WAZIRI MKUU AFURAHISHWA NA KASI YA UJENZI MRADI MKUBWA WA UMEME WA JULIUS NYERERE WA MW 2115
WAZIRI Mkuu wa Jamhuri ya Muungano ya Tanzania Kassim Majaliwa ameridhishwa na hatua mbalimbali za ujenzi wa Mradi mkubwa wa Kufua Umeme kwa maji wa Julius Nyerere (JNHPP) unaotekelezwa kwenye mto Rufiji.
Waziri Mkuu ameyasema hayo leo Mei 14, 2020, baada ya kufanya ziara kwenye eneo la mradi unaotarajiwa kuzalisha jumla ya Megawati 2115“ utakapokamilika 2022.
Waziri Mkuu ambaye alifuatana na Waziri wa Nishati, Dk. Medard Kalemani, Katibu Mkuu wa Wizara hiyo mhandisi Zena Said watendaji wa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-qveNqmYyYik/XoszFLx0HhI/AAAAAAALmL0/oxvbcQssv_ERn9rNZmKpISDpPrMlofJQgCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-04-06%2Bat%2B1.50.06%2BPM.jpeg)
WAZIRI KALEMANI AFANYA ZIARA MRADI WA KUFUA UMEME WA JULIUS NYERERE MW 2115
Aidha Dkt Kalemani amemtaka mkandarasi wa mradi huo kuhakikisha anakarabati barabara zote za nje na ndani ya mradi ambazo zinatumika kupitisha mizigo inayoenda kwenye mradi,sambamba na kumtaka mkandarasi huyo kumaliza kazi...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-NqHBDzUcZJk/XmM2YtPXebI/AAAAAAALhqk/x4rkyzZIuWIhLG86pFQ6ptVzx7S05VomACLcBGAsYHQ/s72-c/963931f9-fe8e-4984-ab0c-c8ee1bd6686f.jpg)
KAMATI YA BUNGE YA BAJETI YARIDHISHWA NA KASI UTEKELEZAJI MRADI WA UMEME WA JULIUS NYERERE
![](https://1.bp.blogspot.com/-NqHBDzUcZJk/XmM2YtPXebI/AAAAAAALhqk/x4rkyzZIuWIhLG86pFQ6ptVzx7S05VomACLcBGAsYHQ/s640/963931f9-fe8e-4984-ab0c-c8ee1bd6686f.jpg)
…………………………………………………………………Na Farida Said, Morogoro
Kamati ya Kudumu ya Bajeti ya Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wamepewa wasilisho juu ya maendeleo ya utekelezaji mradi Julius Nyerere (Mw 2115).
Wasilisho hilo limetolewa Mkoani Morogoro kwenye ukumbi wa bwalo la JKT Umwema na kuhudhuriwa na Waziri wa Nishati Dkt. Medard Kalemani,...
11 years ago
Michuzi09 Jul
mwandani wa mradi wa ujenzi wa jengo la tatu la abiria uwanja wa ndege wa kimataifa wa julius nyerere (New Terminal III Project)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-hhEl_dmDCk0/VTDwco11jSI/AAAAAAAHRo4/0sfLT5wr9cI/s72-c/unnamed%2B(64).jpg)
WAZIRI CHIZA AKUTANA NA KAMPUNI YA UJENZI MRADI WA KUZALISHA UMEME KINYEREZI III
![](http://1.bp.blogspot.com/-hhEl_dmDCk0/VTDwco11jSI/AAAAAAAHRo4/0sfLT5wr9cI/s1600/unnamed%2B(64).jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-a_xox5K29aY/Xr2NibSO-II/AAAAAAALqRo/VsFSTltjQL4rpmMn4WUjCtjYo8muj58fQCLcBGAsYHQ/s72-c/PMO_9429AAA-768x512.jpg)
WAZIRI MKUU AKAGUA MRADI WA KUZALISHA UMEME WA JNHPP
![](https://1.bp.blogspot.com/-a_xox5K29aY/Xr2NibSO-II/AAAAAAALqRo/VsFSTltjQL4rpmMn4WUjCtjYo8muj58fQCLcBGAsYHQ/s640/PMO_9429AAA-768x512.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/PMO_9326AAA-1024x682.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/PMO_9442AAA-1024x683.jpg)
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, akifafanuliwa jambo na Waziri wa Nishati Dkt. Medad Kalemani, wakati alipokagua hatua za utekelezaji wa mradi wa kufua umeme wa Julius Nyerere (JNHPP)...
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-YRUzuGeZk9g/VdTlI8djt9I/AAAAAAAHyVg/5DmJ5F1CP6o/s72-c/unnamed%2B%252831%2529.jpg)
Naibu waziri wa maji akagua ujenzi wa mradi mkubwa wa maji Bunda
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-dQmC6s7KN1s/XnxxouTVdkI/AAAAAAALlEg/sd0rSPMi230SeH-A3rp_CTMEiDsaWShVgCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-03-26%2Bat%2B8.47.28%2BAM.jpeg)
WAZIRI WA ELIMU AFURAHISHWA NA UJENZI WA SEKONDARI YA WASICHANA WILAYANI CHAMWINO
![](https://1.bp.blogspot.com/-dQmC6s7KN1s/XnxxouTVdkI/AAAAAAALlEg/sd0rSPMi230SeH-A3rp_CTMEiDsaWShVgCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-03-26%2Bat%2B8.47.28%2BAM.jpeg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-MlHfWmRVO74/XnxxohSliXI/AAAAAAALlEc/v3544-k533kd9Dhj-_89dxk62JVanuppACLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-03-26%2Bat%2B8.47.55%2BAM.jpeg)
WAZIRI wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Profesa Joyce Ndalichako ameahidi kuunga mkono juhudi za wabunge katika ujenzi wa shule...
10 years ago
Habarileo17 Oct
Mradi mkubwa wa umeme Dar kukamilika mwakani
MRADI mkubwa wa megawati 80 kwa ajili ya kuboresha umeme katikati ya Jiji la Dar es Salaam unatarajia kukamilika Agosti mwakani.