WAZIRI WA ELIMU AFURAHISHWA NA UJENZI WA SEKONDARI YA WASICHANA WILAYANI CHAMWINO
![](https://1.bp.blogspot.com/-dQmC6s7KN1s/XnxxouTVdkI/AAAAAAALlEg/sd0rSPMi230SeH-A3rp_CTMEiDsaWShVgCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-03-26%2Bat%2B8.47.28%2BAM.jpeg)
Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Job Ndungai akitoa ufafanuzi juu ya maendeleo ya ujenzi wa shule maalum ya wasichana inayojengwa na Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Jijini Dodoma.
Muonekano wa baadhi ya majengo ya shule ya sekondari maalum ya wasichana inayojengwa wabunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Chamwino Jijini Dodoma
WAZIRI wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Profesa Joyce Ndalichako ameahidi kuunga mkono juhudi za wabunge katika ujenzi wa shule...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/--6prYHRXREw/XnxTBogcL2I/AAAAAAALlD8/KA-WMwzU7b4P3WNagOdlf9-EEWhVw5Q0wCLcBGAsYHQ/s72-c/f44510c6-858d-4218-a8c0-5a74541ce1c4.jpg)
WAZIRI NDALICHAKO AAHIDI KUUNGA MKONO JUHUDI ZA WABUNGE UJENZI WA SHULE MAALUM YA SEKONDARI WASICHANA JIJINI DODOMA.
Profesa Ndalichako ametoa ahadi hiyo alipotembelea shule hiyo akiongozana na Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Job Ndugai ili kujionea maendeleo ya ujenzi huo ambapo amesema Wizara itatoa mchango...
11 years ago
MichuziZIARA YA WAZIRI MKUU WILAYANI CHAMWINO DODOMA
11 years ago
Dewji Blog08 Jun
Ziara ya Waziri Mkuu Pinda wilayani CHAMWINO — Dodoma
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akisalimiana na Bibi Gilita Mlong’ose wakati alipotembelea Hospitali ya Mvumi wilayani Chamwino akiwa katika ziara ya wilaya hiyo mkoani Dodoma Juni 7, 2014. Bibi huyo alikuwa ni miongoni mwa wagonjwa waliofika hospitalini hapo kutibiwa macho. Kushoto ni Mbunge wa Mtera, Livingstone Lusinde. (Picha na Ofisiya Waziri Mkuu).
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akipokea zawadi ya mkuki kutoka kutoka kwa mwenyekiti waCCM wa Tawi la Ilolo wilayani Chamwino akiwa katika...
5 years ago
MichuziWAZIRI MKUU AFURAHISHWA NA KASI YA UJENZI MRADI MKUBWA WA UMEME WA JULIUS NYERERE WA MW 2115
Waziri Mkuu ameyasema hayo leo Mei 14, 2020, baada ya kufanya ziara kwenye eneo la mradi unaotarajiwa kuzalisha jumla ya Megawati 2115“ utakapokamilika 2022.
Waziri Mkuu ambaye alifuatana na Waziri wa Nishati, Dk. Medard Kalemani, Katibu Mkuu wa Wizara hiyo mhandisi Zena Said watendaji wa...
9 years ago
MichuziHARAMBEE YA UJENZI WA SHULE YA SEKONDARI YAFANYIKA WILAYANI SIMANJIRO
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-64ouCua__gs/VYgfv-G8TOI/AAAAAAADtRU/uhn8QfRryqk/s72-c/1.jpg)
BERNARD MEMBE APATA WADHAMINI WILAYANI CHAMWINO -DODOMA, ATEMBELEA MNARA WA KUMBUKUMBU YA MW. NYERERE KATIKA KIJIJI CHA CHAMWINO IKULU
![](http://2.bp.blogspot.com/-64ouCua__gs/VYgfv-G8TOI/AAAAAAADtRU/uhn8QfRryqk/s640/1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-x07E-8mYU1I/VYgfvlOQ8MI/AAAAAAADtRY/ySwFk3YU98E/s640/1A.jpg)
10 years ago
Michuzi19 Apr
BENKI YA CBA YAKABIDHI HUNDI YA SHILINGI MILIONI 5 KWAAJILI YA UJENZI WA HOSTELI YA WASICHANA SHULE YA SEKONDARI KIFARU MWANGA
![SAM_2053](https://ci5.googleusercontent.com/proxy/t1dpmIu-GdAMCy7ZMWbTg4bR03HL2z-CpHOFd-CkCyQUjC80oX1C7tXVa8tG3i7Hc7MZTEwxg1Ytiex9ZDAOPlSkxagtU3G7UjenauLWhkMyrZE=s0-d-e1-ft#https://pamelamollel.files.wordpress.com/2015/04/sam_2053.jpg)
10 years ago
Dewji Blog20 Apr
Benki ya CBA yakabidhi hundi ya shilingi milioni 5 kwa ajili ya ujenzi wa hosteli ya wasichana shule ya Sekondari Kifaru Mwanga
Meneja masoko wa benki ya CBA Tanzania, Solomon Kawishe (kushoto), Meneja masoko Moshi Eliud Marko (katikati) wakimkabidhi Mwalimu mkuu wa shule ya sekondari ya Kifaru, Abdallah Mwomboke iliyopo katika kijiji cha Kituri kata ya Kileo wilaya ya Mwanga mkoani Kilimanjaro hundi ya shilingi Milioni tano yenye thamani ya zaidi ya mifuko 300 ya saruji kwa ajili ya ujenzi wa Hosteli ya wasichana katika shule hiyo, msaada huo ni sehemu ya kamapeni ya Book by Book inayoendeshwa na benki ya CBA...
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-LfJe8B_U5kY/VX8wI8b9K0I/AAAAAAAARBg/ZxTm9bmAsGU/s72-c/E86A9472%2B%2528800x533%2529.jpg)
TANAPA WAKABIDHI MRADI WA UJENZI WA BWENI KATIKA SHULE YA SEKONDARI NURU YA WILAYANI SIHA.
![](http://3.bp.blogspot.com/-LfJe8B_U5kY/VX8wI8b9K0I/AAAAAAAARBg/ZxTm9bmAsGU/s640/E86A9472%2B%2528800x533%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-xPwhGTR_1DY/VX8wI4ehQLI/AAAAAAAARBk/l4zxc2sLYLc/s640/E86A9481%2B%2528800x533%2529.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-8xDX88h1brY/VX8wQ22yjJI/AAAAAAAARCY/cFxbCuEh41g/s640/E86A9529%2B%2528800x533%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-AfcwAL96Vas/VX8wMvQw5PI/AAAAAAAARBw/lEqNbbmf4Cg/s640/E86A9487%2B%2528800x533%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-xKK41JRT0sc/VX8wNWQcVyI/AAAAAAAARB4/UQNkdGg0kb8/s640/E86A9489%2B%2528800x533%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-xWDIUEDy0Vw/VX8wQp1tDKI/AAAAAAAARCc/h25ux4xfpbw/s640/E86A9518%2B%2528800x533%2529.jpg)