MAMA BISHANGA AWALILIA GEORGE TYSON NA MTOTO NASRA
![](http://4.bp.blogspot.com/-XM66Vw_rlwk/U5geWIdHt3I/AAAAAAAFpvo/95l6LGVS5T8/s72-c/unnamed.jpg)
Kifo cha George Tyson ni pigo kubwa lingine kwa taifa na fani ya filamu, George Tyson ukweli ametuinua wengi katika fani ya filamu kwa kazi yake nzuri ya kama director na producer wa filamu, nami ni zao la kazi nzuri ya Tyson katika kazi za filamu, hapa itakumbukwa mwaka 1998 hadi 2000 kipindi cha mambo hayo kilichokuwa kikirushwa ITV kilikuwa moto sana nchi nzima ilipata kushuhudia tulivyokuwa tunacheza, mfano wakati Bishanga alipomleta Waridi kama mchumba wake kule kijini kwetu...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-mcV0TXASXNc/VBagKOdpqDI/AAAAAAAGjrc/kM1hyc3E7Ec/s72-c/New%2BPicture.png)
MDAU KENNY MTOTO WA MAMA BISHANGA AUKACHA UKAPERA
Mama Bishanga na mumewe hawakuweza kuwahi siku ya harusi hiyo iliyopendeza sana na kuhudhuriwa na ndugu wengine wakiwemo wadogo wa mama Bishanga Mack Innocent Hatia na Constancia Innocent Hatia, baba...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-r2zeSO-Tf9Q/U4zPDPXg7sI/AAAAAAAFnTg/9-1OF86EeEg/s72-c/tyson.jpg)
UPDATES ZA MSIBA WA GEORGE TYSON
![](http://1.bp.blogspot.com/-r2zeSO-Tf9Q/U4zPDPXg7sI/AAAAAAAFnTg/9-1OF86EeEg/s1600/tyson.jpg)
Mwili utakuwepo nyumbani hapo mpaka siku ya Jumatano Juni 4,ambapo mwili utapelekwa kwenye viwanya vya Leaders Club,Kinondoni kwa ajili ya shughuli ya kuaga mwili na ibada fupi.
Baadae mwili utapelekwa kwenye Uwanja wa ndege wa Mwalimu J.K.Nyerere tayari kwa kusafirishwa kwenye jijini Nairobi nchini Kenya kwa...
11 years ago
GPL31 May
GEORGE TYSON AFARIKI DUNIA
10 years ago
Bongo Movies27 Dec
Mke wa George Tyson ashinda mirathi.
Mke wa muandaaji mahiri wa filamu George Tyson, Beatrice Shayo amefanikiwa kushinda kesi na kuwa msimamizi wa mirathi baada ya mtafaruku mkubwa uliotokea wa kugombea mali na mwanadada aliyekuwa akiishi na msanii huyo kipindi cha mwisho cha uhai wake, Lucy Sepetu.
Akizungumzia ishu hiyo Beatrice alisema anashukuru Mungu amempigania maana ndugu wengi wa mume hawakuwa upande wake, wengi wao walimuunga mkono Lucy lakini Mahakama ya Wilaya ya Kinondoni imempitisha kuwa msimamizi wa...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/0U8UQjwDEm86BzgOJzqGaYLNzW3IcnSzJ*XOj*t9tKo02ghSvkAaTbP1ZNsimgiWK15np3BAJWlydPS5pFqsLZytcb0YR5Wo/mona.jpg)
MIRATHI YA GEORGE TYSON, MONA ACHARUKA
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-GLIyeGSyqyw/VIUgIflrgUI/AAAAAAAG144/8gTAY5oayvg/s72-c/unnamed%2B(1).jpg)
MAMA BISHANGA AMPONGEZA DIAMOND
![](http://1.bp.blogspot.com/-GLIyeGSyqyw/VIUgIflrgUI/AAAAAAAG144/8gTAY5oayvg/s1600/unnamed%2B(1).jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-oex3-jw17uI/VFnyj0JmCCI/AAAAAAADMb0/WRJuOlqHR1s/s72-c/unnamed%2B(4).jpg)
BIRTHDAY YA MZUNGU WA MAMA BISHANGA
![](http://3.bp.blogspot.com/-oex3-jw17uI/VFnyj0JmCCI/AAAAAAADMb0/WRJuOlqHR1s/s1600/unnamed%2B(4).jpg)
Nakupenda sana, nakumiss sana, kila siku nakukumbuka wewe na mdogo wako Mariam mkiniita bibi wa marekani, na mkiwa mnasemesha babu yenu Kiswahili nae akijaribu kuongea nanyi na kufurahi nanyi. Zawadi zenu za birthday nimeshazituma, mtazipata baada ya wiki mbili. Msalimieni baba yenu -baba Hery, baba mkubwa Kilian,...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-PY4qoj7nspw/U58r2i42oOI/AAAAAAAFrH0/e50zLWLfgvo/s72-c/5910b9520c6d2c32a8d5561a4e446105.jpg)
appreciation note from the family of the late George Tyson
![](http://4.bp.blogspot.com/-PY4qoj7nspw/U58r2i42oOI/AAAAAAAFrH0/e50zLWLfgvo/s1600/5910b9520c6d2c32a8d5561a4e446105.jpg)
11 years ago
Tanzania Daima01 Jun
George Tyson wa Bongo Movie afariki dunia
MTAYARISHAJI na muongozaji mkuu wa kipindi cha televisheni cha ‘The Mboni Show’ kinachorushwa na Kituo cha EATV, George Otieno Okumu ‘Geogre Tyson’, amefariki dunia kwa ajali ya gari iliyotokea mjini...