Macsonet wafuatilia elimu ya sekondari Magu
UPATIKANAJI wa huduma ya maji, ruzuku za wanafunzi (capitation grant) na walimu wa masomo ya sayansi ni miongoni mwa changamoto zinazohitaji ufumbuzi ili kuboresha elimu ya sekondari katika Wilaya ya Magu, mkoani Mwanza.
Ufuatiliaji uliofanywa na timu ya Mtandao wa Mashirika Yasiyo ya Serikali wilayani Magu (Macsonet) wiki iliyopita umebaini changamoto hizo katika shule za sekondari za Kandaye, Magu na Ng’wamabanza.
Timu ya Macsonet ilijikita katika kuhoji uwajibikaji wa wadau,...
Raia Tanzania
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-jrwh9QAHxC0/Ux7XjrYuAII/AAAAAAAA0XM/ap7kTrxkqhc/s72-c/01.RAN+IT+SOLUTIONS+EA+LTD3.jpg)
LUGUMI ENTERPRISES LTD YAKABIDHI PAMPU YA MAJI NA SHILINGI MILIONI 10 KUKAMILISHA UJENZI WA NYUMBA YA WALIMU MAGU SEKONDARI MAGU.
![](http://2.bp.blogspot.com/-jrwh9QAHxC0/Ux7XjrYuAII/AAAAAAAA0XM/ap7kTrxkqhc/s1600/01.RAN+IT+SOLUTIONS+EA+LTD3.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-56yGXK3Z8Bg/Ux7XpPgzyDI/AAAAAAAA0Xk/F273sQf6TGU/s1600/01.RAN+IT+SOLUTIONS+EA+LTD.jpg)
11 years ago
Michuzi08 Jul
WAZIRI WA ELIMU NA MAFUNZO, Dr. SHUKURU KAWAMBWA, AIPONGEZA SHULE YA SEKONDARI " IMPERIAL" KWA JINSI ILIVYO JIPANGA KUTOA ELIMU BORA.
Shule ya Sekondari Imperial, iko Msolwa-Chalinze.
Shule imejengwa...
11 years ago
GPL![](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/07/IMG_9373.jpg?width=600)
WAZIRI WA ELIMU NA MAFUNZO AIPONGEZA SHULE YA SEKONDARI 'IMPERIAL' KWA JINSI ILIVYO JIPANGA KUTOA ELIMU BORA
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-mtvGQMaGEL0/VlqYSW9M6SI/AAAAAAAII4U/eUoUCys3Nd8/s72-c/1.png)
Serikali yafuta rasmi ada kwa elimu ya sekondari kidato cha kwanza hadi cha nne na michango yote katika elimu ya msingi
10 years ago
GPLWAZIRI WA ELIMU KUONGOZA HARAMBEE YA SEKONDARI ENABOISHU, ARUSHA
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-2IyhNfj81jA/XmymyeEsRlI/AAAAAAALjOU/YCkXthDaSgch9fh2a_OD98VyEgGM_5_dwCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-03-13%2Bat%2B2.26.45%2BPM.jpeg)
TCRA yatoa elimu Shule ya Sekondari ya Wavulana Mwandege
Akizungumza wakati wa utoaji elimu ya kwa Wanafunzi wa Shule ya Sekondari ya Wavulana Mwandege wilayani Mkuranga mkoani Pwani Afisa Masoko wa Mamlaka hiyo Dorice Muhimbila amesema kuwa Wanafunzi ni muhimu kuwa elimu hiyo ili wakianza kumiliki simu waweze kutumia mawasiliano hayo salama.
Muhimbila amesema kuwa elimu hiyo wanayoitoa ni...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-pRVxDxDVazs/XtjLiF5mUOI/AAAAAAALsls/WYMK7V0rwts085kaEwAwRCmIalriQlCmQCLcBGAsYHQ/s72-c/20200331_152936.jpg)
UMEMEJUA WAPIGA JEKI ELIMU SHULE YA SEKONDARI MORETO
Shule nyingi za Sekondari hususani za vijijini zimekuwa zikikabiliwa na ukosefu wa nishati ya kuendesha maabara na mwanga wa kujisomea kwa wanafunzi waishio katika mazingira ya shule (bweni).
Uhaba huo umesababisha maeneo hayo kutofanya vyema kimasomo kuliko wale wenye nishati hiyo.
Shule zinazojiweza zimeweka umemejua wakati baadhi ya zile zisizokuwa na uwezo huo hasa za umma zimekuwa zikifadhiliwa na wahisani mbalimbali kama ilivyo shule ya sekondari Moreto. Shule hii ya...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-dQmC6s7KN1s/XnxxouTVdkI/AAAAAAALlEg/sd0rSPMi230SeH-A3rp_CTMEiDsaWShVgCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-03-26%2Bat%2B8.47.28%2BAM.jpeg)
WAZIRI WA ELIMU AFURAHISHWA NA UJENZI WA SEKONDARI YA WASICHANA WILAYANI CHAMWINO
![](https://1.bp.blogspot.com/-dQmC6s7KN1s/XnxxouTVdkI/AAAAAAALlEg/sd0rSPMi230SeH-A3rp_CTMEiDsaWShVgCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-03-26%2Bat%2B8.47.28%2BAM.jpeg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-MlHfWmRVO74/XnxxohSliXI/AAAAAAALlEc/v3544-k533kd9Dhj-_89dxk62JVanuppACLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-03-26%2Bat%2B8.47.55%2BAM.jpeg)
WAZIRI wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Profesa Joyce Ndalichako ameahidi kuunga mkono juhudi za wabunge katika ujenzi wa shule...
11 years ago
Mwananchi09 Feb
Waziri awashusha vyeo ofisa elimu, wakuu wa shule za sekondari