UMEMEJUA WAPIGA JEKI ELIMU SHULE YA SEKONDARI MORETO
![](https://1.bp.blogspot.com/-pRVxDxDVazs/XtjLiF5mUOI/AAAAAAALsls/WYMK7V0rwts085kaEwAwRCmIalriQlCmQCLcBGAsYHQ/s72-c/20200331_152936.jpg)
Nyamiti Kayora
Shule nyingi za Sekondari hususani za vijijini zimekuwa zikikabiliwa na ukosefu wa nishati ya kuendesha maabara na mwanga wa kujisomea kwa wanafunzi waishio katika mazingira ya shule (bweni).
Uhaba huo umesababisha maeneo hayo kutofanya vyema kimasomo kuliko wale wenye nishati hiyo.
Shule zinazojiweza zimeweka umemejua wakati baadhi ya zile zisizokuwa na uwezo huo hasa za umma zimekuwa zikifadhiliwa na wahisani mbalimbali kama ilivyo shule ya sekondari Moreto. Shule hii ya...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-0G7ITpVdaDY/XoDtp7QjeqI/AAAAAAALlf8/ARPHezphZS0vHKYf_kefAj4s6O2N6R2DACLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200329_25680.jpg)
Shule za sekondari Njombe zapigwa jeki kompyuta,printa kuboresha elimu
Mbunge wa viti maalum mkoani Njombe kupitia chama cha mapinduzi Mhe, Neema Mgaya amekabidhi Kompyuta kumi zenye thamani ya milioni 17,370,000/=.kwa baadhi ya shule za sekondari mkoani Njombe ili kuboresha na kuinua taaluma katika mkoa huo.
Aidha mbunge huyo ametoa Printer mbili zenye thamani ya Tsh milioni 1,905,062, kebo nane kwaajili ya Umeme zilizogharimu kiasi cha Tsh, lakimbili na kufanya jumla ya vifaa vyote alivyovitoa katika ziara hiyo kufikia kiasi cha Tsh...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-YzDPecsRo30/XuBeHPOt5HI/AAAAAAALtRw/5DUrd9-nIWEczzf_gmUdiyq5ykhTAH3eQCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-10%2Bat%2B7.04.51%2BAM.jpeg)
MSTAHIKI MEYA MANISPAA YA ILALA APIGA JEKI SHULE YA SEKONDARI YA VINGUNGUTI
![](https://1.bp.blogspot.com/-YzDPecsRo30/XuBeHPOt5HI/AAAAAAALtRw/5DUrd9-nIWEczzf_gmUdiyq5ykhTAH3eQCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-10%2Bat%2B7.04.51%2BAM.jpeg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-Eq33nenT5_U/XuBeGwyUPkI/AAAAAAALtRs/OgiCvpm4l9IhbySEQHe8pyJ4txCfHFXvACLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-10%2Bat%2B7.04.52%2BAM.jpeg)
Lengo la ziara hiyo ni kukagua Ujenzi wa Madarasa Manne yanajengwa katika shule hiyo. Mstahiki aliwapongeza Walimu wa Shule hiyo ya Sekondari Vingunguti kwa usimamizi wa Ujenzi wa Madarasa hayo manne.
Uongozi wa Shule hiyo ulimpongeza Mstahiki...
9 years ago
Habarileo20 Nov
Shule yapigwa jeki vifaa vya elimu
TAASISI ya masuala ya jamii ya Vodacom Foundation imetoa msaada wa vifaa vya elimu kwa wanafunzi wa Shule ya Msingi Chazinge A, Kisarawe mkoani Pwani. Vifaa hivyo ambavyo vimetolewa jana ni madaftari ya kuandikia na mikebe yenye vifaa vya kusomea somo la hisabati pamoja na kalamu.
11 years ago
Michuzi08 Jul
WAZIRI WA ELIMU NA MAFUNZO, Dr. SHUKURU KAWAMBWA, AIPONGEZA SHULE YA SEKONDARI " IMPERIAL" KWA JINSI ILIVYO JIPANGA KUTOA ELIMU BORA.
Shule ya Sekondari Imperial, iko Msolwa-Chalinze.
Shule imejengwa...
11 years ago
GPL![](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/07/IMG_9373.jpg?width=600)
WAZIRI WA ELIMU NA MAFUNZO AIPONGEZA SHULE YA SEKONDARI 'IMPERIAL' KWA JINSI ILIVYO JIPANGA KUTOA ELIMU BORA
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-2IyhNfj81jA/XmymyeEsRlI/AAAAAAALjOU/YCkXthDaSgch9fh2a_OD98VyEgGM_5_dwCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-03-13%2Bat%2B2.26.45%2BPM.jpeg)
TCRA yatoa elimu Shule ya Sekondari ya Wavulana Mwandege
Akizungumza wakati wa utoaji elimu ya kwa Wanafunzi wa Shule ya Sekondari ya Wavulana Mwandege wilayani Mkuranga mkoani Pwani Afisa Masoko wa Mamlaka hiyo Dorice Muhimbila amesema kuwa Wanafunzi ni muhimu kuwa elimu hiyo ili wakianza kumiliki simu waweze kutumia mawasiliano hayo salama.
Muhimbila amesema kuwa elimu hiyo wanayoitoa ni...
11 years ago
Mwananchi09 Feb
Waziri awashusha vyeo ofisa elimu, wakuu wa shule za sekondari
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-04fbZ0-S2PA/XkhHo-Ls2AI/AAAAAAALdiA/IVFY1Xm1NOo44phvfcJ42Er9lwRgD5lkQCLcBGAsYHQ/s72-c/8cfa2e7c-076b-41d4-b5df-fe242873b892.jpg)
WANAFUNZI SHULE YA SEKONDARI KITEFU WILAYANI ARUMERU WAPEWA ELIMU YA AFYA YA UZAZI
Na Jusline Marco-Arusha
Zaidi ya wanafunzi 200 walio katika shule ya sekondari Kitefu Wilayani Arumeru wamepatiwa elimu ya afya ya uzazi itakayo wasaidie kuepuka mimba za utotoni na kuwezesha kufikia malengo yao kielimu.
Elimu hiyo ambayo imetolewa na shirika la Center for women and Girls Empowerment kutoka Mkoani Arusha ni kutokana na kuwepo kwa idadi kubwa ya wanafunzi wanaopata mimba za utotoni kutokana kutopata elimu ambayo itamuwezesha kujikinga na mimba za utotoni.
Akizungumza katika...
11 years ago
Dewji Blog09 Jul
Dk. Shukuru Kawambwa aipongeza Shule ya sekondari ” Imperial” kwa jinsi ilivyojipanga kutoa elimu bora
Waziri wa Elimu na Mafunzo, Dr. Shukuru Kawambwa, jana Tarehe 7 July-2014, alitembelea maenesho ya 38 ya Biashara ya Kimataifa (TANTRADE) , yajulikanayo kama maonesho ya Saba Saba, na kutembelea Banda la Shule ya Sekondari Imperial, Dr. Kawambwa ametoa pongezi kwa uongozi na waalimu wa Shule ya Sekondari Imperial, kwa Jinsi ilivyojipanga kuhakikisha inatoa Elimu Bora Nchini, inayokidhi viwango vya Kimataifa, kwa gharama nafuu.
Shule ya Sekondari Imperial, iko Msolwa-Chalinze.
Shule imejengwa...