WANAFUNZI SHULE YA SEKONDARI KITEFU WILAYANI ARUMERU WAPEWA ELIMU YA AFYA YA UZAZI
![](https://1.bp.blogspot.com/-04fbZ0-S2PA/XkhHo-Ls2AI/AAAAAAALdiA/IVFY1Xm1NOo44phvfcJ42Er9lwRgD5lkQCLcBGAsYHQ/s72-c/8cfa2e7c-076b-41d4-b5df-fe242873b892.jpg)
Na Jusline Marco-Arusha
Zaidi ya wanafunzi 200 walio katika shule ya sekondari Kitefu Wilayani Arumeru wamepatiwa elimu ya afya ya uzazi itakayo wasaidie kuepuka mimba za utotoni na kuwezesha kufikia malengo yao kielimu.
Elimu hiyo ambayo imetolewa na shirika la Center for women and Girls Empowerment kutoka Mkoani Arusha ni kutokana na kuwepo kwa idadi kubwa ya wanafunzi wanaopata mimba za utotoni kutokana kutopata elimu ambayo itamuwezesha kujikinga na mimba za utotoni.
Akizungumza katika...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziMAMA SALMA KIKWETE AHUDHURIA TAMASHA LA ELIMU YA AFYA YA UZAZI KWA VIJANA KATIKA SHULE YA SEKONDARI WAMA NAKAYAMA
10 years ago
Michuzi06 Aug
Waandishi wa Mitandao ya Kijamii Wapewa Elimu ya Afya na Uzazi
![Mkurugenzi wa Taasisi ya Kupunguza Matatizo ya Mapafu Duniani iliyopo nchini Tanzania (WLF), Dk. Nguke Mwakatundu akifungua semina hiyo leo jijini Dar es Salaam.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2015/08/IMG_0005.jpg)
![Mkurugenzi wa Huduma za Kliniki wa Taasisi ya Kupunguza Matatizo ya Mapafu Duniani iliyopo nchini Tanzania (WLF), Dk. Sunday Dominico akiwasilisha mada katika semina hiyo leo ofisi za WLF.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2015/08/31.jpg)
![Meneja Mawasiliano wa Taasisi ya Kupunguza Matatizo ya Mapafu Duniani iliyopo nchini Tanzania (WLF), Victoria Marijani.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2015/08/4.jpg)
10 years ago
Mwananchi08 May
Elimu ya afya ya uzazi inaepusha wanafunzi dhidi ya tamaa mbaya
9 years ago
StarTV19 Nov
Wizara ya elimu nchini yaombwa kuangalia upya mitaala ya kufundishia wanafunzi wa shule za msingi na sekondari
Wizara ya elimu nchini imeombwa kuangalia upya mitalaa ya kufundishia wanafunzi wa shule za msingi na sekondari ili iwe na uhusiano na mazingira halisi ya Watanzania.
Elimu inayotolewa sasa imekuwa ikilalamikiwa kuwa haimwezeshi mwanafunzi kumudu mazingira yanayomzunguka na badala yake inamsaidia kufaulu kutoka darasa moja kwenda jingine.
Katika mkutano huo Mkurugenzi wa Taasisi ya Elimu ya Watu Wazima, Dokta Fidelis Mafumiko ameyasema hayo jijini Dar es salaam katika mkutano wa kufunga...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-YuttQwCQN8s/XuPhjwBbYpI/AAAAAAALtpk/zKghxrHjirgAXwj-EkfdpA6xA96gZ3wygCLcBGAsYHQ/s72-c/4d81dcb5-8b7e-478a-887d-52f24ee133cc.jpg)
Katibu Mkuu Maji, Prof. Mkumbo awatoa hofu wanafunzi wanaojiandaa kwa mtihani shule ya Sekondari Tumaini, wapewa vitakasa mikono vya kutumia kwa siku 60
![](https://1.bp.blogspot.com/-YuttQwCQN8s/XuPhjwBbYpI/AAAAAAALtpk/zKghxrHjirgAXwj-EkfdpA6xA96gZ3wygCLcBGAsYHQ/s640/4d81dcb5-8b7e-478a-887d-52f24ee133cc.jpg)
Katibu Mkuu, Wizara ya Maji Prof. Kitila Mkumbo akizindua eneo la kunawa mikono katika kukabiliana na maambukizi ya Virusi vinavyosababisha ugonjwa wa Corona (COVID-19) katika shule ya sekondari ya Tumaini, mkoani Singida ambapo wanafunzi zaidi ya 100 wanajiandaa kwa mtihani wa kidato cha Sita. Kulia kwake anayeshuhudia ni Mkuu wa wilaya ya...
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-7d208KxBnPM/VOMXylpleqI/AAAAAAAHEJE/j1o1gvx-s6g/s72-c/unnamed%2B%286%29.jpg)
WAZIRI MKUU MSTAAFU NA MBUNGE WA MONDULI, EDWARD LOWASSA AKIZUNGUMZA NA BAADHI YA WANAFUNZI WA SHULE SEKONDARI YA WAVULANA YA ENGUTOTO WILAYANI MONDULI WAKATI ALIPOTEMBELEA LEO.
![](http://4.bp.blogspot.com/-7d208KxBnPM/VOMXylpleqI/AAAAAAAHEJE/j1o1gvx-s6g/s1600/unnamed%2B%286%29.jpg)
Aidha mwenyekiti mtendaji wa makampuni IPP, Reginald Mengi akichangia shilingi milioni 25 kwa ajili ya vitanda na Kampuni ya A to Z ikichangia ujenzi wa mabweni mawili yaliyo ungua moto hivi karibuni.
![](http://3.bp.blogspot.com/-aML6rKdYyVk/VOMXyAIZMII/AAAAAAAHEI8/amgUR-5jNcM/s640/unnamed%2B%285%29.jpg)
11 years ago
MichuziTANAPA YAKABIDHI MADARASA MAWILI KATIKA SHULE YA SEKONDARI NKOARISAMBU-ARUMERU
10 years ago
GPLBAADA YA SHULE YA SEKONDARI YA IFUNDA KUFUNGWA KWA VURUGU UONGOZI WA SHULE HIYO WAWAITA WANAFUNZI 28
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-eIqjdani8g8/U5YJ8f0XT1I/AAAAAAAFpWs/VSlubaL8fmc/s72-c/Mama-Kikwete.jpg)
Shule ya Sekondari ya WAMA-Nakayama wapewa msaada wa basi
![](http://3.bp.blogspot.com/-eIqjdani8g8/U5YJ8f0XT1I/AAAAAAAFpWs/VSlubaL8fmc/s1600/Mama-Kikwete.jpg)
Shule ya Sekondari ya WAMA-Nakayama inayomilikiwa na Taasisi ya Wanawake na Maendeleo (WAMA) imepatiwa msaada wa basi na kampuni ya Ashok Leyland ya jijini Dar es Salaam.
Makabidhiano ya basi hilo yamefanyika leo katika viwanja vya Taasisi hiyo iliyopo wilaya ya Ilala jijini Dar es Salaam.
Akiongea mara baada ya makabidhiano hayo Mwenyekiti wa WAMA Mama Salma Kikwete aliwashukuru viongozi wa kampuni hiyo kwa msaada walioutoa na kusema anaamini msaada huo...