WENYE VVU KUWEKEWA ALAMA SEHEMU NYETI, ITASAIDIA KUPUNGUZA MAAMBUKIZI YA UKIMWI?

BAADA vurugu za wenyeji kuwashambulia wageni, Afrika Kusini imetengeneza tena 'headilines' baada ya Rais wa nchi hiyo, Jacob Zuma kusaini muswada ambao utawalazimu watu wote watakaogundulika kuwa na Virusi vya HIV kuwekewa alama jirani na sehemu zao nyeti. Kuanzia sasa mtu atakayepimwa na kugundulika kuwa na VVU nchini Afrika Kusini hatapewa ushauri nasaha peke yake, bali pia atachorwa tattoo kuonyesha kuwa ameathirika. "Alama...

 

5 years ago

Michuzi

Maduhuli ya Madini Chunya Yazidi kupaa, Yafikia Bilioni 24.1 sawa na lengo la asilimia 128 ya lengo la mwaka


Kutoka kulia waliosimama Mwenyekiti wa Tume ya Madini, Profesa Idris Kikula na Mkuu wa Wilaya ya Chunya, Mhandisi Maryprisca Mahundi wakiangalia namna uchenjuaji wa dhahabu unavyofanyika katika Kiwanda cha Uchenjuaji Dhahabu cha PM kilichopo katika eneo la Makongolosi Wilayani Chunya Mkoani Mbeya. Imeelezwa kuwa kuanzia kipindi cha mwaka wa fedha 2019/2020 kilichoanza Julai, 2019 hadi Januari 31, 2020, ofisi yake imefanikiwa kukusanya jumla ya kiasi cha shilingi bilioni 24.173 ikiwa ni...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kupunguza uchumi wa taslimu uwe mkakati wa kupunguza ujambazi

MATUKIO ya majambazi kuwavamia watu na kuwakuta na fedha nyingi ni mengi. Juzi sista wa Kanisa Katoliki Parokia ya Makoka – Dar es Salaam, alivamiwa na kupigwa risasi na majambazi,...

 

11 years ago

Michuzi

11 years ago

BBCSwahili

Je TZ itatimiza lengo la 5 la milenia?

Je Tanzania itaweza kufikia lengo la millenia namba 5 la kuhakikisha huduma ya afya ya uzazi imeboreshwa mpaka kufikia mwaka wa 2015?

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani