Je TZ itatimiza lengo la 5 la milenia?
Je Tanzania itaweza kufikia lengo la millenia namba 5 la kuhakikisha huduma ya afya ya uzazi imeboreshwa mpaka kufikia mwaka wa 2015?
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog16 Jan
Kupunguza umasikini kuendelea kuwa lengo kuu la milenia- UN
Ofisa Habari wa kituo cha habari cha Umoja wa Mataifa (UNIC), Bi. Usia Nkhoma Ledama akizungumza na washiriki wa Uzinduzi wa Kampeni ya Chukua Hatua Dhidi ya Umasikini 2015, iliyofanyika jijini Dar es Salaam.
![Ofisa Habari Umoja wa Mataifa (UN), Bi. Usia Nkhoma Ledama akizungumza na washiriki wa Uzinduzi wa Kampeni ya Chukua Hatua Dhidi ya Umasikini 2015, iliyofanyika jijini Dar es Salaam.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2015/01/IMG_0146.jpg)
Ofisa Habari Umoja wa Mataifa (UNIC), Bi. Usia Nkhoma Ledama akizungumza na washiriki wa Uzinduzi wa Kampeni ya Chukua Hatua Dhidi ya Umasikini 2015, iliyofanyika jijini Dar es Salaam.
![Ofisa Habari Umoja wa Mataifa (UN), Bi. Usia Nkhoma Ledama akizungumza na washiriki wa Uzinduzi wa Kampeni ya Chukua Hatua Dhidi ya Umasikini 2015, iliyofanyika jijini Dar es Salaam.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2015/01/IMG_0125.jpg)
Ofisa Habari wa kituo cha habari cha Umoja wa Mataifa (UNIC), Bi. Usia Nkhoma Ledama akizungumza...
10 years ago
Habarileo27 Sep
Afya wajivuna kufika lengo la Milenia kwa watoto
WAZIRI wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dk Seif Seleman Rashid amesema serikali imefikia Malengo ya Milenia ya kupunguza kupunguza vifo vya watoto chini ya umri wa miaka mitano kwa theluthi mbili kutoka mwaka 1995 hadi 2015.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-vBhI3bi6Cgw/XkYq6oVJ2BI/AAAAAAALdVI/9rkR9juH-wIJZWwl7udnkn4BdhXbsbQhgCLcBGAsYHQ/s72-c/PICHA-NA-2-3-1024x683.jpg)
Maduhuli ya Madini Chunya Yazidi kupaa, Yafikia Bilioni 24.1 sawa na lengo la asilimia 128 ya lengo la mwaka
![](https://1.bp.blogspot.com/-vBhI3bi6Cgw/XkYq6oVJ2BI/AAAAAAALdVI/9rkR9juH-wIJZWwl7udnkn4BdhXbsbQhgCLcBGAsYHQ/s640/PICHA-NA-2-3-1024x683.jpg)
Kutoka kulia waliosimama Mwenyekiti wa Tume ya Madini, Profesa Idris Kikula na Mkuu wa Wilaya ya Chunya, Mhandisi Maryprisca Mahundi wakiangalia namna uchenjuaji wa dhahabu unavyofanyika katika Kiwanda cha Uchenjuaji Dhahabu cha PM kilichopo katika eneo la Makongolosi Wilayani Chunya Mkoani Mbeya. Imeelezwa kuwa kuanzia kipindi cha mwaka wa fedha 2019/2020 kilichoanza Julai, 2019 hadi Januari 31, 2020, ofisi yake imefanikiwa kukusanya jumla ya kiasi cha shilingi bilioni 24.173 ikiwa ni...
10 years ago
BBCSwahili03 Jul
Malengo ya Milenia:TZ
11 years ago
Habarileo09 Jan
SMZ yavuka malengo ya milenia
SERIKALI ya Mapinduzi ya Zanzibar tayari imesema imefanikiwa kuyafikia Malengo ya Milenia ya kuimarisha na kusambaza huduma za Elimu hadi vijijini ambapo kwa sasa hakuna mwanafunzi anayetembea kilomita nne kutafuta elimu.
11 years ago
Mwananchi26 Jul
Wadau wakosoa Malengo ya Milenia
11 years ago
Habarileo01 Aug
SMZ yatekeleza mipango ya Milenia kwa 80%
SERIKALI ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ) imesema imefanikiwa kutekeleza Malengo ya Milenia kwa asilimia 80 hadi ifikapo mwakani 2015 ikiwamo kupunguza vifo kwa watoto pamoja na uandikishaji wa wanafunzi kwa elimu ya msingi.
10 years ago
Habarileo10 Oct
Ulemavu wa kutoona waathiri Malengo ya Milenia
SERIKALI imesema ulemavu wa kutokuona unaathiri juhudi zinazosaidia kufikiwa kwa Malengo ya Maendeleo ya Milenia likiwemo la kuondoa umasikini uliokithiri.
11 years ago
Mwananchi15 Jun
Tanzania yashindwa kufikia malengo ya milenia