Baada ya Chrismass Geita, Yamoto Band wamefungua mabox ya zawadi Villa Park Mwanza, cheki pichaz 20
Mtu wangu wa nguvu naomba nikujuze kilichotokea katika Mama Tour ya Yamoto Band pande za Mwanza, ikiwa ni siku moja imepita toka Yamoto Band wapige Show kali pande za Geita, usiku wa December 25 yaani sikukuu ya Chrismass, December 26 siku ya Boxing Day wameamua kufungua mabox yao ya zawadi ndani ya ukumbi wa Villa […]
The post Baada ya Chrismass Geita, Yamoto Band wamefungua mabox ya zawadi Villa Park Mwanza, cheki pichaz 20 appeared first on TZA_MillardAyo.
MillardAyo
Habari Zinazoendana
9 years ago
MillardAyo26 Dec
Pichaz 10 kilivyohappen pande za Geita katika Show ya Yamoto Band, usiku wa Chrismass Dec 25 2015 …
Sikukuu ya Chrismass ni moja kati ya sikukuu zenye mvuto duniani kote, imekuwa kawaida kwa vijana na watu wa rika tofauti tofauti kusherehekea kwa namna yao ya kipekee. Yamoto Band wakali wa hit single kadhaa ikiwemo kama Cheza kwa Madoido wameachia single yao mpya Mama, ambayo inafanya vizuri kama nyimbo zao nyingine, waliamua kuanzia Geita […]
The post Pichaz 10 kilivyohappen pande za Geita katika Show ya Yamoto Band, usiku wa Chrismass Dec 25 2015 … appeared first on...
9 years ago
MillardAyo02 Jan
Achana na Lexus ya mabox, cheki na hii yenye matairi ya barafu !!(+Pichaz)
Kama kuna vitu vinayakimbiza maisha kwenye kasi ya ajabu, basi teknolojia nayo imo… uliipata ile ya Lexus iliyotengenezwa kwa mabox, ikafungwa mota alafu ikaingia barabarani na kutembea kama gari tulizozoea? Sasahivi nimekutana na hii ambayo jamaa wamekaa zao chimbo kubuni tu kitu tofauti… kilichobuniwa ni matairi yaliyotengenezwa kwa barafu, ubunifu umefanyika London Uingereza na kampuni […]
The post Achana na Lexus ya mabox, cheki na hii yenye matairi ya barafu !!(+Pichaz) appeared first...
9 years ago
MillardAyo20 Dec
Pichaz za Show ya kwanza ya Yamoto Band Dar Live baada ya kutoka Marekani, Kayumba wa BSS na Baby J ndani !!
Baada ya Yamoto Band kumaliza ziara ya Show zao za Marekani wamerudi Bongo na kwa mara ya kwanza baada ya kurudi Tanzania, wameamua kuanza kwa kudondosha burudani ya nguvu katika uwanja wa taifa wa burudani Dar Live Mbagala, Yamoto Band walipiga Show usiku wa December 19 huku wakipewa sapoti na mshindi wa BSS Kayumba pamoja […]
The post Pichaz za Show ya kwanza ya Yamoto Band Dar Live baada ya kutoka Marekani, Kayumba wa BSS na Baby J ndani !! appeared first on TZA_MillardAyo.
9 years ago
MillardAyo01 Jan
Pichaz 10 za show ya Yamoto Band ndani ya Mombasa Kenya, mashabiki walivyochezeshwa kimadoido …
Yamoto Band baada ya kusambaza upendo wa burudani pange za Geita, Mwanza, Songea, Mbinga na Mbambabay, usiku wa mkesha mwaka mpya yaani December 31 walioamua kwenda kutoa burudani ya nguvu kwa majirani zao wa Kenya. Yomoto Band walidondosha burudani pande za Mombasa Kenya. Yamoto walipiga show ya hit singles zao zote na kuukaribisha mwaka mpya […]
The post Pichaz 10 za show ya Yamoto Band ndani ya Mombasa Kenya, mashabiki walivyochezeshwa kimadoido … appeared first on...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-vGFgLtGbNVU/VH3Rlk7wQJI/AAAAAAAG00o/fxM72iL4MOE/s72-c/IMG-20141201-WA013.jpg)
Mdau Ramadhan Hussein wa Villa Park ya jijini Mwanza aukacha Ukapera
![](http://3.bp.blogspot.com/-vGFgLtGbNVU/VH3Rlk7wQJI/AAAAAAAG00o/fxM72iL4MOE/s1600/IMG-20141201-WA013.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-2KAr8zC3V80/VH3Rjk733AI/AAAAAAAG00M/eqMuHi-_lCk/s1600/IMG-20141201-WA002.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-2TS5KoHlfMQ/VMobGQGZRxI/AAAAAAABKJ0/lZ5uD7YSQXs/s72-c/valentine.jpg)
MPANGO MZIMA WA RATIBA YA HARAKATI ZA VALENTINE NDANI YA VILLA PARK JIJINI MWANZA
![](http://4.bp.blogspot.com/-2TS5KoHlfMQ/VMobGQGZRxI/AAAAAAABKJ0/lZ5uD7YSQXs/s1600/valentine.jpg)
Kisha Jumamosi ya tarehe 14/02/2015 Valentines Day bendi ya Super Kamanyola kutambulisha safu ya waimbaji wake wapya, Kiingilio Sebuleni Tshs 5,000/= na Tshs10,000/= utazama hadi Disco ambako kutakuwa na mpambano wa Ma-Dj NANI MKALI KATI YA DJ TASS (MAGIC FM) V/s DJ EDDY (RFA)
![](http://3.bp.blogspot.com/-AMXuvHOsVcU/VMoa2O-X3sI/AAAAAAABKIg/mEqPqy93dqQ/s1600/0.1super%2Bkamanyola3.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-MWu0m_EYUvo/VV1PjpoeYYI/AAAAAAAHYvc/863pTE_YT38/s72-c/unnamed%2B%252866%2529.jpg)
MZEE YUSSUF NA ISHA MASHAUZI KUKINUKISHA MWANZA JUNI 11 NDANI YA VILLA PARK
![](http://2.bp.blogspot.com/-MWu0m_EYUvo/VV1PjpoeYYI/AAAAAAAHYvc/863pTE_YT38/s640/unnamed%2B%252866%2529.jpg)
Patakuwa hapatoshi ndani ya Villa Park pale wakali hao wanaokimbiza soko la taarab watakapoumana katika usiku wa Baba na Mwana.
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-zhl3botkLow/VXkuauUQcZI/AAAAAAAHemI/LIoswKhEC_g/s72-c/unnamed%2B%252823%2529.jpg)
LEO NI LEO MZEE YUSSUF NA ISHA MASHAUZI NDANI YA VILLA PARK MWANZA
![](http://4.bp.blogspot.com/-zhl3botkLow/VXkuauUQcZI/AAAAAAAHemI/LIoswKhEC_g/s640/unnamed%2B%252823%2529.jpg)
Ni onyesho linalokutanisha miamba miwili ya taarab ambapo licha ya kuchukuliwa kama mtu na mwanae lakini upinzani mkubwa unatarajiwa kutawala katika onyesho hilo lililopewa jina la usiku wa baba na mwana.
Wasanii wote wawili (Isha na Mzee) wameahidi kumimina...
5 years ago
Daily Mail05 Mar
Aston Villa given approval by Premier League to go ahead with sale of Villa Park
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10