Halmashauri 120 kunufaika ujenzi nyumba za walimu
NAIBU Waziri, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Elimu), Kassim Majaliwa, amesema katika mwaka wa fedha 2014/2015; halmashauri 120 zitanufaika na mpango wa ujenzi wa...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
MichuziShirika la Nyumba NHC leo limesaini mkataba wa ujenzi wa nyumba 5,000 na Halmashauri ya Wilaya Mpya ya Busokelo
11 years ago
Habarileo14 Jun
Halmashauri 80 kuvuna bil. 40/- nyumba za walimu
SERIKALI inatarajiwa kutoa Sh bilioni 40 kwa ajili ya ujenzi wa nyumba za walimu katika halmashauri 80 nchini, sawa na Sh Sh milioni 500 kwa kila halmashauri. Hayo yamesemwa na Waziri wa Fedha, Saada Salum Mkuya aliposoma Hotuba ya Serikali kwa mwaka wa fedha wa 2014/15.
11 years ago
Michuzi28 Mar
11 years ago
Michuzimbunge wa chalinze aweka jiwe la msingi la nyumba za walimu, akagua ujenzi wa zahanati Lugoba
11 years ago
MichuziLUGUMI ENTERPRISES LTD YAKABIDHI PAMPU YA MAJI NA SHILINGI MILIONI 10 KUKAMILISHA UJENZI WA NYUMBA YA WALIMU MAGU SEKONDARI MAGU.
10 years ago
Habarileo12 Mar
Halmashauri 14 kunufaika mradi kupunguza umasikini
HALMASHAURI 14 za Mikoa ya Arusha na Njombe zinatarajiwa kunufaika na Mradi na Kupunguza Umasikini Mradi na Kupunguza Umasikini awamu ya tatu unaofadhiliwa na Mfuko wa Umoja wa Nchi zinazozalisha Mafuta Duniani (OPEC), unaotekelezwa chini ya Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (TASAF).
10 years ago
StarTV09 Jan
Wananchi Kusini kunufaika na ujenzi wa Reli ya Mbamba Bay.
Na Adam Nindi,
Songea.
Wananchi wanaoishi Kusini mwa Tanzania jirani na Nchi za Msumbiji na Malawi wanatarajia kunufaika na Reli itakayojengwa kutoka Mbamba Bay wilayani Nyasa hadi mkoani Mtwara ambayo ujenzi wake utaanza mwezi Juni mwaka huu.
Katika ziara ya siku moja mkoani Ruvuma, Waziri wa Uchukuzi Dokta Harrison Mwakyembe amebainisha kuwa reli hiyo ya Mtwara Kolido itagharimu fedha za kimarekani dola Bilioni tatu mpaka kumalizika kwake.
Waziri Mwakyembe amesema ujenzi wa Reli hiyo...
10 years ago
Michuzi29 Aug
JK aagiza Halmashauri zinunue nyumba NHC
10 years ago
Tanzania Daima11 Nov
Nyumba za walimu zatengewa bil. 27/-
SERIKALI imetenga sh. bilioni 27 kwa ajili ya kujenga nyumba za walimu lengo likiwa ni kuboresha mazingira wanayoishi walimu. Naibu Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Jenista Mhagama, alieleza...