LUGUMI ENTERPRISES LTD YAKABIDHI PAMPU YA MAJI NA SHILINGI MILIONI 10 KUKAMILISHA UJENZI WA NYUMBA YA WALIMU MAGU SEKONDARI MAGU.
![](http://2.bp.blogspot.com/-jrwh9QAHxC0/Ux7XjrYuAII/AAAAAAAA0XM/ap7kTrxkqhc/s72-c/01.RAN+IT+SOLUTIONS+EA+LTD3.jpg)
Meneja wa Kanda ya Ziwa Kampuni ya Lugumi Enterprises LTD inayomiliki makampui ya Ran IT Solutions (EA) LTD na KZ Securty, Eligod Justine Sangawe (kushoto) ambaye alimwakilisha Mkurugenzi wake Bw. Said Lugumi, kukabidhi msaada wa Pump ya maji inayotumia umeme na fedha taslimu shilingi milioni kumi kwa Afisa Elimu Takwimu (W) Sekondari bw. John M. Mangu katika makabidhiano yaliyofanyika viwanja vya shule ya Sekondari ya Magu.
Meneja wa Kanda ya Ziwa Kampuni ya Lugumi Enterprises LTD...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi19 Apr
BENKI YA CBA YAKABIDHI HUNDI YA SHILINGI MILIONI 5 KWAAJILI YA UJENZI WA HOSTELI YA WASICHANA SHULE YA SEKONDARI KIFARU MWANGA
![SAM_2053](https://ci5.googleusercontent.com/proxy/t1dpmIu-GdAMCy7ZMWbTg4bR03HL2z-CpHOFd-CkCyQUjC80oX1C7tXVa8tG3i7Hc7MZTEwxg1Ytiex9ZDAOPlSkxagtU3G7UjenauLWhkMyrZE=s0-d-e1-ft#https://pamelamollel.files.wordpress.com/2015/04/sam_2053.jpg)
10 years ago
Dewji Blog20 Apr
Benki ya CBA yakabidhi hundi ya shilingi milioni 5 kwa ajili ya ujenzi wa hosteli ya wasichana shule ya Sekondari Kifaru Mwanga
Meneja masoko wa benki ya CBA Tanzania, Solomon Kawishe (kushoto), Meneja masoko Moshi Eliud Marko (katikati) wakimkabidhi Mwalimu mkuu wa shule ya sekondari ya Kifaru, Abdallah Mwomboke iliyopo katika kijiji cha Kituri kata ya Kileo wilaya ya Mwanga mkoani Kilimanjaro hundi ya shilingi Milioni tano yenye thamani ya zaidi ya mifuko 300 ya saruji kwa ajili ya ujenzi wa Hosteli ya wasichana katika shule hiyo, msaada huo ni sehemu ya kamapeni ya Book by Book inayoendeshwa na benki ya CBA...
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-l06tip_Iy30/VDwjOAGbzRI/AAAAAAABGXE/hVs-QIPsims/s72-c/IMAG0023.jpg)
HOSPTIALI ZA WILAYA ZA MISUNGWI, SENGEREMA, MAGU NA KWIMBA ZAPEWA VIFAA VYA THAMANI YA SHILINGI MILIONI 68
![](http://2.bp.blogspot.com/-l06tip_Iy30/VDwjOAGbzRI/AAAAAAABGXE/hVs-QIPsims/s1600/IMAG0023.jpg)
TAASISI ya Afrika ya Brien Holden Vision Institute (BHVI) imezipiga jeki ya vifaa tiba vyenye thamani ya Sh milioni 68 ili kukabiliana na tatizo la wagonjwa wa macho katika Hosptali za Wilaya ya Misungwi na Sengerema, Magu na Kwimba mkoani Mwanza.
Msaada huo ulikabidhiwa mwishoni mwa juma lililopita na Meneja Mipango wa BHVI Afrika, Mary Wepo kwenye hafla fupi iliyofanyika ofisi za Mganga Mkuu wa Mkoa wa Mwanza chini ya ufadhili wa Stanard Chartered Bank Tanzania Ltd kupitia mpango wa miaka...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-TnBEzLzIJus/U0fyAmoZ0kI/AAAAAAABegE/11gXtV37z3U/s72-c/1.jpg)
KAMPUNI ZA LUGUMI NA RAN IT ZATOA KOMPYUTA TANO NA FEDHA TASLIMU SHILINGI MILIONI 10 SHULE YA SEKONDARI PANGANI KIBAHA
![](http://4.bp.blogspot.com/-TnBEzLzIJus/U0fyAmoZ0kI/AAAAAAABegE/11gXtV37z3U/s1600/1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-y_BmrK0Fzf8/U0fyNQLNSmI/AAAAAAABegs/CHPfIjB8aMM/s1600/2.jpg)
11 years ago
GPL![](http://4.bp.blogspot.com/-TnBEzLzIJus/U0fyAmoZ0kI/AAAAAAABegE/11gXtV37z3U/s1600/1.jpg)
KAMPUNI ZA LUGUMI NA RAN IT ZATOA KOMPYUTA TANO NA FEDHA TASLIMU SHILINGI MILIONI 10 SHULE YA SEKONDARI PANGANI KIBAHA
10 years ago
Raia Tanzania03 Aug
Macsonet wafuatilia elimu ya sekondari Magu
UPATIKANAJI wa huduma ya maji, ruzuku za wanafunzi (capitation grant) na walimu wa masomo ya sayansi ni miongoni mwa changamoto zinazohitaji ufumbuzi ili kuboresha elimu ya sekondari katika Wilaya ya Magu, mkoani Mwanza.
Ufuatiliaji uliofanywa na timu ya Mtandao wa Mashirika Yasiyo ya Serikali wilayani Magu (Macsonet) wiki iliyopita umebaini changamoto hizo katika shule za sekondari za Kandaye, Magu na Ng’wamabanza.
Timu ya Macsonet ilijikita katika kuhoji uwajibikaji wa wadau,...
10 years ago
MichuziMakabidhiano ya Pampu ya Maji Kisima cha Kaburi Kikombe na Utilianaji Saini ya Mradi wa Uchimbaji Kisima Bomani Ukiwa na Thamani ya Shilingi milioni mia tatu
11 years ago
Tanzania Daima25 Feb
DC Magu ajitosa mgogoro mradi wa maji Nyanguge
SAKATA la Halmahauri ya Wilaya ya Magu, mkoani Mwanza, kudaiwa kupuuza na kukaidi amri iliyotolewa na serikali ya kutaka kufutwa na kutangazwa upya zabuni ya mradi mkubwa wa maji ya...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/SVfVaVsl8W2rH3lodSiBhNIDAnIx3K49wIQOX1D1tZgAlYkC-Jsqj8nVr4GoRuVOvdeOuBKLWvEh1l3aQX6Niydh1NSZGeF8/LIMbu.jpg?width=650)
MAGU: INAPAKANA NA ZIWA VICTORIA LAKINI MAJI HAKUNA
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10