Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MAMA BISHANGA AMPONGEZA DIAMOND

Mama Bishanga na Mumewe Bw. MarolenNimeona nisikae na duku duku la pongezi zangu kwa kijana wetu Diamond kwa kutwaa tuzo tatu kwa mpigo wiki iliytopita huko South Africa. Huo ni ushindi mkubwa sana kwa Diamond, na sisi sote kama taifa la Tanzania. Mimi kwa niaba ya wazazi wenzangu bwana mdogo nakupongeza sana na ninampongeza sana mama yako Sandra kwa kukuandaa katika fani ya muziki, nguvu yake ndio mafanikio yako. Hii inanikumbusha hata mimi nilivyokuwa ninaandaa kazi zangu za sanaa wakati...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

BIRTHDAY YA MZUNGU WA MAMA BISHANGA

Leo tarehe tano November ni siku ya birth day ya mtoto wa Kenny, mjunguu wangu Kilian au Mzungu anavyoitwa na wengi. Ninakutakia heri na furaha, maisha mazuri na mafanikio shuleni.
Nakupenda sana, nakumiss sana, kila siku nakukumbuka wewe na mdogo wako Mariam mkiniita bibi wa marekani, na mkiwa mnasemesha babu yenu Kiswahili nae akijaribu kuongea nanyi na kufurahi nanyi. Zawadi zenu za birthday nimeshazituma, mtazipata baada ya wiki mbili. Msalimieni baba yenu -baba Hery, baba mkubwa Kilian,...

 

10 years ago

Michuzi

MDAU KENNY MTOTO WA MAMA BISHANGA AUKACHA UKAPERA

Mdau Hendrich Nambira au Kenny kama alivyojulikana kwenye mchezo wa kuigiwa wa Mambo hayo katika runinga ITV wakati huo, Alifunga pingu za maisha na mke wake Florence kutoka Visiwani Zanzibar. Harusi ilifanyika katika kanisa la Anglican UMCA, Upanga jijini Dar es Salaam  tarehe 23/08/2014. 
Mama Bishanga na mumewe hawakuweza kuwahi siku ya harusi hiyo iliyopendeza sana na kuhudhuriwa na ndugu wengine wakiwemo wadogo wa mama Bishanga Mack Innocent Hatia na Constancia Innocent Hatia, baba...

 

11 years ago

Michuzi

MAMA BISHANGA AWALILIA GEORGE TYSON NA MTOTO NASRA

Kifo cha George Tyson ni pigo kubwa lingine kwa taifa na fani ya filamu, George Tyson ukweli ametuinua wengi katika fani ya filamu kwa kazi yake nzuri ya kama director na producer wa filamu, nami ni zao la kazi nzuri ya Tyson katika kazi za filamu, hapa itakumbukwa mwaka 1998 hadi 2000 kipindi cha mambo hayo kilichokuwa kikirushwa ITV kilikuwa moto sana nchi nzima ilipata kushuhudia tulivyokuwa tunacheza, mfano wakati Bishanga alipomleta Waridi kama mchumba wake kule kijini kwetu...

 

10 years ago

Vijimambo

MAMA BISHANGA AMLILIA KAKA YAKE CASIM JAFFER MANJI

Tarehe 23/05/2015 asubuhi ya Tanzania nimefiwa na kaka yangu mkubwa Bw Casim Jaffer Manji(Jalejale) Kongowe kwa binti yetu Anna Kepha mtoto wa marehemu dada Mwl Cecilia Hatia, Napenda kutumia nafasi hii kumjulisha Abasi Manji na akina Manji wa DSM. Familia ya Jaffer Manji wa Bombey, wadogo zanguDr Geofrey Hatia Nambira wa Namibia, Isaya Hatia wa Finland, na aunt Eva Mack Hatia wa Finland. Familia ya marehemu mzee Abdruhaman Bellim, familia ya mzee Abdala, mzee Jalabi, na shangazi Anna...

 

10 years ago

Vijimambo

MAMA BISHANGA WA TZ NA JULIE WA LIBERIA WATOA SALAMU ZA SIKU ZA KUZALIWA

Mama Bishanga na mfanya kazi mwenzake kutoka Liberia wanonekana wakiwa kazini, wakifurahia uamuzi wa madaktari watano wa Tanzania wanokwenda kuongeza nguvu ya kusaidia kuwatibu raia wa Liberia, baada ya kusoma taarifa hizo kwenye magazeti ya Tanzania. Julie Blanton ambae alikuja Amerika miaka mingi mara baada ya vita iliotokea Liberia miaka ya themanini na tisini, huwa anenda kwao kila mwaka kusalimia ndugu zake. Julie ameshukru sana Rais Kikwete na watanzania kwa ujumla kwa moyo wao wa...

 

10 years ago

Vijimambo

MAMA BISHANGA NA MUMEWE NA WAJUKUU HERI YA MWAKA MPYA TANZANIA NA SOUTH AFRICA

Wapendwa wanangu SIzelina, Kilian, Henrich/Kenny, Frolence na wajukuu Kilian /Mzungu na Maria Henrick, ndugu zangu na wa tz wote na wa South Africa wote sisi Bw na Bibi Marolen na wajukuu zetu Maria Kilian Kamota na Lailai Johnson tunawatakia furaha na amani ya mwaka mpya wa 2015 uwe wa baraka, mafanikio na upendo na amani kwenu wote.Watoto Maria Kilian Kamota na Lailai Johnson wanasema next year, new year we will be there with dady Kilian and Henrick and aunt Size, and our young brother...

 

10 years ago

Michuzi

TANZIA: MAMA BISHANGA AFIWA NA KAKA YAKE MKUBWA CASIMU JAFFER MANJI "JALEJALE"

Tarehe 23/05/2015 asubuhi ya Tanzania nimefiwa na kaka yangu mkubwa Bw Casim Jaffer Manji (Jalejale) Kongowe kwa binti yetu Anna Kepha mtoto wa marehemu dada Mwl Cecilia Hatia, Napenda kutumia nafasi hii kumjulisha Abasi Manji na akina Manji wa DSM. Familia ya Jaffer Manji wa Bombey, wadogo zangu Dr Geofrey Hatia Nambira wa Namibia, Isaya Hatia wa Finland, na aunt Eva Mack Hatia wa Finland. Familia ya marehemu mzee Abdruhaman Bellim, familia ya mzee Abdala, mzee Jalabi, na shangazi Anna...

 

10 years ago

Michuzi

HERI YA MWAKA MPYA TANZANIA NA SOUTH AFRICA TOKA KWA MAMA BISHANGA NA MUMEWE NA WAJUKUU

Wapendwa wanangu Sizelina, Kilian, Henrich/Kenny, Frolence na wajukuu Kilian /Mzungu na Maria Henrick, ndugu zangu na wa Tanzania wote na wa South Africa wote sisi Bwana na Bibi Marolen na wajukuu zetu Maria Kilian Kamota na Lailai Johnson tunawatakia furaha na amani ya mwaka mpya wa 2015 uwe wa baraka, mafanikio na upendo na amani kwenu wote. 
 Watoto Maria Kilian Kamota na Lailai Johnson wanasema next year, new year we will be there with dady Kilian and Henrick and aunt Size, and our young...

 

10 years ago

Michuzi

salamu kutoka kwa mama bishanga na shosti yake Julie kutoka Liberia

Mwigizaji mkongwe wa Bongo Movie, Bi Christina Innocent  Marolen, almaarufu kama "Mama Bishanga",  na mfanya kazi mwenzake kutoka Liberia wanonekana wakiwa kazini, Adern Court Alzheimer Home Care huko Ohio, Marekani, wakifurahia uamuzi wa madaktari watano wa Tanzania wanokwenda kuongeza nguvu ya kusaidia kuwatibu raia wa Liberia, baada ya kusoma taarifa hizo kwenye magazeti ya Tanzania. Julie Blanton ambae alikuja Amerika miaka mingi mara baada ya vita iliotokea Liberia miaka ya themanini na...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani