WAZIRI CHIZA AKUTANA NA KAMPUNI YA UJENZI MRADI WA KUZALISHA UMEME KINYEREZI III
![](http://1.bp.blogspot.com/-hhEl_dmDCk0/VTDwco11jSI/AAAAAAAHRo4/0sfLT5wr9cI/s72-c/unnamed%2B(64).jpg)
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Uwekezaji na Uwezeshaji) Mhe. Eng. Christopher Chiza (Mb), (katikati) akiwa na ujumbe wa kampuni ya Shangai Electic Power ya nchini China inayokusudia kujenga Mradi wa Uzalishaji umeme wa Kinyerezi III, walipokutana ofisini kwake kuzungumza masuala ya uwekezaji katika mradi huo, tarehe 17 Aprili 2015, (kushoto) ni Makamu wa Rais wa kampuni hiyo Bw. Guo Baohong.
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-a_xox5K29aY/Xr2NibSO-II/AAAAAAALqRo/VsFSTltjQL4rpmMn4WUjCtjYo8muj58fQCLcBGAsYHQ/s72-c/PMO_9429AAA-768x512.jpg)
WAZIRI MKUU AKAGUA MRADI WA KUZALISHA UMEME WA JNHPP
![](https://1.bp.blogspot.com/-a_xox5K29aY/Xr2NibSO-II/AAAAAAALqRo/VsFSTltjQL4rpmMn4WUjCtjYo8muj58fQCLcBGAsYHQ/s640/PMO_9429AAA-768x512.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/PMO_9326AAA-1024x682.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/PMO_9442AAA-1024x683.jpg)
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, akifafanuliwa jambo na Waziri wa Nishati Dkt. Medad Kalemani, wakati alipokagua hatua za utekelezaji wa mradi wa kufua umeme wa Julius Nyerere (JNHPP)...
10 years ago
MichuziWAZIRI WA NISHATI NA MADINI NA NAIBU WAKE WAANZA KAZI RASMI KWA KUTEMBELEA MRADI WA UMEME WA KINYEREZI
10 years ago
MichuziWASHIRIKA WA MAENDELEO WARIDHISHWA MRADI WA UMEME KINYEREZI
10 years ago
GPLWASHIRIKA WA MAENDELEO WARIDHISHWA NA MRADI WA UMEME KINYEREZI
Baadhi ya Washirika wa Maendeleo wakipita jirani na unapojengwa moja ya mitambo ya kupokea gesi katika eneo la Kinyerezi, Jijini Dar es Salaam, walipotembelea maendeleo ya ujenzi wa kituo cha kupokea gesi. Pichani ni moja ya Mtambo wa kuzalisha umeme ambao ni miongoni mwa mitambo itakayotumiwa katika kuzalisha kiasi cha megawati 150 za umeme katika Mradi wa Kinyerezi I.…
...
9 years ago
MichuziRAIS KIKWETE AZINDUA MRADI WA UMEME GESI ASILIA KINYEREZI
5 years ago
MichuziWAZIRI MKUU AFURAHISHWA NA KASI YA UJENZI MRADI MKUBWA WA UMEME WA JULIUS NYERERE WA MW 2115
WAZIRI Mkuu wa Jamhuri ya Muungano ya Tanzania Kassim Majaliwa ameridhishwa na hatua mbalimbali za ujenzi wa Mradi mkubwa wa Kufua Umeme kwa maji wa Julius Nyerere (JNHPP) unaotekelezwa kwenye mto Rufiji.
Waziri Mkuu ameyasema hayo leo Mei 14, 2020, baada ya kufanya ziara kwenye eneo la mradi unaotarajiwa kuzalisha jumla ya Megawati 2115“ utakapokamilika 2022.
Waziri Mkuu ambaye alifuatana na Waziri wa Nishati, Dk. Medard Kalemani, Katibu Mkuu wa Wizara hiyo mhandisi Zena Said watendaji wa...
Waziri Mkuu ameyasema hayo leo Mei 14, 2020, baada ya kufanya ziara kwenye eneo la mradi unaotarajiwa kuzalisha jumla ya Megawati 2115“ utakapokamilika 2022.
Waziri Mkuu ambaye alifuatana na Waziri wa Nishati, Dk. Medard Kalemani, Katibu Mkuu wa Wizara hiyo mhandisi Zena Said watendaji wa...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-eNowmQhhg-4/VPrNnD5bnhI/AAAAAAAHIhI/lUBHlm6aQqw/s72-c/Untitled.png)
DC MUFINDI ATEMBELEA MRADI WA YA KUZALISHA UMEME -KIHANSI
![](http://1.bp.blogspot.com/-eNowmQhhg-4/VPrNnD5bnhI/AAAAAAAHIhI/lUBHlm6aQqw/s1600/Untitled.png)
11 years ago
Michuzi09 Jul
mwandani wa mradi wa ujenzi wa jengo la tatu la abiria uwanja wa ndege wa kimataifa wa julius nyerere (New Terminal III Project)
Hii ni mojawapo ya kazi za MICHUZI MEDIA GROUP. Wasiliana nasi ukihitaji huduma kama hii kwa kampuni ama taasisi yako...Bofya hapo "Contact us" kwa mawasiliano na huduma zenye ubora wa kimataifa.
11 years ago
Michuzi26 Feb
kampuni ya kuzalisha umeme ya SYMBION KUSAIDIA PROGRAMU ZA VIJANA TFF
![](https://2.bp.blogspot.com/-eVPl6SLmRRk/Uw3KuFXRTMI/AAAAAAAA_b0/ZzcgTnhsFg0/s1600/TFF1.jpg)
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania