Washirika wa maendeleo wakamilisha uchangiaji
WASHIRIKA wa Maendeleo nchini wanaosaidia bajeti wamekubali kutoa asilimia tano ya fedha zilizokuwa zimebakia ili kukamilisha uchangiaji wa bajeti kwa mwaka 2014/15 baada ya kuridhishwa na hatua zilizochukuliwa na serikali dhidi ya sakata la wizi wa fedha za akaunti ya Tegeta Escrow.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziWASHIRIKA WA MAENDELEO WARIDHISHWA MRADI WA UMEME KINYEREZI
10 years ago
GPLWASHIRIKA WA MAENDELEO WARIDHISHWA NA MRADI WA UMEME KINYEREZI
11 years ago
MichuziTUMEJITUMA TUKAVUTIA WASHIRIKA WA MAENDELEO-WAZIRI OMAR YUSSUF MZEE
11 years ago
Dewji Blog30 May
Katibu Mkuu Kiongozi akutana na nchi washirika wa maendeleo jijini Dar leo
Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue akibadilishana mawazo na mabalozi na wawakilishi wa nchi washirika wa maendeleo kabla ya mkutano aliowaandalia leo Mei 30, 2014 katika hoteli ya Hyatt Kilimanjaro hotel jijini Dar es salaam kuzungumzia michango katika Kapu la Afya (Health Basket Fund) pamoja na mpango wa serikali wa kuiingiza sekta ya afya katika kutekeleza Mpango wa Matokeo Makubwa Sasa (BRN).
Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue (wa saba kutoka kushoto) akiwa katika...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/--StiaqhBB_o/U4ie-YygMsI/AAAAAAAFmgU/HYP_AC7VBRk/s72-c/unnamed+(5).jpg)
KATIBU MKUU KIONGOZI AKUTANA NA NCHI WASHIRIKA WA MAENDELEO JIJINI DAR ES SALAAM LEO
![](http://2.bp.blogspot.com/--StiaqhBB_o/U4ie-YygMsI/AAAAAAAFmgU/HYP_AC7VBRk/s1600/unnamed+(5).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-T0jWc3YOO90/U4ie-SzkAPI/AAAAAAAFmgY/C_cWaOvhAlM/s1600/unnamed+(6).jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-Y9wxHMDzh44/VR7O_6c02lI/AAAAAAABMiM/uWKgogwMPEw/s72-c/0.1JEMBE6.jpg)
JEMBE FM YAPANIA KUWA SEHEMU YA UCHANGIAJI KATIKA UKUAJI WA MAENDELEO YA JIJI LA MWANZA
![](http://2.bp.blogspot.com/-Y9wxHMDzh44/VR7O_6c02lI/AAAAAAABMiM/uWKgogwMPEw/s1600/0.1JEMBE6.jpg)
11 years ago
MichuziTASAF na washirika wa maendeleo wanaofadhili Mpango wa kunusuru Kaya Masikini na zinazoishi katika mazingira hatarishi watembelea kisiwani Zanzibar
10 years ago
Habarileo11 Jul
Namtumbo wakamilisha maabara
AGIZO la Rais Jakaya Kikwete la ujenzi wa vyumba vitatu vya maabara katika shule zote za sekondari nchini, limetekelezwa vizuri wilayani Namtumbo ambapo wananchi kwa kushirikiana na halmashauri ya wilaya wamefanikisha kazi hiyo kwa asilimia 95.
10 years ago
Habarileo04 Oct
Mahujaji milioni 2 wakamilisha hija
ZAIDI ya mahujaji milioni 1.3 kutoka kila pembe ya dunia jana walitumia siku nzima katika viwanja vya Arafat vilivyoko kilometa 15 kutoka jiji la Makkah kukamilisha kilele za ibada ya Hija ya mwaka huu.