MZEE YUSSUF NA ISHA MASHAUZI KUKINUKISHA MWANZA JUNI 11 NDANI YA VILLA PARK

Kama tangazo linavyojieleza, ni onyesho la kukata na shoka kati ya mfalme wa taarab Mzee Yussuf na malkia wa masauti Isha Mashauzi Juni 11 ndani ya jiji la Mwanza.
Patakuwa hapatoshi ndani ya Villa Park pale wakali hao wanaokimbiza soko la taarab watakapoumana katika usiku wa Baba na Mwana.
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi
LEO NI LEO MZEE YUSSUF NA ISHA MASHAUZI NDANI YA VILLA PARK MWANZA

Ni onyesho linalokutanisha miamba miwili ya taarab ambapo licha ya kuchukuliwa kama mtu na mwanae lakini upinzani mkubwa unatarajiwa kutawala katika onyesho hilo lililopewa jina la usiku wa baba na mwana.
Wasanii wote wawili (Isha na Mzee) wameahidi kumimina...
10 years ago
Michuzi
LEO NI LEO NDANI YA VILLA PARK MWANZA, MFALME MZEE YUSSUF NA MALKIA ISHA MASHAUZI WATATOANA MACHO

10 years ago
Michuzi
MZEE YUSSUF NA ISHA MASHAUZI WATHIBITISHA RASMI MTANANGE WA JAHAZI NA MASHAUZI CLASSIC
Onyesho hilo litafanyika mwezi huu Jumapili tarehe 22 ndani ya ukumbi wa Travertine Hotel Magomeni. Mkurugenzi wa Jahazi, Mzee Yussuf na mkurugenzi wa Mashauzi Classic, Isha Ramadhan maarufu kama Isha Mashauzi, wamesema siku hiyo hatumwi mtoto dukani.
Wakiongea katika mkutano huo wa...
10 years ago
Michuzi
MPANGO MZIMA WA RATIBA YA HARAKATI ZA VALENTINE NDANI YA VILLA PARK JIJINI MWANZA

Kisha Jumamosi ya tarehe 14/02/2015 Valentines Day bendi ya Super Kamanyola kutambulisha safu ya waimbaji wake wapya, Kiingilio Sebuleni Tshs 5,000/= na Tshs10,000/= utazama hadi Disco ambako kutakuwa na mpambano wa Ma-Dj NANI MKALI KATI YA DJ TASS (MAGIC FM) V/s DJ EDDY (RFA)

9 years ago
Michuzi
10 years ago
Michuzi
Mdau Ramadhan Hussein wa Villa Park ya jijini Mwanza aukacha Ukapera


9 years ago
MillardAyo27 Dec
Baada ya Chrismass Geita, Yamoto Band wamefungua mabox ya zawadi Villa Park Mwanza, cheki pichaz 20
Mtu wangu wa nguvu naomba nikujuze kilichotokea katika Mama Tour ya Yamoto Band pande za Mwanza, ikiwa ni siku moja imepita toka Yamoto Band wapige Show kali pande za Geita, usiku wa December 25 yaani sikukuu ya Chrismass, December 26 siku ya Boxing Day wameamua kufungua mabox yao ya zawadi ndani ya ukumbi wa Villa […]
The post Baada ya Chrismass Geita, Yamoto Band wamefungua mabox ya zawadi Villa Park Mwanza, cheki pichaz 20 appeared first on TZA_MillardAyo.
5 years ago
Daily Mail05 Mar
Aston Villa given approval by Premier League to go ahead with sale of Villa Park
9 years ago
Bongo509 Dec
Music: Isha Mashauzi – Jiamini

Mwimbaji bora wa kike wa taarab Isha Mashauzi, amezidi kudhihirisha kuwa yuko vizuri hata nje ya taarab baada ya kuachia ngoma yake mpya inaitwa “JIAMINI” iliyoko katika miondoko ya zouk rumba.
Studio za Soft Records chini ya producer Pitchou Mechant,
Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10