KAMPUNI ZA LUGUMI NA RAN IT ZATOA KOMPYUTA TANO NA FEDHA TASLIMU SHILINGI MILIONI 10 SHULE YA SEKONDARI PANGANI KIBAHA
![](http://4.bp.blogspot.com/-TnBEzLzIJus/U0fyAmoZ0kI/AAAAAAABegE/11gXtV37z3U/s72-c/1.jpg)
Fatma Mohamed Meneja msaidizi wa kampuni ya RAN IT Solution Limited na Lugumi Enterprises za jijini Dar es salaam akikabidhi kompyuta 5 kwa Mkuu wa wilaya ya Kibaha Mh. Halima Kihemba kwa ajili ya shule ya sekondari ya Pangani wakati wa makabidhiano yaliyofanyika shuleni hapo leo mjini Kibaha ambapo pia mwakilishi huyo alikabidhi kiasi cha fedha Taslimu shilingi milioni 10,000,000 kwa ajili ya kununulia vifaa vya maabala katika shule hiyo.katikati ni Mkuu wa shule hiyo Inocencia Mfuru.
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://4.bp.blogspot.com/-TnBEzLzIJus/U0fyAmoZ0kI/AAAAAAABegE/11gXtV37z3U/s1600/1.jpg)
KAMPUNI ZA LUGUMI NA RAN IT ZATOA KOMPYUTA TANO NA FEDHA TASLIMU SHILINGI MILIONI 10 SHULE YA SEKONDARI PANGANI KIBAHA
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-jrwh9QAHxC0/Ux7XjrYuAII/AAAAAAAA0XM/ap7kTrxkqhc/s72-c/01.RAN+IT+SOLUTIONS+EA+LTD3.jpg)
LUGUMI ENTERPRISES LTD YAKABIDHI PAMPU YA MAJI NA SHILINGI MILIONI 10 KUKAMILISHA UJENZI WA NYUMBA YA WALIMU MAGU SEKONDARI MAGU.
![](http://2.bp.blogspot.com/-jrwh9QAHxC0/Ux7XjrYuAII/AAAAAAAA0XM/ap7kTrxkqhc/s1600/01.RAN+IT+SOLUTIONS+EA+LTD3.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-56yGXK3Z8Bg/Ux7XpPgzyDI/AAAAAAAA0Xk/F273sQf6TGU/s1600/01.RAN+IT+SOLUTIONS+EA+LTD.jpg)
5 years ago
MichuziNMB YAKABIDHI MSAADA WA VIFAA VYA SHULE VYENYE THAMANI YA SHILINGI MILIONI 15 KWA SHULE TATU ZA SEKONDARI JIJINI DAR
Hafla ya kukabidhi msaada huo ilifanyika katika viwanja vya Shule ya Sekondari Kibamba, ambako Meneja wa NMB Kanda ya Dar es Salaam, Badru Idd alimkabidhi msaada huo Mkuu wa Wilaya ya Ubungo, Kisare Makori (aliyekuwa mgeni rasmi).
Alisema Kibamba Sekondari yenye...
10 years ago
Michuzi19 Apr
BENKI YA CBA YAKABIDHI HUNDI YA SHILINGI MILIONI 5 KWAAJILI YA UJENZI WA HOSTELI YA WASICHANA SHULE YA SEKONDARI KIFARU MWANGA
![SAM_2053](https://ci5.googleusercontent.com/proxy/t1dpmIu-GdAMCy7ZMWbTg4bR03HL2z-CpHOFd-CkCyQUjC80oX1C7tXVa8tG3i7Hc7MZTEwxg1Ytiex9ZDAOPlSkxagtU3G7UjenauLWhkMyrZE=s0-d-e1-ft#https://pamelamollel.files.wordpress.com/2015/04/sam_2053.jpg)
10 years ago
Dewji Blog20 Apr
Benki ya CBA yakabidhi hundi ya shilingi milioni 5 kwa ajili ya ujenzi wa hosteli ya wasichana shule ya Sekondari Kifaru Mwanga
Meneja masoko wa benki ya CBA Tanzania, Solomon Kawishe (kushoto), Meneja masoko Moshi Eliud Marko (katikati) wakimkabidhi Mwalimu mkuu wa shule ya sekondari ya Kifaru, Abdallah Mwomboke iliyopo katika kijiji cha Kituri kata ya Kileo wilaya ya Mwanga mkoani Kilimanjaro hundi ya shilingi Milioni tano yenye thamani ya zaidi ya mifuko 300 ya saruji kwa ajili ya ujenzi wa Hosteli ya wasichana katika shule hiyo, msaada huo ni sehemu ya kamapeni ya Book by Book inayoendeshwa na benki ya CBA...
10 years ago
Dewji Blog29 May
Tigo na Huawei zatoa msaada wa Kompyuta 10 na huduma ya Intaneti kwa Shule ya msingi Chuda Mkoani Tanga
Mkurugenzi wa Tigo kanda ya Pwani, Goodluck Charles akikabidhi msaada wa Kompyuta zenye intaneti ya bure ya Tigo kwa Mwalimu Mkuu wa Shule ya Msingi Chuda Mkoani Tanga Bw. Omari Masukuzi hiyo ni moja kati ya kompyuta 10 zilitolewa na kampuni ya Tigo pamoja na Huawei kwa shule hiyo. Wanaoshuhudia wa pili toka kulia ni Mkuu wa Mkoa wa Tanga Mhe.Magalula Said Magalula, Meneja wa Mawasiliano kwa Umma wa Huawei Jin Liguo na kushoto ni Mkuu wa Wilaya ya Tanga Mhe.Abdallah Suleiman.
Wanafunzi...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-UgEsfbuI5zg/XtjWhSX1FaI/AAAAAAAAk_A/GpT1hBZG15QhKUu6Ws-7qid9grVz21zzQCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200603-WA0087.jpg)
MBUNGE MATTEMBE ATOA MSAADA WA KOMPYUTA SHULE YA SEKONDARI ILONGERO
![](https://1.bp.blogspot.com/-UgEsfbuI5zg/XtjWhSX1FaI/AAAAAAAAk_A/GpT1hBZG15QhKUu6Ws-7qid9grVz21zzQCLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200603-WA0087.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-jbYwlQaiCQc/XtjWhbcwDiI/AAAAAAAAk-8/UaDWHXgmmAcjLHHR2-mkBYcZ1bg3Wi9BQCLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200603-WA0089.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-0G7ITpVdaDY/XoDtp7QjeqI/AAAAAAALlf8/ARPHezphZS0vHKYf_kefAj4s6O2N6R2DACLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200329_25680.jpg)
Shule za sekondari Njombe zapigwa jeki kompyuta,printa kuboresha elimu
Mbunge wa viti maalum mkoani Njombe kupitia chama cha mapinduzi Mhe, Neema Mgaya amekabidhi Kompyuta kumi zenye thamani ya milioni 17,370,000/=.kwa baadhi ya shule za sekondari mkoani Njombe ili kuboresha na kuinua taaluma katika mkoa huo.
Aidha mbunge huyo ametoa Printer mbili zenye thamani ya Tsh milioni 1,905,062, kebo nane kwaajili ya Umeme zilizogharimu kiasi cha Tsh, lakimbili na kufanya jumla ya vifaa vyote alivyovitoa katika ziara hiyo kufikia kiasi cha Tsh...
11 years ago
Dewji Blog15 May
Access Bank watoa msaada wa Kompyuta kwa shule ya sekondari Azania
![access 1](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/05/access-1.jpg)
![aces](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/05/aces.jpg)
Ofisa Masoko Mwandamizi Access Bank, Muganyizi Bisheko (kulia) akimkabidhi moja ya kompyuta kwa wanafunzi waliowawakilisha wenzao, anayeshuhudia makabidhiano hayo ni Mkuu wa...