Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kupunguza umasikini kuendelea kuwa lengo kuu la milenia- UN

IMG_01291

 

Ofisa Habari wa kituo cha habari cha Umoja wa Mataifa (UNIC), Bi. Usia Nkhoma Ledama akizungumza na washiriki wa Uzinduzi wa Kampeni ya Chukua Hatua Dhidi ya Umasikini 2015, iliyofanyika jijini Dar es Salaam.

Ofisa Habari Umoja wa Mataifa (UN), Bi. Usia Nkhoma Ledama akizungumza na washiriki wa Uzinduzi wa Kampeni ya Chukua Hatua Dhidi ya Umasikini 2015, iliyofanyika jijini Dar es Salaam.

Ofisa Habari Umoja wa Mataifa (UNIC), Bi. Usia Nkhoma Ledama akizungumza na washiriki wa Uzinduzi wa Kampeni ya Chukua Hatua Dhidi ya Umasikini 2015, iliyofanyika jijini Dar es Salaam.

Ofisa Habari Umoja wa Mataifa (UN), Bi. Usia Nkhoma Ledama akizungumza na washiriki wa Uzinduzi wa Kampeni ya Chukua Hatua Dhidi ya Umasikini 2015, iliyofanyika jijini Dar es Salaam.

Ofisa Habari wa kituo cha habari cha Umoja wa Mataifa (UNIC), Bi. Usia Nkhoma Ledama akizungumza...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Je TZ itatimiza lengo la 5 la milenia?

Je Tanzania itaweza kufikia lengo la millenia namba 5 la kuhakikisha huduma ya afya ya uzazi imeboreshwa mpaka kufikia mwaka wa 2015?

 

10 years ago

Habarileo

Afya wajivuna kufika lengo la Milenia kwa watoto

WAZIRI wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dk Seif Seleman Rashid amesema serikali imefikia Malengo ya Milenia ya kupunguza kupunguza vifo vya watoto chini ya umri wa miaka mitano kwa theluthi mbili kutoka mwaka 1995 hadi 2015.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Tasaf kupunguza umasikini

SERIKALI kupitia Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (Tasaf), imedhamiria kupunguza umasikini katika familia kupitia mpango wa kunusuru kaya. Hayo yalibainishwa mjini hapa juzi na Mkurugenzi wa Programu za Jamii, Amadeus...

 

10 years ago

BBCSwahili

UN imetimiza lengo la kupunguza Ukimwi

Lengo la kupunguza maambukizi ya ukimwi kufikia 2015 limefikiwa kwa mujibu wa shirika la umoja wa mataifa UN Aids

 

11 years ago

Habarileo

JK ataka Malengo ya Milenia kuendelea kutekelezwa

RAIS Jakaya Kikwete ameitaka Jumuiya ya Kimataifa kuhakikisha kuwa Malengo ya Milenia yanatekelezwa kwa ukamilifu hata baada ya kuisha muda uliowekwa wa kuyatimiza, kabla ya kuweka malengo mengine duniani.

 

9 years ago

Habarileo

Milioni 345/- kupunguza umasikini

HALMASHAURI ya Manispaa ya Songea mkoani Ruvuma imepokea Sh 345,213,000 kwa ajii ya kuwajengea uwezo watu wanaoishi katika mazingira magumu na kuziwezesha kaya masikini kuongeza kipato cha kugharimia mahitaji muhimu.

 

10 years ago

Habarileo

Halmashauri 14 kunufaika mradi kupunguza umasikini

HALMASHAURI 14 za Mikoa ya Arusha na Njombe zinatarajiwa kunufaika na Mradi na Kupunguza Umasikini Mradi na Kupunguza Umasikini awamu ya tatu unaofadhiliwa na Mfuko wa Umoja wa Nchi zinazozalisha Mafuta Duniani (OPEC), unaotekelezwa chini ya Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (TASAF).

 

10 years ago

Mtanzania

Kikwete: Afrika inaweza kupunguza umasikini

Rais Jakaya Kikwete

Rais Jakaya Kikwete

NA MWANDISHI MAALUMU, WASHINGTON

RAIS Jakaya Kikwete amesema pamoja na changamoto nyingi ambazo nchi za Afrika zinakumbana nazo, bado kuna uwezekano wa kuupunguza umasikini.

Kauli hiyo aliitoa mjini hapa jana katika mkutano unaojadili maendeleo na kumaliza umasikini ulioandaliwa na Shirika la Misaada la Marekani (USAID).

“Tukiwa na sera sahihi, Serikali kuingilia kati pamoja na ushirikiano na sekta binafsi, inawezekana kuondoa umasikini. Juhudi hizi zikifanikiwa...

 

11 years ago

Habarileo

JK: Taasisi za serikali ziongeze kasi kupunguza umasikini

Meneja wa Shamba la Kahawa la AVIV linalomilikiwa na Kampuni ya Olam, Medappa Ganapati akimuonesha Rais Jakaya Kikwete mche bora wa kahawa iliyozaa vyema, wakati Rais alipokagua shamba hilo katika kijiji cha Lipokela wilayani Mbinga mkoani Ruvuma juzi. (Picha na Freddy Maro).RAIS Jakaya Kikwete ametaka taasisi za Serikali, kuongeza kasi ya kupunguza umasikini miongoni mwa wananchi, akisisitiza kuwa wananchi wamekaa katika umasikini kwa muda mrefu kupita kiasi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani