Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TUMEJITUMA TUKAVUTIA WASHIRIKA WA MAENDELEO-WAZIRI OMAR YUSSUF MZEE

Mhe. OMAR Yussuf Mzee, Waziri wa Fedha, Serikali ya Mapinduzi Zanzibar akiongoea siku ya jumatatu kwa niaba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, wakati wa mkutano wa Kilele wa Baraza la Umoja wa Mataifa linalohusika na masuala ya Uchumi na Maendeleo ya Jamii ( ECOSOC). Mawaziri kutoka mataifa mbalimbali wapo hapa Umoja wa Mataifa kuhudhuria mkutano huo ambao unajadili utekelezaji wa malengo ya maendeleo ya millenia ( MDGs), changamoto zake, changamoto zinazoibuka, pamoja na ...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

WAZIRI WA FEDHA ZANZIBAR, MHE. OMAR YUSSUF MZEE AWASILISHA BAJETI KWA MWAKA WA FEDHA 2015/2016

Waziri wa Fedha akiinua Begi lenye Bajeti ya Serikali ya Mapinduzi Zanzibar wakati akiingia katika ukumbi wa mkutano kuwasilisha Hutuba ya Bajeti jana jioni katika Ukumbi wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar Chukwani.Waziri wa Fedha wa Zanzibar Mhe Omar Yussuf Mzee, akishindikizwa na Askari wa Baraza kuingia katika ukumbi wa Mkutano kwa ajili ya kusoma Hutuba ya Bajeti ya Serikali ya Mapinduzi Zanzibar jana jioni.Waziri wa Fedha Zanzibar Mhe. Omar Yussuf Mzee akisoma Hutuba ya Bajeti ya...

 

11 years ago

Michuzi

HOTUBA YA WAZIRI WA FEDHA MHESHIMIWA OMAR YUSSUF MZEE KUHUSU MAPENDEKEZO YA MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI YA SERIKALI KWA MWAKA WA FEDHA 2014/15 KATIKA BARAZA LA WAWAKILISHI

WAZIRI WA FEDHA  WA ZANZIBAR MHESHIMIWA OMAR YUSSUF MZEE AKIINGIIA KATIKA UKUNBU WA BARAZA LA  WAWAKILISHI LEO

 

10 years ago

Vijimambo

NEW SONG MZEE YUSSUF-MAHABA NIUWE


WIMBO MPYA WA MZEE YUSSUF

 

10 years ago

GPL

MZEE YUSSUF, KHADIJA KOPA WAUNGANA

Stori: Issa Mnally MAGWIJI wa nyimbo za taarabu nchini, Mfalme Mzee Yussuf na Malkia Khadija Omar Kopa wameungana pamoja kuimba wimbo wa kupinga ukatili dhidi ya wanawake na kufanya onyesho kubwa la uzinduzi wa video yake mwishoni mwa wiki katika onyesho lililofanyika katika ukumbi wa Travertine, Magomeni jijini Dar es Salaam. Gwiji wa nyimbo za mipasho Malkia Khadija Omar Kopa (katikati) akitoa burudani. Onyesho hilo...

 

10 years ago

Habarileo

Washirika wa maendeleo wakamilisha uchangiaji

Waziri wa Fedha, Saada Mkuya Salum kabla ya soma bajeti ya Serikali kwa huu wa fedha mjini Dodoma.WASHIRIKA wa Maendeleo nchini wanaosaidia bajeti wamekubali kutoa asilimia tano ya fedha zilizokuwa zimebakia ili kukamilisha uchangiaji wa bajeti kwa mwaka 2014/15 baada ya kuridhishwa na hatua zilizochukuliwa na serikali dhidi ya sakata la wizi wa fedha za akaunti ya Tegeta Escrow.

 

10 years ago

GPL

WASHIRIKA WA MAENDELEO WARIDHISHWA NA MRADI WA UMEME KINYEREZI

Baadhi ya Washirika wa Maendeleo wakipita jirani na unapojengwa moja ya mitambo ya kupokea gesi katika eneo la Kinyerezi, Jijini Dar es Salaam, walipotembelea maendeleo ya ujenzi wa kituo cha kupokea gesi. Pichani ni moja ya Mtambo wa kuzalisha umeme ambao ni miongoni mwa mitambo itakayotumiwa katika kuzalisha kiasi cha megawati 150 za umeme katika Mradi wa Kinyerezi I.…
...

 

10 years ago

Michuzi

WASHIRIKA WA MAENDELEO WARIDHISHWA MRADI WA UMEME KINYEREZI

Baadhi ya Washirika wa Maendeleo wakipita jirani na unapojengwa mmoja wa mitambo wa kupokea gesi katika eneo la Kinyerezi, Jijini Dar es Salaam, walipotembelea maendeleo ya ujenzi wa kituo cha kupokea gesi. Pichani ni mmoja wa Mtambo wa kuzalisha umeme ambao ni miongoni mwa mitambo itakayotumiwa katika kuzalisha kiasi cha megawati 150 za umeme katika Mradi wa Kinyerezi I. Meneja Mradi wa Ujenzi wa Kituo cha kuzalisha Umeme cha Kinyerezi I kutoka Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO),...

 

10 years ago

Michuzi

MZEE YUSSUF NA ISHA MASHAUZI KUKINUKISHA MWANZA JUNI 11 NDANI YA VILLA PARK

Kama tangazo linavyojieleza, ni onyesho la kukata na shoka kati ya mfalme wa taarab Mzee Yussuf na malkia wa masauti Isha Mashauzi Juni 11 ndani ya jiji la Mwanza.


Patakuwa hapatoshi ndani ya Villa Park pale wakali hao wanaokimbiza soko la taarab watakapoumana katika usiku wa Baba na Mwana.

 

11 years ago

Dewji Blog

Katibu Mkuu Kiongozi akutana na nchi washirika wa maendeleo jijini Dar leo

se1

Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue akibadilishana mawazo na mabalozi na wawakilishi wa nchi washirika wa maendeleo kabla ya  mkutano aliowaandalia leo Mei 30, 2014 katika hoteli ya Hyatt Kilimanjaro hotel jijini Dar es salaam kuzungumzia  michango katika Kapu la Afya (Health Basket Fund) pamoja na mpango wa serikali wa kuiingiza sekta ya afya katika  kutekeleza Mpango wa Matokeo Makubwa Sasa (BRN).

se3

Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue (wa saba kutoka kushoto) akiwa katika...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani