Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Je TZ itatimiza lengo la 5 la milenia?

Je Tanzania itaweza kufikia lengo la millenia namba 5 la kuhakikisha huduma ya afya ya uzazi imeboreshwa mpaka kufikia mwaka wa 2015?

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Dewji Blog

Kupunguza umasikini kuendelea kuwa lengo kuu la milenia- UN

IMG_01291

 

Ofisa Habari wa kituo cha habari cha Umoja wa Mataifa (UNIC), Bi. Usia Nkhoma Ledama akizungumza na washiriki wa Uzinduzi wa Kampeni ya Chukua Hatua Dhidi ya Umasikini 2015, iliyofanyika jijini Dar es Salaam.

Ofisa Habari Umoja wa Mataifa (UN), Bi. Usia Nkhoma Ledama akizungumza na washiriki wa Uzinduzi wa Kampeni ya Chukua Hatua Dhidi ya Umasikini 2015, iliyofanyika jijini Dar es Salaam.

Ofisa Habari Umoja wa Mataifa (UNIC), Bi. Usia Nkhoma Ledama akizungumza na washiriki wa Uzinduzi wa Kampeni ya Chukua Hatua Dhidi ya Umasikini 2015, iliyofanyika jijini Dar es Salaam.

Ofisa Habari Umoja wa Mataifa (UN), Bi. Usia Nkhoma Ledama akizungumza na washiriki wa Uzinduzi wa Kampeni ya Chukua Hatua Dhidi ya Umasikini 2015, iliyofanyika jijini Dar es Salaam.

Ofisa Habari wa kituo cha habari cha Umoja wa Mataifa (UNIC), Bi. Usia Nkhoma Ledama akizungumza...

 

10 years ago

Habarileo

Afya wajivuna kufika lengo la Milenia kwa watoto

WAZIRI wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dk Seif Seleman Rashid amesema serikali imefikia Malengo ya Milenia ya kupunguza kupunguza vifo vya watoto chini ya umri wa miaka mitano kwa theluthi mbili kutoka mwaka 1995 hadi 2015.

 

5 years ago

Michuzi

Maduhuli ya Madini Chunya Yazidi kupaa, Yafikia Bilioni 24.1 sawa na lengo la asilimia 128 ya lengo la mwaka


Kutoka kulia waliosimama Mwenyekiti wa Tume ya Madini, Profesa Idris Kikula na Mkuu wa Wilaya ya Chunya, Mhandisi Maryprisca Mahundi wakiangalia namna uchenjuaji wa dhahabu unavyofanyika katika Kiwanda cha Uchenjuaji Dhahabu cha PM kilichopo katika eneo la Makongolosi Wilayani Chunya Mkoani Mbeya. Imeelezwa kuwa kuanzia kipindi cha mwaka wa fedha 2019/2020 kilichoanza Julai, 2019 hadi Januari 31, 2020, ofisi yake imefanikiwa kukusanya jumla ya kiasi cha shilingi bilioni 24.173 ikiwa ni...

 

10 years ago

BBCSwahili

Malengo ya Milenia:TZ

Tanzania imefanikiwa kutimiza lengo namba 4 la malengo ya maendeleo ya milenia.

 

11 years ago

Habarileo

SMZ yavuka malengo ya milenia

SERIKALI ya Mapinduzi ya Zanzibar tayari imesema imefanikiwa kuyafikia Malengo ya Milenia ya kuimarisha na kusambaza huduma za Elimu hadi vijijini ambapo kwa sasa hakuna mwanafunzi anayetembea kilomita nne kutafuta elimu.

 

11 years ago

Mwananchi

Wadau wakosoa Malengo ya Milenia

Baadhi ya wadau wa maendeleo wamekosoa ripoti ya Malengo ya Milenia iliyotolewa na mwakilishi wa Wizara ya Fedha katika mjadala ulioandaliwa na Taasisi ya Policy Forum jijini Dar es Salaam jana.

 

11 years ago

Habarileo

SMZ yatekeleza mipango ya Milenia kwa 80%

SERIKALI ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ) imesema imefanikiwa kutekeleza Malengo ya Milenia kwa asilimia 80 hadi ifikapo mwakani 2015 ikiwamo kupunguza vifo kwa watoto pamoja na uandikishaji wa wanafunzi kwa elimu ya msingi.

 

10 years ago

Habarileo

Ulemavu wa kutoona waathiri Malengo ya Milenia

SERIKALI imesema ulemavu wa kutokuona unaathiri juhudi zinazosaidia kufikiwa kwa Malengo ya Maendeleo ya Milenia likiwemo la kuondoa umasikini uliokithiri.

 

11 years ago

Mwananchi

Tanzania yashindwa kufikia malengo ya milenia

 Taasisi ya Utafiti wa Kiuchumi na Kijamii (ESRF) imesema wakati muda wa utekelezaji wa malengo ya milenia ukikaribia kufika mwisho ifikapo mwaka 2015, Tanzania bado ni maskini.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani