LEO NI LEO NDANI YA VILLA PARK MWANZA, MFALME MZEE YUSSUF NA MALKIA ISHA MASHAUZI WATATOANA MACHO
![](http://2.bp.blogspot.com/-n0XmtJv2oDY/VXk5s--cjuI/AAAAAAAHeoQ/wyN6P-Y4u4I/s72-c/unnamed%2B%252831%2529.jpg)
Hatimaye siku imewadia, tarehe iliyokuwa inasubiriwa kwa hamu kubwa na mashabiki wa taarab wa jiji la Mwanza ndio hii hapa - ni Mzee Yussuf na Isha Mashauzi katika onyesho la kukata na shoka ndani ya Villa Park leo usiku.Ni onyesho linalokutanisha miamba miwili ya taarab ambapo licha ya kuchukuliwa kama mtu na mwanae lakini upinzani mkubwa unatarajiwa kutawala katika onyesho hilo lililopewa jina la usiku wa baba na mwana.
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-zhl3botkLow/VXkuauUQcZI/AAAAAAAHemI/LIoswKhEC_g/s72-c/unnamed%2B%252823%2529.jpg)
LEO NI LEO MZEE YUSSUF NA ISHA MASHAUZI NDANI YA VILLA PARK MWANZA
![](http://4.bp.blogspot.com/-zhl3botkLow/VXkuauUQcZI/AAAAAAAHemI/LIoswKhEC_g/s640/unnamed%2B%252823%2529.jpg)
Ni onyesho linalokutanisha miamba miwili ya taarab ambapo licha ya kuchukuliwa kama mtu na mwanae lakini upinzani mkubwa unatarajiwa kutawala katika onyesho hilo lililopewa jina la usiku wa baba na mwana.
Wasanii wote wawili (Isha na Mzee) wameahidi kumimina...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-MWu0m_EYUvo/VV1PjpoeYYI/AAAAAAAHYvc/863pTE_YT38/s72-c/unnamed%2B%252866%2529.jpg)
MZEE YUSSUF NA ISHA MASHAUZI KUKINUKISHA MWANZA JUNI 11 NDANI YA VILLA PARK
![](http://2.bp.blogspot.com/-MWu0m_EYUvo/VV1PjpoeYYI/AAAAAAAHYvc/863pTE_YT38/s640/unnamed%2B%252866%2529.jpg)
Patakuwa hapatoshi ndani ya Villa Park pale wakali hao wanaokimbiza soko la taarab watakapoumana katika usiku wa Baba na Mwana.
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-aMZYI63gCX4/VP32rRWRhmI/AAAAAAAHJOM/QB8NDRmZXCk/s72-c/press%2Bpic.jpg)
MZEE YUSSUF NA ISHA MASHAUZI WATHIBITISHA RASMI MTANANGE WA JAHAZI NA MASHAUZI CLASSIC
Onyesho hilo litafanyika mwezi huu Jumapili tarehe 22 ndani ya ukumbi wa Travertine Hotel Magomeni. Mkurugenzi wa Jahazi, Mzee Yussuf na mkurugenzi wa Mashauzi Classic, Isha Ramadhan maarufu kama Isha Mashauzi, wamesema siku hiyo hatumwi mtoto dukani.
Wakiongea katika mkutano huo wa...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-2TS5KoHlfMQ/VMobGQGZRxI/AAAAAAABKJ0/lZ5uD7YSQXs/s72-c/valentine.jpg)
MPANGO MZIMA WA RATIBA YA HARAKATI ZA VALENTINE NDANI YA VILLA PARK JIJINI MWANZA
![](http://4.bp.blogspot.com/-2TS5KoHlfMQ/VMobGQGZRxI/AAAAAAABKJ0/lZ5uD7YSQXs/s1600/valentine.jpg)
Kisha Jumamosi ya tarehe 14/02/2015 Valentines Day bendi ya Super Kamanyola kutambulisha safu ya waimbaji wake wapya, Kiingilio Sebuleni Tshs 5,000/= na Tshs10,000/= utazama hadi Disco ambako kutakuwa na mpambano wa Ma-Dj NANI MKALI KATI YA DJ TASS (MAGIC FM) V/s DJ EDDY (RFA)
![](http://3.bp.blogspot.com/-AMXuvHOsVcU/VMoa2O-X3sI/AAAAAAABKIg/mEqPqy93dqQ/s1600/0.1super%2Bkamanyola3.jpg)
10 years ago
Dewji Blog05 Apr
Ali Kiba, Isha Mashauzi, Msaga Sumu na wengineo kupagawisha Pasaka Dar Live leo
Ile shoo kubwa na ya kijanja iliyokuwa ikisubiriwa na mashabiki wengi wa burudani imewadia ambapo leo Aprili, 5 (Sikukuu ya Pasaka) ndani ya Uwanja wa Taifa wa Burudani, Dar Live uliopo Mbagala-Zakhem jijini Dar mastaa wa muziki Bongo kama, Ali Kiba ‘Mwana Dar Live’, Isha Mashauzi, Msaga Sumu na wengineo wanatarajiwa kutikisa vilivyo mashabiki watakaojitokeza.
Kwa mujibu wa Mratibu wa burudani katika ukumbi huo, Abdallah Mrisho ‘Abby Cool’ aliawaomba mashabiki wote kufika kwa wingi...
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/pK7sPJHXroY/default.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/gy9xxCukQUw/default.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-vGFgLtGbNVU/VH3Rlk7wQJI/AAAAAAAG00o/fxM72iL4MOE/s72-c/IMG-20141201-WA013.jpg)
Mdau Ramadhan Hussein wa Villa Park ya jijini Mwanza aukacha Ukapera
![](http://3.bp.blogspot.com/-vGFgLtGbNVU/VH3Rlk7wQJI/AAAAAAAG00o/fxM72iL4MOE/s1600/IMG-20141201-WA013.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-2KAr8zC3V80/VH3Rjk733AI/AAAAAAAG00M/eqMuHi-_lCk/s1600/IMG-20141201-WA002.jpg)
9 years ago
MillardAyo27 Dec
Baada ya Chrismass Geita, Yamoto Band wamefungua mabox ya zawadi Villa Park Mwanza, cheki pichaz 20
Mtu wangu wa nguvu naomba nikujuze kilichotokea katika Mama Tour ya Yamoto Band pande za Mwanza, ikiwa ni siku moja imepita toka Yamoto Band wapige Show kali pande za Geita, usiku wa December 25 yaani sikukuu ya Chrismass, December 26 siku ya Boxing Day wameamua kufungua mabox yao ya zawadi ndani ya ukumbi wa Villa […]
The post Baada ya Chrismass Geita, Yamoto Band wamefungua mabox ya zawadi Villa Park Mwanza, cheki pichaz 20 appeared first on TZA_MillardAyo.
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10