CCM waridhishwa utekelezaji mradi BRT
WAJUMBE wa Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Mkoa wa Dar es Salaam, wameridhishwa na hatua iliyofikiwa katika utekelezaji wa Mradi wa Mabasi yaendayo Haraka (BRT). Wajumbe hao walikuwa...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo22 Sep
NEC CCM waridhishwa na utekelezaji wa DART
WAJUMBE wa Halmashauri Kuu (NEC) ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Dar es Salaam, wameelezea kuridhishwa na hatua iliyofikiwa katika utekelezaji wa Mradi wa Mabasi yaendayo Haraka (BRT).
10 years ago
MichuziWASHIRIKA WA MAENDELEO WARIDHISHWA MRADI WA UMEME KINYEREZI
10 years ago
GPLWASHIRIKA WA MAENDELEO WARIDHISHWA NA MRADI WA UMEME KINYEREZI
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-M5NNNU0gNf0/XqA-BbY7J4I/AAAAAAALn0w/EAhulh8olFgH0T3RGOs4LfDQnICT8QMOwCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200422_103248.jpg)
MAKATIBU WAKUU WARIDHISHWA NA MRADI WA GHALA LA MPUNGA KIJIJI CHA MVUMI
Ziara hii imewakutanisha Makatibu wakuu wa Wizara za Kilimo Gerald Kusaya,Wizara ya Viwanda na Biashara Prof.Riziki Shemdoe,Naibu Katibu Mkuu OR -TAMISEMI Bw.Gerlad Mweli na Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais ,Mazingira Balozi Joseph Sokoine
Akizungumza kwenye ukaguzi...
9 years ago
Habarileo21 Sep
Mabasi 138 ya mradi wa BRT yawasili Dar
TATIZO la usafiri katika Jiji la Dar es Salaam linatarajia kupungua baada ya mabasi 138 ya Mradi wa mabasi Yaendayo Haraka (BRT) unaotarajiwa kuanza kazi Oktoba 2 mwaka huu kuwasili katika Bandari ya Dar es Salaam yakitokea China.
9 years ago
Mwananchi07 Dec
Wenyeviti CCM waridhishwa kasi ya Magufuli
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-zX_90Q8EEHw/UxCOrHhgxAI/AAAAAAAFQSE/FDJmBi1IL2o/s72-c/unnamed+(45).jpg)
DR.MAGUFULI AKAGUA MRADI WA MABASI YAENDAYO KASI (BRT) JIJINI DAR ES SALAAM: BARABARA YA KIMARA HADI KIVUKONI KUKAMILIKA NDANI YA MIEZI SITA
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-wBnq1ntyIYA/XnEkLyhNbMI/AAAAAAALkMk/ZUcIeek5KQ4oPTcYGgtWVbwz2fCXuT9OgCLcBGAsYHQ/s72-c/3-39.jpg)
KAMATI YA BUNGE YAVUTIWA UTEKELEZAJI MRADI WA VIWANJA ILEMELA
![](https://1.bp.blogspot.com/-wBnq1ntyIYA/XnEkLyhNbMI/AAAAAAALkMk/ZUcIeek5KQ4oPTcYGgtWVbwz2fCXuT9OgCLcBGAsYHQ/s640/3-39.jpg)
Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi akifafanua jambo wakati akijibu hoja za baadhi ya Wajumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Ardhi Maliasili na Utalii wakati wa kupokea taarifa ya utekelezaji mradi wa viwanja katika halmashauri ya manispaa ya ilemela mkoani Mwanza jana. Kushoto kwa Waziri ni Mwenyekiti wa Kamati Kemilembe Lwota.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/28de3501-4711-4128-9914-7816fa4dee94.jpg)
Katibu Mkuu Wizara ya Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mary Makondo akijibu hoja kutoka kwa wajumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Ardhi, Maliasili na...
9 years ago
StarTV15 Nov
 Utekelezaji mradi wa elimu sema Singida latumia zaidi ya Sh. Bil. 1.5
Shirika lisilo la Kiserikali la SEMA-Singida limetumia zaidi ya shilingi bilioni 1.5 kwa ajili ya utekelezaji wa shughuli za mradi wa elimu ya afya, maji na usafi wa mazingira kwa shule za msingi 36 za mikoa ya Singida na Dodoma katika kipindi cha kuanzia Machi 2011 hadi Machi mwaka huu.
Shirika hilo chini ya ufadhili wa Water Aid Tanzania limejenga vyoo bora katika shule hizo za mradi, kuweka na kukarabati miundombinu ya maji na kutoa elimu ya afya kwa wanafunzi na ...