NEW SONG MZEE YUSSUF-MAHABA NIUWE
WIMBO MPYA WA MZEE YUSSUF
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPLMZEE YUSSUF, KHADIJA KOPA WAUNGANA
Stori: Issa Mnally MAGWIJI wa nyimbo za taarabu nchini, Mfalme Mzee Yussuf na Malkia Khadija Omar Kopa wameungana pamoja kuimba wimbo wa kupinga ukatili dhidi ya wanawake na kufanya onyesho kubwa la uzinduzi wa video yake mwishoni mwa wiki katika onyesho lililofanyika katika ukumbi wa Travertine, Magomeni jijini Dar es Salaam. Gwiji wa nyimbo za mipasho Malkia Khadija Omar Kopa (katikati) akitoa burudani. Onyesho hilo...
11 years ago
MichuziTUMEJITUMA TUKAVUTIA WASHIRIKA WA MAENDELEO-WAZIRI OMAR YUSSUF MZEE
Mhe. OMAR Yussuf Mzee, Waziri wa Fedha, Serikali ya Mapinduzi Zanzibar akiongoea siku ya jumatatu kwa niaba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, wakati wa mkutano wa Kilele wa Baraza la Umoja wa Mataifa linalohusika na masuala ya Uchumi na Maendeleo ya Jamii ( ECOSOC). Mawaziri kutoka mataifa mbalimbali wapo hapa Umoja wa Mataifa kuhudhuria mkutano huo ambao unajadili utekelezaji wa malengo ya maendeleo ya millenia ( MDGs), changamoto zake, changamoto zinazoibuka, pamoja na ...
10 years ago
MichuziMZEE YUSSUF NA ISHA MASHAUZI KUKINUKISHA MWANZA JUNI 11 NDANI YA VILLA PARK
Kama tangazo linavyojieleza, ni onyesho la kukata na shoka kati ya mfalme wa taarab Mzee Yussuf na malkia wa masauti Isha Mashauzi Juni 11 ndani ya jiji la Mwanza.
Patakuwa hapatoshi ndani ya Villa Park pale wakali hao wanaokimbiza soko la taarab watakapoumana katika usiku wa Baba na Mwana.
Patakuwa hapatoshi ndani ya Villa Park pale wakali hao wanaokimbiza soko la taarab watakapoumana katika usiku wa Baba na Mwana.
10 years ago
MichuziLEO NI LEO MZEE YUSSUF NA ISHA MASHAUZI NDANI YA VILLA PARK MWANZA
Hatimaye siku imewadia, tarehe iliyokuwa inasubiriwa kwa hamu kubwa na mashabiki wa taarab wa jiji la Mwanza ndio hii hapa - ni Mzee Yussuf na Isha Mashauzi katika onyesho la kukata na shoka ndani ya Villa Park leo usiku.
Ni onyesho linalokutanisha miamba miwili ya taarab ambapo licha ya kuchukuliwa kama mtu na mwanae lakini upinzani mkubwa unatarajiwa kutawala katika onyesho hilo lililopewa jina la usiku wa baba na mwana.
Wasanii wote wawili (Isha na Mzee) wameahidi kumimina...
Ni onyesho linalokutanisha miamba miwili ya taarab ambapo licha ya kuchukuliwa kama mtu na mwanae lakini upinzani mkubwa unatarajiwa kutawala katika onyesho hilo lililopewa jina la usiku wa baba na mwana.
Wasanii wote wawili (Isha na Mzee) wameahidi kumimina...
10 years ago
MichuziMZEE YUSSUF NA ISHA MASHAUZI WATHIBITISHA RASMI MTANANGE WA JAHAZI NA MASHAUZI CLASSIC
Hatimaye wakurugenzi wa Mashauzi Classic na Jahazi Modern Taarab, wamefanya mkutano na waandishi wa habari na kuthibitisha kuwepo kwa onyesho la pamoja la makundi hayo yenye nguvu katika muziki wa taarab.
Onyesho hilo litafanyika mwezi huu Jumapili tarehe 22 ndani ya ukumbi wa Travertine Hotel Magomeni. Mkurugenzi wa Jahazi, Mzee Yussuf na mkurugenzi wa Mashauzi Classic, Isha Ramadhan maarufu kama Isha Mashauzi, wamesema siku hiyo hatumwi mtoto dukani.
Wakiongea katika mkutano huo wa...
Onyesho hilo litafanyika mwezi huu Jumapili tarehe 22 ndani ya ukumbi wa Travertine Hotel Magomeni. Mkurugenzi wa Jahazi, Mzee Yussuf na mkurugenzi wa Mashauzi Classic, Isha Ramadhan maarufu kama Isha Mashauzi, wamesema siku hiyo hatumwi mtoto dukani.
Wakiongea katika mkutano huo wa...
10 years ago
VijimamboWAZIRI WA FEDHA ZANZIBAR, MHE. OMAR YUSSUF MZEE AWASILISHA BAJETI KWA MWAKA WA FEDHA 2015/2016
Waziri wa Fedha akiinua Begi lenye Bajeti ya Serikali ya Mapinduzi Zanzibar wakati akiingia katika ukumbi wa mkutano kuwasilisha Hutuba ya Bajeti jana jioni katika Ukumbi wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar Chukwani.Waziri wa Fedha wa Zanzibar Mhe Omar Yussuf Mzee, akishindikizwa na Askari wa Baraza kuingia katika ukumbi wa Mkutano kwa ajili ya kusoma Hutuba ya Bajeti ya Serikali ya Mapinduzi Zanzibar jana jioni.Waziri wa Fedha Zanzibar Mhe. Omar Yussuf Mzee akisoma Hutuba ya Bajeti ya...
10 years ago
MichuziLEO NI LEO NDANI YA VILLA PARK MWANZA, MFALME MZEE YUSSUF NA MALKIA ISHA MASHAUZI WATATOANA MACHO
Hatimaye siku imewadia, tarehe iliyokuwa inasubiriwa kwa hamu kubwa na mashabiki wa taarab wa jiji la Mwanza ndio hii hapa - ni Mzee Yussuf na Isha Mashauzi katika onyesho la kukata na shoka ndani ya Villa Park leo usiku.Ni onyesho linalokutanisha miamba miwili ya taarab ambapo licha ya kuchukuliwa kama mtu na mwanae lakini upinzani mkubwa unatarajiwa kutawala katika onyesho hilo lililopewa jina la usiku wa baba na mwana.Wasanii wote wawili (Isha na Mzee) wameahidi kumimina uhondo wa aina...
11 years ago
MichuziHOTUBA YA WAZIRI WA FEDHA MHESHIMIWA OMAR YUSSUF MZEE KUHUSU MAPENDEKEZO YA MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI YA SERIKALI KWA MWAKA WA FEDHA 2014/15 KATIKA BARAZA LA WAWAKILISHI
WAZIRI WA FEDHA WA ZANZIBAR MHESHIMIWA OMAR YUSSUF MZEE AKIINGIIA KATIKA UKUNBU WA BARAZA LA WAWAKILISHI LEO
10 years ago
Daily News05 Nov
Written by ISSA YUSSUF in Zanzibar
Daily News
Written by ISSA YUSSUF in Zanzibar
Daily News
ZANZIBAR President, Dr Ali Mohamed Shein has said his government has registered admirable achievements during the four-year period since he was elected to the top most political post and was convinced that CCM would realise another landslide victory ...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania