Halmashauri 14 kunufaika mradi kupunguza umasikini
HALMASHAURI 14 za Mikoa ya Arusha na Njombe zinatarajiwa kunufaika na Mradi na Kupunguza Umasikini Mradi na Kupunguza Umasikini awamu ya tatu unaofadhiliwa na Mfuko wa Umoja wa Nchi zinazozalisha Mafuta Duniani (OPEC), unaotekelezwa chini ya Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (TASAF).
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima28 Jun
Tasaf kupunguza umasikini
SERIKALI kupitia Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (Tasaf), imedhamiria kupunguza umasikini katika familia kupitia mpango wa kunusuru kaya. Hayo yalibainishwa mjini hapa juzi na Mkurugenzi wa Programu za Jamii, Amadeus...
9 years ago
Habarileo21 Aug
Milioni 345/- kupunguza umasikini
HALMASHAURI ya Manispaa ya Songea mkoani Ruvuma imepokea Sh 345,213,000 kwa ajii ya kuwajengea uwezo watu wanaoishi katika mazingira magumu na kuziwezesha kaya masikini kuongeza kipato cha kugharimia mahitaji muhimu.
10 years ago
Mtanzania21 Sep
Kikwete: Afrika inaweza kupunguza umasikini
![Rais Jakaya Kikwete](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/07/Jakaya-Kikwete1.jpg)
Rais Jakaya Kikwete
NA MWANDISHI MAALUMU, WASHINGTON
RAIS Jakaya Kikwete amesema pamoja na changamoto nyingi ambazo nchi za Afrika zinakumbana nazo, bado kuna uwezekano wa kuupunguza umasikini.
Kauli hiyo aliitoa mjini hapa jana katika mkutano unaojadili maendeleo na kumaliza umasikini ulioandaliwa na Shirika la Misaada la Marekani (USAID).
“Tukiwa na sera sahihi, Serikali kuingilia kati pamoja na ushirikiano na sekta binafsi, inawezekana kuondoa umasikini. Juhudi hizi zikifanikiwa...
11 years ago
Habarileo22 Jul
JK: Taasisi za serikali ziongeze kasi kupunguza umasikini
RAIS Jakaya Kikwete ametaka taasisi za Serikali, kuongeza kasi ya kupunguza umasikini miongoni mwa wananchi, akisisitiza kuwa wananchi wamekaa katika umasikini kwa muda mrefu kupita kiasi.
10 years ago
Dewji Blog16 Jan
Kupunguza umasikini kuendelea kuwa lengo kuu la milenia- UN
Ofisa Habari wa kituo cha habari cha Umoja wa Mataifa (UNIC), Bi. Usia Nkhoma Ledama akizungumza na washiriki wa Uzinduzi wa Kampeni ya Chukua Hatua Dhidi ya Umasikini 2015, iliyofanyika jijini Dar es Salaam.
![Ofisa Habari Umoja wa Mataifa (UN), Bi. Usia Nkhoma Ledama akizungumza na washiriki wa Uzinduzi wa Kampeni ya Chukua Hatua Dhidi ya Umasikini 2015, iliyofanyika jijini Dar es Salaam.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2015/01/IMG_0146.jpg)
Ofisa Habari Umoja wa Mataifa (UNIC), Bi. Usia Nkhoma Ledama akizungumza na washiriki wa Uzinduzi wa Kampeni ya Chukua Hatua Dhidi ya Umasikini 2015, iliyofanyika jijini Dar es Salaam.
![Ofisa Habari Umoja wa Mataifa (UN), Bi. Usia Nkhoma Ledama akizungumza na washiriki wa Uzinduzi wa Kampeni ya Chukua Hatua Dhidi ya Umasikini 2015, iliyofanyika jijini Dar es Salaam.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2015/01/IMG_0125.jpg)
Ofisa Habari wa kituo cha habari cha Umoja wa Mataifa (UNIC), Bi. Usia Nkhoma Ledama akizungumza...
9 years ago
Mwananchi21 Oct
Mghwira aahidi kusimamia mapato ya kodi kupunguza umasikini
11 years ago
Tanzania Daima28 Jun
Halmashauri 120 kunufaika ujenzi nyumba za walimu
NAIBU Waziri, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Elimu), Kassim Majaliwa, amesema katika mwaka wa fedha 2014/2015; halmashauri 120 zitanufaika na mpango wa ujenzi wa...
10 years ago
Dewji Blog14 Sep
Mkoa wa Mbeya kunufaika na mradi wa EADD
Mfugaji wa Heifer International Tanzania akitoa maelezo kwa Makamu wa Rais wa Shirika la Heifer International, Bw. Steve Denne (mwenye kofia) alipotembelea miradi inayofadhiliwa na shirika hilo.
Na. Mwandishi Wetu
WAKAZI wa mkoa wa Mbeya wanatarajiwa kunufaika zaidi kwa mradi wa Uendeshaji Sekta ya Maziwa Afrika Mashariki (EADD) uliochini ya shirika la kimataifa la Heifer.
Makamu wa Rais wa Shirika la Heifer International, Bw. Steve Denne, aliyasema hayo hivi karibuni alipomtembelea Mkuu wa...
5 years ago
MichuziWATANZANIA WAMEANZA KUNUFAIKA NA MRADI WA JNHPP
KATIBU Mkuu wa Wizara ya Nishati, Mhandisi Zena Said amesema kuwa mradi mkubwa wa kufua umeme wa maji wa Julius Nyerere (JNHPP) umeanza kuwanufaisha Watanzania hata kabla ya kukamilika.
Ameyasema hayo kwa njia ya simu, leo Juni 22, 2020 alipofanya mahojiano na mwandishi wa habari hii kuhusu ziara ya Makatibu Wakuu na Naibu Makatibu Wakuu wa Wizara mbalimbali waliyoifanya Juni 20, mwaka huu kukagua maendeleo ya Mradi huo ulioko Rufiji, mkoani Pwani.
Mhandisi Said...