Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


WASHIRIKA WA MAENDELEO WARIDHISHWA NA MRADI WA UMEME KINYEREZI

Baadhi ya Washirika wa Maendeleo wakipita jirani na unapojengwa moja ya mitambo ya kupokea gesi katika eneo la Kinyerezi, Jijini Dar es Salaam, walipotembelea maendeleo ya ujenzi wa kituo cha kupokea gesi. Pichani ni moja ya Mtambo wa kuzalisha umeme ambao ni miongoni mwa mitambo itakayotumiwa katika kuzalisha kiasi cha megawati 150 za umeme katika Mradi wa Kinyerezi I.…
...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

WASHIRIKA WA MAENDELEO WARIDHISHWA MRADI WA UMEME KINYEREZI

Baadhi ya Washirika wa Maendeleo wakipita jirani na unapojengwa mmoja wa mitambo wa kupokea gesi katika eneo la Kinyerezi, Jijini Dar es Salaam, walipotembelea maendeleo ya ujenzi wa kituo cha kupokea gesi. Pichani ni mmoja wa Mtambo wa kuzalisha umeme ambao ni miongoni mwa mitambo itakayotumiwa katika kuzalisha kiasi cha megawati 150 za umeme katika Mradi wa Kinyerezi I. Meneja Mradi wa Ujenzi wa Kituo cha kuzalisha Umeme cha Kinyerezi I kutoka Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO),...

 

9 years ago

Michuzi

RAIS KIKWETE AZINDUA MRADI WA UMEME GESI ASILIA KINYEREZI

Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akikata utepe na kufunua kitambaa katika jiwe la msingi kuzindua rasmi mtambo wa kufua umeme kutokana na Gesi Asilia huko Kinyerezi jijini Dar es Salaam.Mradi huo umejengwa kwa gharama ya shilingi bilioni 400.Kushoto ni mwakilishi wa benki ya African Development Bank(ADB) Bi Tonia Kandiero na kulia ni Mkurugenzi Mkuu wa TANESCO Bwana Felchesmi Mramba.Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akitembelea mradi wa kufua umeme kutokana na gesi asilia muda mfupi baada ya...

 

10 years ago

Michuzi

WAZIRI CHIZA AKUTANA NA KAMPUNI YA UJENZI MRADI WA KUZALISHA UMEME KINYEREZI III

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Uwekezaji na Uwezeshaji) Mhe. Eng. Christopher Chiza (Mb), (katikati) akiwa na ujumbe wa kampuni ya Shangai Electic Power ya nchini China inayokusudia kujenga Mradi wa Uzalishaji umeme wa Kinyerezi III, walipokutana ofisini kwake kuzungumza masuala ya uwekezaji katika mradi huo, tarehe 17 Aprili 2015, (kushoto) ni Makamu wa Rais wa kampuni hiyo Bw. Guo Baohong.

 

10 years ago

Michuzi

WAZIRI WA NISHATI NA MADINI NA NAIBU WAKE WAANZA KAZI RASMI KWA KUTEMBELEA MRADI WA UMEME WA KINYEREZI

Meneja Mradi wa Kinyerezi I kutoka Shirika la Umeme Nchini (Tanesco) Mhandisi Simon Jilima (katikati) akielezea maendeleo ya mradi wa Kinyerezi I. Kutoka kulia ni Naibu Waziri wa Nishati na Madini (Nishati) Mhe. Charles Mwijage na Waziri wa Nishati na Madini Mhe. George Simbachawene. Kushoto kabisa ni Kaimu Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini Mhandisi Ngosi Mwihava.Naibu Waziri wa Nishati na Madini (Nishati) Mhe. Charles Mwijage (kulia) akitoa maelekezo kwa wataalamu wanaosimamia...

 

10 years ago

Tanzania Daima

CCM waridhishwa utekelezaji mradi BRT

WAJUMBE wa Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Mkoa wa Dar es Salaam, wameridhishwa na hatua iliyofikiwa katika utekelezaji wa Mradi wa Mabasi yaendayo Haraka (BRT). Wajumbe hao walikuwa...

 

10 years ago

Habarileo

Tanesco wajivunia mradi wa Kinyerezi II

SHIRIKA la Umeme Nchini (TANESCO) limesema ifikapo mwishoni mwa mwaka 2016 Tanzania suala la mgawo wa umeme litabaki kuwa historia.

 

10 years ago

Habarileo

Washirika wa maendeleo wakamilisha uchangiaji

Waziri wa Fedha, Saada Mkuya Salum kabla ya soma bajeti ya Serikali kwa huu wa fedha mjini Dodoma.WASHIRIKA wa Maendeleo nchini wanaosaidia bajeti wamekubali kutoa asilimia tano ya fedha zilizokuwa zimebakia ili kukamilisha uchangiaji wa bajeti kwa mwaka 2014/15 baada ya kuridhishwa na hatua zilizochukuliwa na serikali dhidi ya sakata la wizi wa fedha za akaunti ya Tegeta Escrow.

 

10 years ago

Habarileo

Kituo cha umeme Kinyerezi 1 kuanza majaribio mwakani

KITUO cha kuzalisha umeme kwa kutumia gesi asilia cha Kinyerezi 1, kinatarajia kuanza kuzalisha umeme wa majaribio mwanzoni mwa mwakani, baada ya kukamilika kwa ujenzi wa bomba la gesi linalotoa gesi hiyo Mtwara hadi Dar es Salaam.

 

5 years ago

Michuzi

MAKATIBU WAKUU WARIDHISHWA NA MRADI WA GHALA LA MPUNGA KIJIJI CHA MVUMI

Makatibu Wakuu wa Wizara  nne leo wamefanya ukaguzi wa mradi wa ujenzi wa miundombinu ya Umwagiliaji mkoani Morogoro na kuridhishwa na kukamilika kwa ghala la kuhifadhia mpunga kijiji cha Mvumi Wilaya ya Kilosa.
Ziara hii imewakutanisha Makatibu wakuu wa Wizara za Kilimo Gerald Kusaya,Wizara ya Viwanda na Biashara Prof.Riziki Shemdoe,Naibu Katibu Mkuu OR -TAMISEMI Bw.Gerlad Mweli na Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais ,Mazingira Balozi Joseph Sokoine
Akizungumza kwenye ukaguzi...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani