Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


HARAMBEE YA UJENZI WA SHULE YA SEKONDARI YAFANYIKA WILAYANI SIMANJIRO

 Mkuu wa Wilaya ya Simanjiro Mkoani Manyara, Mahmoud Kambona akizungumza kwenye harambee ya ujenzi wa shule ya sekondari ya taasisi ya masjid Nuuru ya Mji mdogo wa Mirerani ambapo zilipatikana zaidi ya sh16 milioni (kushoto) ni Imamu wa masjid hiyo Mohames Shauri na kulia ni Willy Mushi meneja wa mgodi wa Tanzanite Africa. Mshairi wa mji mdogo wa Mirerani Wilayani Simanjiro Mkoani Manyara, Husna Hussein akimkabidhi mkuu wa wilaya hiyo Hashim Kambona, shairi alilolighani kwenye chakula...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

TANAPA WAKABIDHI MRADI WA UJENZI WA BWENI KATIKA SHULE YA SEKONDARI NURU YA WILAYANI SIHA.

Mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro ,Leonidas Gama akisalimiana na wanafunzi wa shule ya sekondari Nuru iliypo wilayani Siha alipowasili kwa ajili ya makabidhiano na ufunguzi wa Bweni la wananfunzi lililojengwa kwa ufadhili wa hifadhi za taifa Tanzania (TANAPA).
Mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro,Leonidas Gama akizungumza katika hafla fupi ya makabidhiano hayo.Baadhi ya wanafunzi katika shule ya sekondari Nuru wakimsikiliza RC Gama (hayupo pichani).Mkuu wa wilaya ya Siha,Dkt Charles Mlingwa akizungumza...

 

10 years ago

Michuzi

madarasa mawili ya shule ya msingi Loorng'oswani wilayani Simanjiro yakabidhiwa

Mbunge wa Jimbo la Simanjiro,Mh. Christopher Ole Sendeka pamoja na Kamanda Mteule wa UVCCM Wilaya ya Simanjiro Mkoani Manyara,Daniel Ole Materi wakikata utepe kuashiria kuzindua madarasa mawili ya shule ya msingi Loorng'oswani iliyopo Kata ya Terrat ambayo Kamanda Ole Materi, aliyajenga na kutoa msaada kwa shule hiyo.Baadhi ya wakazi wa Wilaya ya Simanjiro Mkoani Manyara wakiwa na Mbunge wa Jimbo hilo Christopher Ole Sendeka na Kamanda Mteule wa UVCCM Wilaya ya Simanjiro Mkoani Manyara,...

 

10 years ago

GPL

MADARASA MAWILI YA SHULE YA MSINGI LOORNG'OSWANI WILAYANI SIMANJIRO YAKABIDHIWA

Mbunge wa Jimbo la Simanjiro,Mh. Christopher Ole Sendeka pamoja na Kamanda Mteule wa UVCCM Wilaya ya Simanjiro Mkoani Manyara,Daniel Ole Materi wakikata utepe kuashiria kuzindua madarasa mawili ya shule ya msingi Loorng'oswani iliyopo Kata ya Terrat ambayo Kamanda Ole Materi, aliyajenga na kutoa msaada kwa shule hiyo.…

 

10 years ago

Dewji Blog

Dkt. Shukuru Kawambwa kuwa mgeni rasmi kwenye Harambee ya shule ya Sekondari ya Enaboishu mkoani Arusha

Waziri-wa-Elimu-na-Mafunzo-ya-Ufundi-Dkt.-Shukuru-Kawambwa.

Na Beatrice Lyimo, Maelezo-DSM.

WAZIRI wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi Mhe. Dkt. Shukuru Kawambwa (pichani) anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika Harambee ya kuchangia kuchangia ujenzi wa nyumba za walimu vyumba vya madarasa na ununuzi wa samani katika shule ya Sekondari ya Enaboishu iliyopo mkoani Arusha.

Hayo yamesemwa na Mwenyekiti wa Bodi wa shule hiyo, Bw. Emmanuel Munga wakati alipokuwa akizungumza na waandishi jijini Dar Es Salaam.

Munga amesema kuwa Harambee hiyo inatarajiwa kufanyika...

 

10 years ago

Michuzi

mahafali ya shule ya sekondari Twayyibat kidato cha nne yafanyika temeke jijini dar

  Sehemu ya meza kuu,kutoka kulia ni Imam Abbasi Maunda  (mdau), Bi Halima Mamuya (mdau), Balozi Amina Salum Ali (mgeni rasmi), Fatma Khalfan (Mwenyekiti wa bodi), Juma Omari (mkuu wa shule) wakifuatilia yaliyokuwa yakijiri kwenye mahafali hayo ya kidato cha nne,yaliyofanyika mwishoni mwa wiki,Temeke jijini Dar.Mkuu wa Shule ya sekondari Twayyibat,Juma Omari akizungumza machache mbele ya wageni waalikwa mbalimbali,waliofika kwenye hafla hiyo ya mahafari iliyofanyika mwishoni mwa wiki...

 

5 years ago

Michuzi

WAZIRI WA ELIMU AFURAHISHWA NA UJENZI WA SEKONDARI YA WASICHANA WILAYANI CHAMWINO

 Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Job Ndungai akitoa ufafanuzi juu ya maendeleo ya ujenzi wa shule maalum ya wasichana inayojengwa na Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Jijini Dodoma.Muonekano wa baadhi ya majengo ya shule ya sekondari maalum ya wasichana inayojengwa wabunge wa  Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Chamwino Jijini Dodoma
WAZIRI wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Profesa Joyce Ndalichako ameahidi kuunga mkono juhudi za wabunge katika ujenzi wa shule...

 

10 years ago

Dewji Blog

DC Makonda atembelea na kukagua miradi ya maabara shule za sekondari wilayani kwake

Mkuu wa wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda akisaini kitabu cha wageni katika shule ya sekondari Turian iliyopo katika wilaya ya Kinondoni wakati wa ziara yake ya kutembelea miradi ya Maabara katika sekondari za Wilaya yake. Aliyesimama nyuma yake ni Mkuu wa shule ya sekondari Turiani Mwalimu Beatrice Mhando. (PICHA ZOTE NA CATHBERT KAJUNA WA KAJUNASON BLOG).

Mkuu wa shule ya sekondari Turiani Mwalimu Beatrice Mhando akitoa maelezo machache juu ya shule yake mbele ya Mkuu wa Wilaya...

 

5 years ago

Michuzi

WANAFUNZI SHULE YA SEKONDARI KITEFU WILAYANI ARUMERU WAPEWA ELIMU YA AFYA YA UZAZI


Na Jusline Marco-Arusha

Zaidi ya wanafunzi 200 walio katika shule ya sekondari Kitefu Wilayani Arumeru wamepatiwa elimu ya afya ya uzazi itakayo wasaidie kuepuka mimba za utotoni na kuwezesha kufikia malengo yao kielimu.

Elimu hiyo ambayo imetolewa na shirika la Center for women and Girls Empowerment kutoka Mkoani Arusha ni kutokana na kuwepo kwa idadi kubwa ya wanafunzi wanaopata mimba za utotoni kutokana kutopata elimu ambayo itamuwezesha kujikinga na mimba za utotoni.

Akizungumza katika...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani