salamu kutoka kwa mama bishanga na shosti yake Julie kutoka Liberia
![](http://1.bp.blogspot.com/-bWJUE6SzqcI/VDoMiwxomkI/AAAAAAAGpcQ/BE5Xqrlky5I/s72-c/unnamed%2B(1).jpg)
Mwigizaji mkongwe wa Bongo Movie, Bi Christina Innocent Marolen, almaarufu kama "Mama Bishanga", na mfanya kazi mwenzake kutoka Liberia wanonekana wakiwa kazini, Adern Court Alzheimer Home Care huko Ohio, Marekani, wakifurahia uamuzi wa madaktari watano wa Tanzania wanokwenda kuongeza nguvu ya kusaidia kuwatibu raia wa Liberia, baada ya kusoma taarifa hizo kwenye magazeti ya Tanzania. Julie Blanton ambae alikuja Amerika miaka mingi mara baada ya vita iliotokea Liberia miaka ya themanini na...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-IaeghBOOzTU/VDqE523t4cI/AAAAAAADJeY/-Hd9QxUyDGI/s72-c/image-0ebe88a390cc8132ada093e63203f9dd476090db17b03c5275124cd80db0af45-V.jpg)
MAMA BISHANGA WA TZ NA JULIE WA LIBERIA WATOA SALAMU ZA SIKU ZA KUZALIWA
![](http://3.bp.blogspot.com/-IaeghBOOzTU/VDqE523t4cI/AAAAAAADJeY/-Hd9QxUyDGI/s1600/image-0ebe88a390cc8132ada093e63203f9dd476090db17b03c5275124cd80db0af45-V.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-5L-bg763PD4/VkMn3LX0G_I/AAAAAAAIFUQ/uyQk7U5Jlkg/s72-c/unnamed.jpg)
10 years ago
Bongo522 Dec
Tyga apanga kumchukua mwanae kutoka kwa Blac Chyna akidai mama yake anakula bata 24/7
10 years ago
Vijimambo24 May
MAMA BISHANGA AMLILIA KAKA YAKE CASIM JAFFER MANJI
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-0fKRb66MHB4/U9awNr28t8I/AAAAAAAF7e0/FmPHSGrwY_Q/s72-c/unnamed+(6).jpg)
salamu za iddi kutoka kwa wanalibeneke wa Bukoba wadau
![](http://2.bp.blogspot.com/-0fKRb66MHB4/U9awNr28t8I/AAAAAAAF7e0/FmPHSGrwY_Q/s1600/unnamed+(6).jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-YCZnmZ7Ge-4/VaqK5jLf8yI/AAAAAAADyeM/3JTwDk3tcPQ/s72-c/11695788_950372321668647_3476495566567265559_n.jpg)
SALAMU ZA EID MUBARAK KUTOKA KWA MDAU WA VIJIMAMBO
![](http://2.bp.blogspot.com/-YCZnmZ7Ge-4/VaqK5jLf8yI/AAAAAAADyeM/3JTwDk3tcPQ/s640/11695788_950372321668647_3476495566567265559_n.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-WUC7KYRpiNQ/VaqK6uqN0rI/AAAAAAADyeU/Ch8N98nh2xM/s640/11743009_950372951668584_6232111008741239212_n.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-vDNdg6mN1JY/VaqK7oMB4yI/AAAAAAADyec/-NsdmfinuTY/s640/11017042_950374098335136_998457890409264700_n.jpg)
9 years ago
MillardAyo19 Dec
Salamu kutoka kwa Rais Magufuli kwa waathirika wa ajali ya December 18 Iringa..
December 18 2015 nilikusogezea ripoti kutoka Iringa Tanzania, ilihusu ajali ya basi la abiria la Kampuni ya New Force Ltd ambalo lililongana na lori la mbao lilibeba mbao kutoka Njombe kwenda Dar es Salaam… watu 12 walifariki na wengine zaidi ya 20 kujeruhiwa. Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. John Pombe Magufuli ametuma salamu […]
The post Salamu kutoka kwa Rais Magufuli kwa waathirika wa ajali ya December 18 Iringa.. appeared first on TZA_MillardAyo.