Mke wa George Tyson ashinda mirathi.
Mke wa muandaaji mahiri wa filamu George Tyson, Beatrice Shayo amefanikiwa kushinda kesi na kuwa msimamizi wa mirathi baada ya mtafaruku mkubwa uliotokea wa kugombea mali na mwanadada aliyekuwa akiishi na msanii huyo kipindi cha mwisho cha uhai wake, Lucy Sepetu.
Akizungumzia ishu hiyo Beatrice alisema anashukuru Mungu amempigania maana ndugu wengi wa mume hawakuwa upande wake, wengi wao walimuunga mkono Lucy lakini Mahakama ya Wilaya ya Kinondoni imempitisha kuwa msimamizi wa...
Bongo Movies
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPLMKE WA TYSON ASHINDA MIRATHI
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/0U8UQjwDEm86BzgOJzqGaYLNzW3IcnSzJ*XOj*t9tKo02ghSvkAaTbP1ZNsimgiWK15np3BAJWlydPS5pFqsLZytcb0YR5Wo/mona.jpg)
MIRATHI YA GEORGE TYSON, MONA ACHARUKA
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-r2zeSO-Tf9Q/U4zPDPXg7sI/AAAAAAAFnTg/9-1OF86EeEg/s72-c/tyson.jpg)
UPDATES ZA MSIBA WA GEORGE TYSON
![](http://1.bp.blogspot.com/-r2zeSO-Tf9Q/U4zPDPXg7sI/AAAAAAAFnTg/9-1OF86EeEg/s1600/tyson.jpg)
Mwili utakuwepo nyumbani hapo mpaka siku ya Jumatano Juni 4,ambapo mwili utapelekwa kwenye viwanya vya Leaders Club,Kinondoni kwa ajili ya shughuli ya kuaga mwili na ibada fupi.
Baadae mwili utapelekwa kwenye Uwanja wa ndege wa Mwalimu J.K.Nyerere tayari kwa kusafirishwa kwenye jijini Nairobi nchini Kenya kwa...
11 years ago
GPL31 May
GEORGE TYSON AFARIKI DUNIA
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-PY4qoj7nspw/U58r2i42oOI/AAAAAAAFrH0/e50zLWLfgvo/s72-c/5910b9520c6d2c32a8d5561a4e446105.jpg)
appreciation note from the family of the late George Tyson
![](http://4.bp.blogspot.com/-PY4qoj7nspw/U58r2i42oOI/AAAAAAAFrH0/e50zLWLfgvo/s1600/5910b9520c6d2c32a8d5561a4e446105.jpg)
11 years ago
Tanzania Daima01 Jun
George Tyson wa Bongo Movie afariki dunia
MTAYARISHAJI na muongozaji mkuu wa kipindi cha televisheni cha ‘The Mboni Show’ kinachorushwa na Kituo cha EATV, George Otieno Okumu ‘Geogre Tyson’, amefariki dunia kwa ajali ya gari iliyotokea mjini...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-dS1oA4jyc-Y/U4rdUIy7IsI/AAAAAAAFm3k/aNw1WfAg5wo/s72-c/GEORGETYSONKIFO7.jpg)
mwili wa george tyson ulipowasili Dar es salaam
![](http://3.bp.blogspot.com/-dS1oA4jyc-Y/U4rdUIy7IsI/AAAAAAAFm3k/aNw1WfAg5wo/s1600/GEORGETYSONKIFO7.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-smWCVH0ompU/U4rdUOdxkQI/AAAAAAAFm3Y/lszdNHh2dYM/s1600/GEORGETYSONKIFO11.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-xuy_QYqvfgs/U4rdULvBacI/AAAAAAAFm3c/_5KmJbymqJM/s1600/GEORGETYSONKIFO13.jpg)
PICHA NA GPL
11 years ago
Tanzania Daima03 Jun
George Tyson kuagwa Leaders Club leo
MWILI wa aliyekuwa muasisi wa filamu za kibongo nchini, George Otieno ‘George Tyson’, unatarajiwa kuagwa leo katika viwanja vya Leaders Club, Kinondoni jijini Dar es Salaam kuanzia saa 3 asubuhi...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-SAA4EGYhkxc/U48_aekqvEI/AAAAAAAFni0/rBpD-1poN04/s72-c/2.jpg)
MAREHEMU GEORGE TYSON AAGWA LEO JIJINI DAR
![](http://4.bp.blogspot.com/-SAA4EGYhkxc/U48_aekqvEI/AAAAAAAFni0/rBpD-1poN04/s1600/2.jpg)
Sehemu ya Wacheza Filamu nchini waliokuwa wamebeba Jeneza lenye Mwili wa Marehemu George Otieno Okomu (George Tyson) wakijipanga tayari kwa akili ya kuongoza shughuli ya Kuga mwili iliyofanyika kwenye viwanja vya Leaders Club,Kinondoni jijini Dar es Salaam leo.Mwili huo umesafirishwa kupelekwa nchini Kenya ambako ni nyumbani kwao na Marehemu kwa ajili ya mazishi yatakayofanyika Jumamosi ijayo baada ya kukamiliza kwa mipango yote.
![](http://2.bp.blogspot.com/-BjNfoqMXnVM/U48_nmB1WGI/AAAAAAAFnkA/JnGKD_1GAss/s1600/29.jpg)
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam,Mh. Said Meck Saddick...