Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


JK: Taasisi za serikali ziongeze kasi kupunguza umasikini

Meneja wa Shamba la Kahawa la AVIV linalomilikiwa na Kampuni ya Olam, Medappa Ganapati akimuonesha Rais Jakaya Kikwete mche bora wa kahawa iliyozaa vyema, wakati Rais alipokagua shamba hilo katika kijiji cha Lipokela wilayani Mbinga mkoani Ruvuma juzi. (Picha na Freddy Maro).RAIS Jakaya Kikwete ametaka taasisi za Serikali, kuongeza kasi ya kupunguza umasikini miongoni mwa wananchi, akisisitiza kuwa wananchi wamekaa katika umasikini kwa muda mrefu kupita kiasi.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Tasaf kupunguza umasikini

SERIKALI kupitia Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (Tasaf), imedhamiria kupunguza umasikini katika familia kupitia mpango wa kunusuru kaya. Hayo yalibainishwa mjini hapa juzi na Mkurugenzi wa Programu za Jamii, Amadeus...

 

9 years ago

Habarileo

Milioni 345/- kupunguza umasikini

HALMASHAURI ya Manispaa ya Songea mkoani Ruvuma imepokea Sh 345,213,000 kwa ajii ya kuwajengea uwezo watu wanaoishi katika mazingira magumu na kuziwezesha kaya masikini kuongeza kipato cha kugharimia mahitaji muhimu.

 

10 years ago

Habarileo

Halmashauri 14 kunufaika mradi kupunguza umasikini

HALMASHAURI 14 za Mikoa ya Arusha na Njombe zinatarajiwa kunufaika na Mradi na Kupunguza Umasikini Mradi na Kupunguza Umasikini awamu ya tatu unaofadhiliwa na Mfuko wa Umoja wa Nchi zinazozalisha Mafuta Duniani (OPEC), unaotekelezwa chini ya Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (TASAF).

 

10 years ago

Mtanzania

Kikwete: Afrika inaweza kupunguza umasikini

Rais Jakaya Kikwete

Rais Jakaya Kikwete

NA MWANDISHI MAALUMU, WASHINGTON

RAIS Jakaya Kikwete amesema pamoja na changamoto nyingi ambazo nchi za Afrika zinakumbana nazo, bado kuna uwezekano wa kuupunguza umasikini.

Kauli hiyo aliitoa mjini hapa jana katika mkutano unaojadili maendeleo na kumaliza umasikini ulioandaliwa na Shirika la Misaada la Marekani (USAID).

“Tukiwa na sera sahihi, Serikali kuingilia kati pamoja na ushirikiano na sekta binafsi, inawezekana kuondoa umasikini. Juhudi hizi zikifanikiwa...

 

10 years ago

Dewji Blog

Kupunguza umasikini kuendelea kuwa lengo kuu la milenia- UN

IMG_01291

 

Ofisa Habari wa kituo cha habari cha Umoja wa Mataifa (UNIC), Bi. Usia Nkhoma Ledama akizungumza na washiriki wa Uzinduzi wa Kampeni ya Chukua Hatua Dhidi ya Umasikini 2015, iliyofanyika jijini Dar es Salaam.

Ofisa Habari Umoja wa Mataifa (UN), Bi. Usia Nkhoma Ledama akizungumza na washiriki wa Uzinduzi wa Kampeni ya Chukua Hatua Dhidi ya Umasikini 2015, iliyofanyika jijini Dar es Salaam.

Ofisa Habari Umoja wa Mataifa (UNIC), Bi. Usia Nkhoma Ledama akizungumza na washiriki wa Uzinduzi wa Kampeni ya Chukua Hatua Dhidi ya Umasikini 2015, iliyofanyika jijini Dar es Salaam.

Ofisa Habari Umoja wa Mataifa (UN), Bi. Usia Nkhoma Ledama akizungumza na washiriki wa Uzinduzi wa Kampeni ya Chukua Hatua Dhidi ya Umasikini 2015, iliyofanyika jijini Dar es Salaam.

Ofisa Habari wa kituo cha habari cha Umoja wa Mataifa (UNIC), Bi. Usia Nkhoma Ledama akizungumza...

 

9 years ago

Mwananchi

Mghwira aahidi kusimamia mapato ya kodi kupunguza umasikini

Mgombea urais kwa tiketi ya ACT Wazalendo, Anna Mghwira, amesema kuwa endapo wananchi watampa ridhaa ya kuingia madarakani atahakikisha anasimamia ukusanyaji kodi ili kupunguza gharama za maisha na kupambana na umasikini.

 

5 years ago

Michuzi

MWENDO WA KASI NI BOMU LINALOWAACHIA WATANZANIA UMASIKINI!



Kombo Kessy Mhanga wa ajali picha ya kwanza kabla hajapata ajali,picha inayomuonyesha akiwa amepata ajali na amekatwa miguu yote miwili,picha ya tatu Kombo Kessy akiwa katika picha ya pamoja ma mkewe.

Na Veronica Ignatus."Hivi ninavyozungumza nawe nina Barua inayonipa siku 14 nilipe kodi ya Nyumba Tsh. 170, 000/ au niondoke kwenye nyumba niliyopanga, Nina Mke na watoto watano,Nimechanganyikiwa sijui nifanyaje .. Ajali kutokana na mwendo kasi imeharibu  kabisa Maisha yangu." Anasema Kombo...

 

10 years ago

Tanzania Daima

‘Tunaweza kupunguza kasi ya ajali’

CHAMA cha Kutetea Abiria nchini (Chakua), kimesema kinaweza kupunguza kwa kiwango kikubwa ajali ndani ya miezi miwili. Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana, Katibu wa chama...

 

11 years ago

Habarileo

Unguja wafanikiwa kupunguza kasi ya kutelekeza wake

MKUU wa Wilaya ya Kaskazini B Unguja, Khamis Jabir amesema wamepiga hatua kubwa ya kutoa elimu kwa makundi mbalimbali ya wanaume juu ya kuepuka matukio ya udhalilishaji wa kijinsia kwa wanaume ikiwemo kutelekeza wake na watoto.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani