MDAU KENNY MTOTO WA MAMA BISHANGA AUKACHA UKAPERA

Mdau Hendrich Nambira au Kenny kama alivyojulikana kwenye mchezo wa kuigiwa wa Mambo hayo katika runinga ITV wakati huo, Alifunga pingu za maisha na mke wake Florence kutoka Visiwani Zanzibar. Harusi ilifanyika katika kanisa la Anglican UMCA, Upanga jijini Dar es Salaam tarehe 23/08/2014.
Mama Bishanga na mumewe hawakuweza kuwahi siku ya harusi hiyo iliyopendeza sana na kuhudhuriwa na ndugu wengine wakiwemo wadogo wa mama Bishanga Mack Innocent Hatia na Constancia Innocent Hatia, baba...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi
Mdau Ramadhan Hussein wa Villa Park ya jijini Mwanza aukacha Ukapera


11 years ago
Tanzania Daima02 Jul
Kapteni Temba aukacha ukapera
MKURUGENZI wa Kundi la Taarabu la ‘Funga Kazi’ lenye maskani yake Kigamboni, jijini Dar es Saalam, Kariya Temba ‘Kapteni Temba,’ ameamua kuuaga ukapera baada ya kumuoa mmoja wa waimbaji wa...
9 years ago
Michuzi
Mpiganaji Edwini Mjwahuzi aukacha rasmi ukapera



11 years ago
Michuzi
MAMA BISHANGA AWALILIA GEORGE TYSON NA MTOTO NASRA

10 years ago
Dewji Blog19 Oct
Mdau Sillas Mbuya akimbia kambi ya ukapera, afunga ndoa Ancilla!
10 years ago
Michuzi.jpg)
MAMA BISHANGA AMPONGEZA DIAMOND
.jpg)
10 years ago
Vijimambo.jpg)
BIRTHDAY YA MZUNGU WA MAMA BISHANGA
.jpg)
Nakupenda sana, nakumiss sana, kila siku nakukumbuka wewe na mdogo wako Mariam mkiniita bibi wa marekani, na mkiwa mnasemesha babu yenu Kiswahili nae akijaribu kuongea nanyi na kufurahi nanyi. Zawadi zenu za birthday nimeshazituma, mtazipata baada ya wiki mbili. Msalimieni baba yenu -baba Hery, baba mkubwa Kilian,...
10 years ago
Vijimambo24 May
MAMA BISHANGA AMLILIA KAKA YAKE CASIM JAFFER MANJI
11 years ago
Vijimambo
MAMA BISHANGA WA TZ NA JULIE WA LIBERIA WATOA SALAMU ZA SIKU ZA KUZALIWA
