Mdau Ramadhan Hussein wa Villa Park ya jijini Mwanza aukacha Ukapera
![](http://3.bp.blogspot.com/-vGFgLtGbNVU/VH3Rlk7wQJI/AAAAAAAG00o/fxM72iL4MOE/s72-c/IMG-20141201-WA013.jpg)
Mdau Ramadhan Hussein ambaye ni Meneja wa Kiota maarufu jijini Mwanza "Villa Park",mwishoni mwa wiki iliyopia aliamua kuachana kabisa na Chama cha Makapera kwa kufunga pingu za maisha na Bi. Husna Salum mkazi wa huko Ukonga jijini Dar es Salaam.Ndoa yao hiyo ilifungwa katika Msikiti Mkubwa wa Ijumaa ulipo Airport,Ukonga jijini Dar es Salaam.Mdau Ramadhan Hussein na Mamsapu wake Bi. Husna Salum wakionekana kuwa na nyuso za furaha mara baada ya kumeremeta kwao.
Ni chereko chereko tu kwa kwenda...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-mcV0TXASXNc/VBagKOdpqDI/AAAAAAAGjrc/kM1hyc3E7Ec/s72-c/New%2BPicture.png)
MDAU KENNY MTOTO WA MAMA BISHANGA AUKACHA UKAPERA
Mama Bishanga na mumewe hawakuweza kuwahi siku ya harusi hiyo iliyopendeza sana na kuhudhuriwa na ndugu wengine wakiwemo wadogo wa mama Bishanga Mack Innocent Hatia na Constancia Innocent Hatia, baba...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-2TS5KoHlfMQ/VMobGQGZRxI/AAAAAAABKJ0/lZ5uD7YSQXs/s72-c/valentine.jpg)
MPANGO MZIMA WA RATIBA YA HARAKATI ZA VALENTINE NDANI YA VILLA PARK JIJINI MWANZA
![](http://4.bp.blogspot.com/-2TS5KoHlfMQ/VMobGQGZRxI/AAAAAAABKJ0/lZ5uD7YSQXs/s1600/valentine.jpg)
Kisha Jumamosi ya tarehe 14/02/2015 Valentines Day bendi ya Super Kamanyola kutambulisha safu ya waimbaji wake wapya, Kiingilio Sebuleni Tshs 5,000/= na Tshs10,000/= utazama hadi Disco ambako kutakuwa na mpambano wa Ma-Dj NANI MKALI KATI YA DJ TASS (MAGIC FM) V/s DJ EDDY (RFA)
![](http://3.bp.blogspot.com/-AMXuvHOsVcU/VMoa2O-X3sI/AAAAAAABKIg/mEqPqy93dqQ/s1600/0.1super%2Bkamanyola3.jpg)
11 years ago
Tanzania Daima02 Jul
Kapteni Temba aukacha ukapera
MKURUGENZI wa Kundi la Taarabu la ‘Funga Kazi’ lenye maskani yake Kigamboni, jijini Dar es Saalam, Kariya Temba ‘Kapteni Temba,’ ameamua kuuaga ukapera baada ya kumuoa mmoja wa waimbaji wa...
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-Eyo41VA1q7w/Vn7Yo9FWUOI/AAAAAAAIOxI/S9gt63YwqA4/s72-c/OTH_5201.jpg)
Mpiganaji Edwini Mjwahuzi aukacha rasmi ukapera
![](http://2.bp.blogspot.com/-Eyo41VA1q7w/Vn7Yo9FWUOI/AAAAAAAIOxI/S9gt63YwqA4/s640/OTH_5201.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-GlBYsbQXNno/Vn7YrQwuzPI/AAAAAAAIOxQ/XqsEpjhplPg/s640/OTH_5229.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-5gMk0bfi1w4/Vn7YrQdjXBI/AAAAAAAIOxU/0P1edkTcwlU/s640/OTH_5264.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-MWu0m_EYUvo/VV1PjpoeYYI/AAAAAAAHYvc/863pTE_YT38/s72-c/unnamed%2B%252866%2529.jpg)
MZEE YUSSUF NA ISHA MASHAUZI KUKINUKISHA MWANZA JUNI 11 NDANI YA VILLA PARK
![](http://2.bp.blogspot.com/-MWu0m_EYUvo/VV1PjpoeYYI/AAAAAAAHYvc/863pTE_YT38/s640/unnamed%2B%252866%2529.jpg)
Patakuwa hapatoshi ndani ya Villa Park pale wakali hao wanaokimbiza soko la taarab watakapoumana katika usiku wa Baba na Mwana.
9 years ago
MillardAyo27 Dec
Baada ya Chrismass Geita, Yamoto Band wamefungua mabox ya zawadi Villa Park Mwanza, cheki pichaz 20
Mtu wangu wa nguvu naomba nikujuze kilichotokea katika Mama Tour ya Yamoto Band pande za Mwanza, ikiwa ni siku moja imepita toka Yamoto Band wapige Show kali pande za Geita, usiku wa December 25 yaani sikukuu ya Chrismass, December 26 siku ya Boxing Day wameamua kufungua mabox yao ya zawadi ndani ya ukumbi wa Villa […]
The post Baada ya Chrismass Geita, Yamoto Band wamefungua mabox ya zawadi Villa Park Mwanza, cheki pichaz 20 appeared first on TZA_MillardAyo.
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-zhl3botkLow/VXkuauUQcZI/AAAAAAAHemI/LIoswKhEC_g/s72-c/unnamed%2B%252823%2529.jpg)
LEO NI LEO MZEE YUSSUF NA ISHA MASHAUZI NDANI YA VILLA PARK MWANZA
![](http://4.bp.blogspot.com/-zhl3botkLow/VXkuauUQcZI/AAAAAAAHemI/LIoswKhEC_g/s640/unnamed%2B%252823%2529.jpg)
Ni onyesho linalokutanisha miamba miwili ya taarab ambapo licha ya kuchukuliwa kama mtu na mwanae lakini upinzani mkubwa unatarajiwa kutawala katika onyesho hilo lililopewa jina la usiku wa baba na mwana.
Wasanii wote wawili (Isha na Mzee) wameahidi kumimina...
5 years ago
Daily Mail05 Mar
Aston Villa given approval by Premier League to go ahead with sale of Villa Park
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-n0XmtJv2oDY/VXk5s--cjuI/AAAAAAAHeoQ/wyN6P-Y4u4I/s72-c/unnamed%2B%252831%2529.jpg)
LEO NI LEO NDANI YA VILLA PARK MWANZA, MFALME MZEE YUSSUF NA MALKIA ISHA MASHAUZI WATATOANA MACHO
![](http://2.bp.blogspot.com/-n0XmtJv2oDY/VXk5s--cjuI/AAAAAAAHeoQ/wyN6P-Y4u4I/s640/unnamed%2B%252831%2529.jpg)
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10